< Ezra 3 >
1 İsrailliler kendi kentlerine yerleştikten sonra, yedinci ay Yeruşalim'de tek vücut halinde toplandılar.
Ilikuwa miezi saba baaada ya watu wa Israeli kurudi kwenye miji yao, ndipo walipojikusanya pamoja kama mtu mmoja katika Yerusalem.
2 Yosadak oğlu Yeşu ve kâhin olan kardeşleri, Şealtiel oğlu Zerubbabil'le kardeşleri İsrail'in Tanrısı'nın sunağını yeniden kurdular. Amaçları, Tanrı adamı Musa'nın yasası uyarınca, sunağın üzerinde yakmalık sunular sunmaktı.
Yeshua mwana wa Yosadaki na kaka yake kuhani, na Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kaka yake wakainuka na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli na kutoa sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoagizwa katika sheria ya Musa, Mtu wa Mungu.
3 Çevrelerinde yaşayan halklardan korkmalarına karşın, sunağı eski temeli üzerine yeniden kurdular. Üzerinde RAB'be sabah, akşam öngörülen yakmalık sunuları sundular.
Ndipo wakaanzisha madhabahu juu ya msingi, kwa hofu waliokuwa nayo kwa sababu ya watu wa nchi/ Wakatoa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe asubuhi na jioni.
4 Sonra yazılanlara uygun biçimde Çardak Bayramı'nı kutladılar. Kural uyarınca, her gün için belirlenen sayıya göre, yakmalık sunuları sundular.
Pia vilevile wakaichunguza sikukuu ya vibanda kama ilivyoandikwa na wakatoa sadaka ya kuteketezwa siku kwa siku kama ilivyoagizwa, kila siku kwa siku yake.
5 Bundan sonra da günlük yakmalık sunuyu, Yeni Ay sunularını, RAB'bin belirlediği bütün kutsal bayramların sunularını ve RAB'be gönülden verilen sunuları sundular.
Kulikuwa na sadaka ya kila siku ya kuteketezwa na mwezi mara moja na sadaka za siku ya Yahwe za kudumu, pamoja na sadaka zote za hiari.
6 RAB'bin Tapınağı'nın temeli henüz atılmadığı halde, yedinci ayın birinci günü RAB'be yakmalık sunular sunmaya başladılar.
Walianza kutoa sadaka za kuteketezwa za Yahwe siku ya kwanza ya mwezi wa saba, ingawa hekalu lilikuwa halijaanza kujengwa.
7 İsrailliler taşçılarla marangozlara para ödediler. Ayrıca sedir tomruklarını Lübnan'dan denize indirerek Yafa'ya getirmeleri için Saydalılar'a ve Surlular'a yiyecek, içecek, zeytinyağı sağladılar. Bütün bunlara Pers Kralı Koreş izin vermişti.
Hivyo wakatoa fedha kwa wahunzi na fundi wa mkono, na wakawapa chakula, vinywaji na mafuta kwa watu wa Sidoni na Tiro, ili kwamba walete miti ya mierezi kupitia baharini kutoka Lebanoni mpaka Yafa, na kama walivyo ruhusiwa na mfalme Koreshi wa Uajemi.
8 Tanrı'nın Yeruşalim'deki Tapınağı'na vardıktan sonra, ikinci yılın ikinci ayında Şealtiel oğlu Zerubbabil, Yosadak oğlu Yeşu ve bütün öteki kardeşleri, kâhinler, Levililer ve sürgünden Yeruşalim'e dönenlerin tümü işe başladılar. RAB'bin Tapınağı'nın yapımını denetlemek için yirmi ve daha yukarı yaştaki Levililer'i görevlendirdiler.
Ndipo mwezi wa pili katika mwaka wa pili baadae wakaja kwenye nyumba ya Mungu Yerusalem, Zerubabeli, Yoshua mwana wa Yosadaki, na baadhi ya makuhani na walawi na wale walikuja kutoka uhamishoni kurudi Yerusalem wakaanza kazi. Wakawachagua walawi walikuwa na miaka ishirini na zaidi kusimamia kazi ya nyumba ya Yahwe,
9 Levililer'den Yeşu, oğulları ve kardeşleri, Yahuda soyundan Kadmiel ile oğulları, Henadat'ın oğullarıyla torunları Tanrı'nın Tapınağı'nın yapımında çalışanları denetleme işini hep birlikte yüklendiler.
Yoshua akamsimamisha kijana wake na kaka yake, Kadmiel na watoto wake, na kizazi cha yuda kusimamia kufanya kazi katika nyumba ya Mungu. Pamoja na wao kulikuwa na wana wa Henadadi, na uzao wao, na pia jamaa zao walawi.
10 Yapıcılar RAB'bin Tapınağı'nın temelini atınca, İsrail Kralı Davut'un kuralı uyarınca kâhinler RAB'bi övmek için tören giysilerini giymiş olarak ellerinde borazanlarla, Levili Asafoğulları da zillerle yerlerini aldılar.
Wajenzi wakasimamisha msingi wa Hekalu la Yahwe, Na hii ikawawezesha makuhani kusimama na mavazi yao wakiwa na tarumbeta, na walawi wana wa Asafu, kumtukuza Yahwe kwa matoazi, kama mkono wa mfalme Daudi wa Israel alivyoagiza.
11 RAB'be övgüler, şükranlar sunarak ezgi okudular: “RAB iyidir; İsrail'e sevgisi sonsuzdur.” RAB'bin Tapınağı'nın temeli atıldığı için herkes yüksek sesle RAB'bi övmeye başladı.
Waliimba kwa kumsifu na kumshukuru Yahwe. “Yeye ni mwema! Agano lake ni kweli kwa Israel ladumu milele.”Watu wote wakapiga kelele kwa sauti kuu za shangwe wakimsifu Yahwe kwa sababu misingi ya Hekalu ilikuwa imekamilika.
12 Eski tapınağı görmüş birçok yaşlı kâhin, Levili ve boy başı tapınağın temelinin atıldığını görünce hıçkıra hıçkıra ağladılar. Birçokları da sevinç çığlıkları attı.
Lakini wengi wa Makuhani, walawi, wakuu wa kale, na wazeee wa zamani walioiona nyumba ya kwanza, wakati misingi ilipowekwa wakaishuhudia kwa macho yao, walilia kwa sauti. Lakiniwengi walipiga kelele kwa sauti za shangwe na furaha na sauti za kushangaza.
13 Sevinç çığlıkları ağlama sesinden ayırt edilemiyordu. Çünkü halk avaz avaz bağırıyordu. Ses uzak yerlerden bile duyuluyordu.
Na matokeo yake, watu hawakuweza kutofautisha sauti za furaha na sauti za shangwe na sauti za watu waliokuwa wanalia, kwa kuwa watu walikuwa wanalia kwa sauti kuu ya shangwe na sauti ilisikika kutoka mbali.