< Habakkuk 1 >

1 Peygamber Habakkuk'a bir görümde verilen bildiridir.
Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
2 Ya RAB, ne zamana dek seni yardıma çağıracağım, Beni duymuyor musun? “Zorbalık var” diye haykırıyorum sana, Ama kurtarmıyorsun!
Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
3 Bunca kötülüğü bana neden gösteriyorsun, Nasıl hoş görürsün bunca haksızlığı? Nereye baksam şiddet ve zorbalık var. Kavgaların, çekişmelerin sonu gelmiyor.
Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
4 Bu yüzden yasa işlemez oldu, Bir türlü yerini bulmuyor hak. Kötüler doğruları kıskaca almış Ve böylece adalet saptırılıyor.
Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
5 “Bakın öbür uluslara, Gördüklerinize büsbütün şaşacaksınız. Sizin gününüzde öyle işler yapacağım ki, Anlatsalar inanmayacaksınız.
“Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
6 Başkalarına ait toprakları ele geçirmek için Dünyanın dört yanına yürüyen o acımasız ve saldırgan ulusu, Kildaniler'i güçlendireceğim.
Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
7 Dehşetli ve korkunçturlar, Gururlu ve başlarına buyrukturlar.
Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
8 Parstan çeviktir atları, Aç kurttan daha azgın. Atlıları yeri deşerek geliyor uzaklardan, Avına saldıran kartal gibi uçuyorlar,
Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
9 Yağmalamak için geliyor hepsi. Orduları çöl rüzgarı gibi ilerliyor Ve kum gibi tutsak topluyorlar.
Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
10 Küçümsüyorlar kralları, Yöneticilerle alay ediyorlar. Dudak büküyorlar bütün surlu kentlere, Önlerine toprak yığıp onları ele geçiriyorlar.
Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
11 Rüzgar gibi geçip gidiyorlar. Bu suçlu adamların ilahları kendi güçleridir.”
Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
12 Ya RAB, kutsal Tanrım, Öncesizlikten beri var olan sen değil misin? Sen ölmeyeceksin. Ya RAB, bizi yargılamak için Kildaniler'i mi seçtin? Ey sığınağımız, onlara mı verdin cezalandırma yetkisini?
“Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
13 Kötüye bakamayacak kadar saftır gözlerin. Haksızlığı hoş göremezsin. Öyleyse nasıl hoş görürsün Bu hain adamları? Doğrular kötülere yem olurken Neden susuyorsun?
Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
14 İnsanları denizdeki balıklara, Yöneticiden yoksun sürüngenlere çevirdin.
unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
15 Kildaniler onları oltayla, ağla, Serpme ağla tutar gibi tutuyor Ve sevinç çığlıkları atıyorlar.
Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
16 Kurban kesiyorlar ağlarına bu yüzden. Kendilerine lezzetli ve bol yiyecek sağlayan ağları için buhur yakıyorlar.
Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
17 Ağlarını durmadan boşaltmaya, Ulusları acımasızca öldürmeye devam edecekler mi?
Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?

< Habakkuk 1 >