< Hezekiel 34 >
1 RAB bana şöyle seslendi:
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “İnsanoğlu, İsrail'in çobanlarına karşı peygamberlik et ve onlara, bu çobanlara şöyle de: ‘Egemen RAB diyor ki: Vay kendi kendini güden İsrail çobanlarına! Çobanların sürüyü gütmesi gerekmez mi?
“Mwanadamu, tabiri juu ya wachungaji wa Israeli, tabiri na uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wa wachungaji wa Israeli ambao hujitunza wenyewe tu! Je, haiwapasi wachungaji kutunza kundi la kondoo?
3 Yağı yiyor, yünü giyiyor, besili koyunları kesiyorsunuz, ama sürüyü kayırmıyorsunuz.
Mnakula mafuta ya wanyama, mnavaa mavazi ya sufu na kuchinja kondoo walionona, lakini hamlitunzi kundi.
4 Zayıfları güçlendirmediniz, hastaları iyileştirmediniz, yaralıların yarasını sarmadınız. Yolunu şaşıranları geri getirmediniz, yitikleri aramadınız. Ancak sertlik ve şiddetle onlara egemen oldunuz.
Hamkuwatia nguvu walio dhaifu wala hamkuwaganga wenye maradhi wala kuwafunga waliojeruhiwa. Hamkuwarudisha waliotangatanga wala kuwatafuta wale waliopotea. Badala yake mmewatawala kwa ukali na kwa ukatili.
5 Çobanları olmadığı için dağıldılar, yabanıl hayvanlara yem oldular.
Hivyo walitawanyika kwa sababu hapakuwepo mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa chakula cha wanyama wa mwitu wote.
6 Koyunlarım bütün dağlarda, yüksek tepelerde başıboş dolandılar. Koyunlarım yeryüzüne dağıldı. Onları ne arayan var, ne soran.
Kondoo wangu walitawanyika, wakatangatanga kwenye milima yote na kwenye kila kilima kirefu. Kondoo wangu walitawanyika juu ya uso wa dunia yote bila kuwa na yeyote wa kuwaulizia wala wa kuwatafuta.
7 “‘Bu yüzden, ey çobanlar, RAB'bin sözünü dinleyin:
“‘Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno la Bwana:
8 Varlığım hakkı için diyor Egemen RAB, çoban olmadığından koyunlarım yağma edildi, yabanıl hayvanlara yem oldu. Çobanlarım koyunlarımı aramadılar, onları güdeceklerine kendi kendilerini güttüler.
Kwa hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, kwa sababu kondoo zangu wamekosa mchungaji na hivyo wametekwa nyara na kuwa chakula cha wanyama wote wa mwituni na kwa sababu wachungaji wangu, hawakuwatafuta kondoo zangu, bali wachungaji wamejitunza wenyewe, nao hawakuwalisha kondoo zangu,
9 Onun için, ey çobanlar, RAB'bin sözünü dinleyin.
kwa hiyo enyi wachungaji, sikieni neno la Bwana:
10 Egemen RAB şöyle diyor: Ben çobanlara karşıyım! Koyunlarımdan onları sorumlu tutacağım, koyunlarımı gütmelerine son vereceğim. Öyle ki, artık kendi kendilerini güdemeyecekler. Koyunlarımı onların ağzından kurtaracağım, artık onlara yem olmayacaklar.
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na wachungaji nami nitawadai kondoo zangu mikononi mwao. Nitawafukuza kutoka kwenye kuchunga kundi langu, ili wachungaji wasiendelee kujitunza wenyewe. Nitaokoa kondoo zangu kutoka kwenye vinywa vyao, nao kondoo hawatakuwa tena chakula chao.
11 “‘Egemen RAB şöyle diyor: Ben kendim koyunlarımı arayıp soracağım.
“‘Kwa kuwa hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo wangu na kuwatafuta.
12 Dağılmış koyunlarının arasındaki bir çoban sürüsüyle nasıl ilgilenirse, ben de koyunlarımla öyle ilgileneceğim. Bulutlu, karanlık bir gün dağılmış oldukları her yerden onları kurtaracağım.
Kama vile mchungaji atafutavyo kundi lake lililotawanyika wakati akiwa pamoja nalo, hivyo ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawaokoa kutoka mahali pote walipokuwa wametawanyikia katika siku ya mawingu na giza nene.
13 Onları ulusların arasından çıkaracak, ülkelerden toplayacak, kendi yurtlarına geri getireceğim. Onları İsrail dağlarında, vadilerde, ülkenin bütün oturulabilir yerlerinde güdeceğim.
Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mbalimbali, nami nitawaleta katika nchi yao wenyewe. Nitawalisha kwenye milima ya Israeli, katika mabonde na mahali pote panapokalika katika nchi.
14 Onları iyi bir otlakta güdeceğim; yaylaları İsrail'in yüksek dağları üzerinde olacak. Orada iyi bir otlakta yatacak, İsrail'in yüksek dağlarındaki verimli otlaklarda otlayacaklar.
Nitawachunga kwenye malisho mazuri na miinuko ya mlima wa Israeli patakuwa mahali pao pa malisho. Huko watajipumzisha kwa amani katika nchi ya malisho mazuri, nao watajilisha huko katika malisho tele katika milima ya Israeli.
15 Ben kendim koyunlarımı güdeceğim, onları kendim yatıracağım. Egemen RAB böyle diyor.
Mimi mwenyewe nitawachunga kondoo zangu na kuwafanya wapumzike, asema Bwana Mwenyezi.
