< Hezekiel 4 >
1 “Sen, ey insanoğlu, bir tuğla al, önüne koy, üzerine Yeruşalim Kenti'ni çiz.
“Mwanadamu, sasa chukua tofali, uliweke mbele yako na uchore juu yake ramani ya mji wa Yerusalemu.
2 Kenti kuşat, duvarla çevir. Kente karşı toprak rampalar yap, ordugah kur, çevresine kütükler yerleştir.
Kisha uuzingire: Simamisha askari dhidi yake kuuzunguka, uzunguke kwa majeshi, weka kambi dhidi yake pande zote pamoja na magogo ya kubomolea boma vitani.
3 Sonra demir bir sac al; demirden bir duvar gibi kendinle kentin arasına koy. Yüzünü ona doğru çevir. Kent kuşatma altında tutulacak, onu sen kuşatacaksın. Bu İsrail halkı için bir belirti olacak.
Kisha chukua bamba la chuma, ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati yako na huo mji, nawe uuelekeze uso wako. Huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa, nawe utauzingira. Hii itakuwa ishara kwa nyumba ya Israeli.
4 “Sonra sol yanına uzan, İsrail halkının günahını yüklen. Sol yanına uzanacağın günler kadar onların suçunun cezasını çekeceksin.
“Kisha ulale kwa upande wako wa kushoto na uweke dhambi za nyumba ya Israeli juu yake. Utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku utakazolala kwa huo upande mmoja.
5 Suçlarının yıl sayısı kadar sana gün ayırdım. Böylece üç yüz doksan gün İsrail halkının suçunun cezasını çekeceksin.
Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba dhambi za nyumba ya Israeli.
6 “Bunu yaptıktan sonra, bu kez sağ yanına uzan, Yahuda halkının suçunun cezasını çek. Sana kırk gün, her yıl için bir gün ayırdım.
“Baada ya kumaliza hili, lala chini tena, wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume, uchukue dhambi za nyumba ya Yuda. Nimekupangia siku arobaini, siku moja kwa kila mwaka mmoja.
7 Yüzünü Yeruşalim kuşatmasına çevir, çıplak kollarını kaldırıp Yeruşalim'e karşı peygamberlik et.
Geuza uso wako uelekeze kwenye kuzingirwa kwa Yerusalemu na mkono wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake.
8 Kuşatma günlerini bitirinceye dek bir yandan öbür yana dönmemen için seni halatlarla bağlayacağım.
Nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine, mpaka hapo utakapokuwa umetimiza siku za kuzingirwa kwako.
9 “Buğday, arpa, bakla, mercimek, darı, kızıl buğday al, bir kaba koy. Bunlardan kendine ekmek yap. Bir yanına uzanacağın üç yüz doksan gün boyunca bu ekmekten yiyeceksin.
“Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja.
10 Her gün belirli zamanda yemen için yirmi şekel ekmek tartacaksın.
Pima shekeli ishirini za chakula utakachokula kwa kila siku, nawe utakula kwa wakati uliopangwa.
11 Bunun gibi suyu da belirli zamanda, ölçüyle, bir hinin altıda biri kadar içeceksin.
Pia pima maji moja ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.
12 Yiyeceğini arpa pidesi yer gibi ye ve insan dışkısından ateş yakıp üzerinde halkın gözü önünde pişir.”
Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.”
13 RAB, “Uluslar arasına dağıtacağım İsrail halkı böylelikle kirli sayılan yiyecekleri yiyecek” dedi.
Bwana akasema, “Hivi ndivyo watu wa Israeli watakavyokula chakula kilicho najisi miongoni mwa mataifa ninakowapeleka.”
14 Ben, “Eyvah, ey Egemen RAB!” diye karşılık verdim, “Hiçbir zaman kirli sayılan bir şeye dokunmadım. Gençliğimden bu yana kendiliğinden ölmüş ya da yabanıl bir hayvan tarafından öldürülmüş bir hayvanın etini yemedim, ağzıma kirli sayılan et koymadım.”
Ndipo nikasema, “Sivyo Bwana Mwenyezi! Kamwe mimi sijajitia unajisi. Tangu ujana wangu hadi sasa sijala kamwe kitu chochote kilichokufa au kilichoraruliwa na wanyama wa mwituni. Hakuna nyama yeyote najisi iliyoingia kinywani mwangu.”
15 “Peki” dedi, “Ekmeğini insan dışkısı yerine tezek yakıp üzerinde pişirmene izin vereceğim.”
Akasema, “Vema sana, basi nitakuruhusu uoke mkate wako kwa kutumia kinyesi cha ngʼombe badala ya kinyesi cha mwanadamu.”
16 Sonra, “İnsanoğlu, Yeruşalim'i her türlü yiyecekten yoksun bırakacağım” dedi, “Bu halk yiyeceğini tartıyla ve kaygı içinde yiyecek, suyunu ölçüyle ve şaşkınlık içinde içecek.
Ndipo Mungu akaniambia, “Mwanadamu, mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula katika Yerusalemu. Watu watakula chakula cha kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya kupimiwa kwa kukata tamaa,
17 Yiyeceği de suyu da azalacak. Hepsi şaşkınlığa düşecek, günahları içinde eriyip yok olacak.
kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao.