< Yaratiliş 10 >

1 Nuh'un oğulları Sam, Ham ve Yafet'in öyküsü şudur: Tufandan sonra bunların birçok oğlu oldu.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
2 Yafet'in oğulları: Gomer, Magog, Meday, Yâvan, Tuval, Meşek, Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
3 Gomer'in oğulları: Aşkenaz, Rifat, Togarma.
Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
4 Yâvan'ın oğulları: Elişa, Tarşiş, Kittim, Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
5 Kıyılarda yaşayan insanların ataları bunlardır. Ülkelerinde çeşitli dillere, uluslarında çeşitli boylara bölündüler.
Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
6 Ham'ın oğulları: Kûş, Misrayim, Pût, Kenan.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
7 Kûş'un oğulları: Seva, Havila, Savta, Raama, Savteka. Raama'nın oğulları: Şeva, Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
8 Kûş'un Nemrut adında bir oğlu oldu. Yiğitliğiyle yeryüzüne ün saldı.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
9 RAB'bin önünde yiğit bir avcıydı. “RAB'bin önünde Nemrut gibi yiğit avcı” sözü buradan gelir.
Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
10 İlkin Şinar topraklarında, Babil, Erek, Akat, Kalne kentlerinde krallık yaptı.
Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
11 Sonra Asur'a giderek Ninova, Rehovot-İr, Kalah kentlerini ve Ninova'yla önemli bir kent olan Kalah arasında Resen'i kurdu.
Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
13 Misrayim Ludlular'ın, Anamlılar'ın, Lehavlılar'ın, Naftuhlular'ın, Patruslular'ın, Filistliler'in ataları olan Kasluhlular'ın ve Kaftorlular'ın atasıydı.
Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
15 Kenan ilk oğlu olan Sidon'un babası ve Hititler'in, Yevuslular'ın, Amorlular'ın, Girgaşlılar'ın, Hivliler'in, Arklılar'ın, Sinliler'in, Arvatlılar'ın, Semarlılar'ın, Hamalılar'ın atasıydı. Kenan boyları daha sonra dağıldı.
Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
Mhivi, Mwarki, Msini,
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
19 Kenan sınırı Sayda'dan Gerar, Gazze, Sodom, Gomora, Adma ve Sevoyim'e doğru Laşa'ya kadar uzanıyordu.
Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
20 Ülkelerinde ve uluslarında çeşitli boylara ve dillere bölünen Hamoğulları bunlardı.
Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
21 Yafet'in ağabeyi olan Sam'ın da çocukları oldu. Sam bütün Ever soyunun atasıydı.
Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
22 Sam'ın oğulları: Elam, Asur, Arpakşat, Lud, Aram.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
23 Aram'ın oğulları: Ûs, Hul, Geter, Maş.
Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
24 Arpakşat Şelah'ın babasıydı. Şelah'tan Ever oldu.
Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
25 Ever'in iki oğlu oldu. Birinin adı Pelek'ti; çünkü yeryüzündeki insanlar onun yaşadığı dönemde bölündü. Kardeşinin adı Yoktan'dı.
Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
26 Yoktan Almodat'ın, Şelef'in, Hasarmavet'in, Yerah'ın, Hadoram'ın, Uzal'ın, Dikla'nın, Oval'ın, Avimael'in, Şeva'nın, Ofir'in, Havila'nın, Yovav'ın atasıydı. Bunların hepsi Yoktan'ın soyundandı.
Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Hadoram, Uzali, Dikla,
Obali, Abimaeli, Sheba,
Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Doğuda, Meşa'dan Sefar'a uzanan dağlık bölgede yaşarlardı.
Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
31 Ülkelerinde ve uluslarında çeşitli boylara ve dillere bölünen Samoğulları bunlardı.
Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
32 Tufandan sonra kayda geçen, ulus ulus, boy boy yeryüzüne yayılan bütün bu insanlar Nuh'un soyundan gelmedir.
Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.

< Yaratiliş 10 >