16 Yiteni arayacak, yolunu şaşıranı geri getireceğim. Yaralının yarasını saracak, zayıfı güçlendireceğim. Ama semizlerle güçlüleri yok edeceğim. Koyunlarımı adaletle güdeceğim.
Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.
17 “‘Siz, ey benim sürüm, Egemen RAB şöyle diyor: Koyunla koyun arasında yargıyı ben vereceğim. Koçlarla tekelere gelince,
“‘Kwa habari yenu, enyi kundi langu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo dume na mbuzi.
18 iyi otlakta otlamanız yetmiyor mu ki, otlaklarınızın geri kalanını ayaklarınızla çiğniyorsunuz? Duru su içmeniz yetmiyor mu ki, geri kalan suyu ayaklarınızla bulandırıyorsunuz?
Je, haiwatoshi ninyi kujilisha kwenye malisho mazuri? Je, ni lazima ninyi kuyakanyaga pia malisho yenu yaliyobaki kwa miguu yenu? Je, haiwatoshi ninyi kunywa maji safi? Je, ni lazima kuyachafua maji mengine kwa miguu yenu?
19 Koyunlarım ayaklarınızın çiğnediğini otlamak, ayaklarınızın bulandırdığını içmek zorunda kalıyor.
Je, ni lazima kundi langu wajilishe kwa yale mliyoyakanyaga na kunywa maji mliyoyachafua kwa miguu yenu?
20 “‘Bu nedenle Egemen RAB onlara şöyle diyor: Semiz koyunla cılız koyun arasında ben kendim yargıçlık yapacağım.
“‘Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi awaambialo: Tazama, mimi mwenyewe nitahukumu kati ya kondoo wanono na waliokonda.
21 Madem bütün cılız koyunları kovup dağıtıncaya dek böğrünüzle vuruyor, omuzunuzla itiyor, boynuzlarınızla kakıyorsunuz,
Kwa sababu mmewapiga kikumbo na kuwapiga kwa pembe zenu kondoo wote walio dhaifu mpaka wakawafukuza,
22 ben de koyunlarımı kurtaracağım, artık çapul malı olmayacaklar. Koyunla koyun arasında ben yargıçlık yapacağım.
nitaliokoa kundi langu na hawatatekwa nyara tena. Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo.
23 Başlarına, onları güdecek tek çoban olarak kulum Davut'u koyacağım. Onları o güdecek, çobanları o olacak.
Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi, naye atawachunga, atawachunga na kuwa mchungaji wao.
24 Ben RAB onların Tanrısı olacağım, kulum Davut da onların arasında önder olacak. Ben RAB, böyle diyorum.
Mimi Bwana nitakuwa Mungu wao, naye mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu miongoni mwao. Mimi Bwana nimenena.
25 “‘Onlarla bir esenlik antlaşması yapacağım, ülkedeki yırtıcı hayvanları yok edeceğim. Çölde güvenlik içinde yaşayacak, ormanlarda uyuyacaklar.
“‘Nitafanya nao Agano la amani na kuwaondoa wanyama wa mwitu kutoka nchi yao ili kondoo wangu waweze kupumzika nyikani na msituni kwa salama.
26 Onları da dağımın çevresini de bereketli kılacağım. Yağmuru zamanında yağdıracağım. Bereketli yağmurlar olacak.
Nitawabariki wao pamoja na maeneo yanayozunguka kilima changu. Nitawanyeshea mvua kwa majira yake, kutakuwepo mvua za baraka.
27 Kırdaki ağaçlar meyve verecek, toprak ürün verecek. Halk ülkesinde güvenlik içinde olacak. Boyunduruklarının bağlarını koparıp onları köle edenlerin elinden kurtardığım zaman benim RAB olduğumu anlayacaklar.
Miti ya shambani itatoa matunda yake na ardhi itatoa mazao yake, watu watakaa salama katika nchi yao. Watajua kuwa Mimi ndimi Bwana, nitakapovunja vifungo vya nira zao na kuwaokoa kutoka mikono ya wale waliowafanya watumwa.
28 Artık ulusların çapul malı, yabanıl hayvanların yemi olmayacaklar. Güvenlik içinde yaşayacaklar, kimse onları korkutmayacak.
Hawatatekwa tena nyara na mataifa, wala wanyama pori hawatawala tena. Wataishi kwa salama, wala hakuna yeyote atakayewatia hofu.
29 Onlar için ünlü bir fidanlık yetiştireceğim. Artık ülke kıtlıktan yok olmayacak, ulusların aşağılamasına uğramayacaklar.
Nitawapa nchi yenye sifa kutokana na mazao yake, hawatapatwa na njaa katika nchi tena wala hawatadharauliwa na mataifa.
30 O zaman ben Tanrıları RAB'bin onlarla birlikte olduğumu ve İsrail soyunun da benim halkım olduğunu anlayacaklar.’ Böyle diyor Egemen RAB.
Ndipo watakapojua kuwa Mimi, Bwana, Mungu wao, niko pamoja nao, na kwamba wao, nyumba ya Israeli, ni watu wangu, asema Bwana Mwenyezi.
31 ‘Benim koyunlarım, otlağımın koyunları siz insanlarsınız. Ben sizin Tanrınız'ım.’ Böyle diyor Egemen RAB.”
Ninyi ni kondoo wangu, kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wangu, nami ni Mungu wenu, asema Bwana Mwenyezi.’”