< Yaratiliş 36 >

1 Esav'ın, yani Edom'un öyküsü:
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
2 Esav şu Kenanlı kızlarla evlendi: Hititli Elon'un kızı Âda; Hivli Sivon'un torunu, Âna'nın kızı Oholivama;
Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
3 Nevayot'un kızkardeşi, İsmail'in kızı Basemat.
Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
4 Âda Esav'a Elifaz'ı, Basemat Reuel'i,
Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
5 Oholivama Yeuş, Yalam ve Korah'ı doğurdu. Esav'ın Kenan ülkesinde doğan oğulları bunlardı.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
6 Esav karılarını, oğullarını, kızlarını, evindeki bütün adamlarını, hayvanlarının hepsini, Kenan ülkesinde kazandığı malların tümünü alıp kardeşi Yakup'tan ayrıldı, başka bir ülkeye gitti.
Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
7 Birlikte yaşayamayacak kadar çok malları vardı. Yabancı olarak yaşadıkları bu topraklar davarlarına yetmiyordu.
Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
8 Esav –Edom– Seir dağlık bölgesine yerleşti.
Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
9 Seir dağlık bölgesine yerleşen Edomlular'ın atası Esav'ın soyu:
Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
10 Esav'ın oğullarının adları şunlardır: Esav'ın karılarından Âda'nın oğlu Elifaz, Basemat'ın oğlu Reuel.
Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
11 Elifaz'ın oğulları: Teman, Omar, Sefo, Gatam, Kenaz.
Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
12 Timna Esav'ın oğlu Elifaz'ın cariyesiydi. Elifaz'a Amalek'i doğurdu. Bunlar Esav'ın karısı Âda'nın torunlarıdır.
Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
13 Reuel'in oğulları: Nahat, Zerah, Şamma, Mizza. Bunlar Esav'ın karısı Basemat'ın torunlarıdır.
Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
14 Sivon'un torunu ve Âna'nın kızı olan Esav'ın karısı Oholivama'nın Esav'a doğurduğu oğullar şunlardır: Yeuş, Yalam, Korah.
Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
15 Esavoğulları'nın boy beyleri şunlardır: Esav'ın ilk oğlu Elifaz'ın oğulları: Teman, Omar, Sefo, Kenaz,
Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
16 Korah, Gatam, Amalek. Bunlar Edom ülkesinde Elifaz'ın soyundan beylerdi ve Âda'nın torunlarıydı.
Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
17 Esav oğlu Reuel'in oğulları şunlardır: Nahat, Zerah, Şamma, Mizza. Bunlar Edom ülkesinde Reuel'in soyundan gelen beylerdi ve Esav'ın karısı Basemat'ın torunlarıydı.
Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
18 Esav'ın karısı Oholivama'nın oğulları şunlardır: Yeuş, Yalam, Korah. Bunlar Âna'nın kızı olan Esav'ın karısı Oholivama'nın soyundan gelen beylerdi.
Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
19 Bunların hepsi Esav'ın –Edom'un– oğullarıdır. Yukardakiler de onların beyleridir.
Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
20 Ülkede yaşayan Horlu Seir'in oğulları şunlardı: Lotan, Şoval, Sivon, Âna,
Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
21 Dişon, Eser, Dişan. Seir'in Edom'da beylik eden Horlu oğulları bunlardı.
Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
22 Lotan'ın oğulları: Hori, Hemam. Timna Lotan'ın kızkardeşiydi.
Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
23 Şoval'ın oğulları: Alvan, Manahat, Eval, Şefo, Onam.
Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
24 Sivon'un oğulları: Aya ve Âna. Babası Sivon'un eşeklerini güderken çölde sıcak su kaynakları bulan Âna'dır bu.
Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
25 Âna'nın çocukları şunlardı: Dişon ve Âna'nın kızı Oholivama.
Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
26 Dişon'un oğulları şunlardı: Hemdan, Eşban, Yitran, Keran.
Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
27 Eser'in oğulları şunlardı: Bilhan, Zaavan, Akan.
Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
28 Dişan'ın oğulları şunlardı: Ûs, Aran.
Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
29 Horlu boy beyleri şunlardı: Lotan, Şoval, Sivon, Âna,
Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
30 Dişon, Eser, Dişan. Seir ülkesindeki Horlu boy beyleri bunlardı.
Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
31 İsrailliler'i yöneten bir kralın olmadığı dönemde, Edom'u şu krallar yönetti:
Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
32 Beor oğlu Bala Edom Kralı oldu. Kentinin adı Dinhava'ydı.
Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
33 Bala ölünce, yerine Bosralı Zerah oğlu Yovav geçti.
Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
34 Yovav ölünce, Temanlılar ülkesinden Huşam kral oldu.
Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
35 Huşam ölünce, Midyan'ı Moav kırlarında bozguna uğratan Bedat oğlu Hadat kral oldu. Kentinin adı Avit'ti.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
36 Hadat ölünce, yerine Masrekalı Samla geçti.
Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
37 Samla ölünce, yerine Rehovot-Hannaharlı Şaul geçti.
Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
38 Şaul ölünce, yerine Akbor oğlu Baal-Hanan geçti.
Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
39 Akbor oğlu Baal-Hanan ölünce, yerine Hadat geçti. Kentinin adı Pau'ydu. Karısı, Me-Zahav kızı Matret'in kızı Mehetavel'di.
Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
40 Boylarına ve bölgelerine göre Esav'ın soyundan gelen beylerin adları şunlardı: Timna, Alva, Yetet,
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
41 Oholivama, Ela, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 Kenaz, Teman, Mivsar,
Kenazi, Temani, Mbza,
43 Magdiel, İram. Sahip oldukları ülkede yaşadıkları yerlere adlarını veren Edom beyleri bunlardı. Edomlular'ın atası Esav'dı.
Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.

< Yaratiliş 36 >