< Hezekiel 23 >

1 RAB bana şöyle seslendi:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 “İnsanoğlu, bir anneden doğma iki kadın vardı.
“Mwanadamu, Kulikuwa na wanawake wawili, binti za mama mmoja.
3 Gençliklerinde Mısır'da fahişelik ettiler. Memeleri orada okşandı, erdenliklerini orada yitirdiler.
Walifanya ukahaba katika Misri katika kipindi cha ujana wao. Walitenda kama makahaba huko. Maziwa yao yalikuwa yamebana na ubikira wa chuchu zao zilipapaswa huko.
4 Büyüğünün adı Ohola, küçüğünün Oholiva'ydı. Benim oldular; oğullar, kızlar doğurdular. Ohola Samiriye'dir, Oholiva da Yeruşalim.
Majina yao yalikuwa Ohola-dada mkubwa-na Oholiba-dada yake mdogo. Kisha wakawa wangu na kuzaa wana na binti. Majina yao yalikuwa yakimaanasha hivi: Ohola maana yake Samaria, na Oholiba maana yake Yerusalemu.
5 “Ohola benimken fahişelik etti. Oynaşları olan Asurlular'a gönül verdi. Hepsi de genç, yakışıklı, lacivertler kuşanmış savaşçılar, valiler, komutanlar, atlı askerlerdi.
Lakini Ohola alifanya kama kahaba hata alipokuwa wangu; aliwatamani wapenzi wake, kwa kuwa Waashuri na nguvu,
6
liwali aliyekuwa amevaa urijuana, na kwa ajili ya maafisa wake, waliokuwa hodari na wanaume wa kuvutia, wote walikuwa waendesha farasi.
7 Asurlular'ın en seçkin adamlarına fahişe olarak kendini verdi. Gönül verdiği bu kişilerin putlarına bağlanarak kendini kirletti.
Hivyo akajitoa yeye mwenyewe kama kahaba kwao, kwa watu bora wa Ashuru, na alijitia mwenyewe uchafu pamoja na kila mmoja aliyekuwa amemtamani-pamoja na sanamu zake zote.
8 Mısır'da başladığı fahişeliği bırakmadı. Gençken onunla yattılar, erdenliğini bozdular, şehvetlerini onun üzerine boşalttılar.
Kwa kuwa hakuacha tabia zake za kihaba nyuma katika Misri, wakati walipolala naye wakati alipokuwa msichana mdogo, wakati walipoanza kwanza kupapasa ubikira wa maziwa yake, wakati walipoanza kummwagia tabia ya uzinzi wao juu yake.
9 “Bu nedenle onu oynaşlarının, gönül verdiği Asurlular'ın eline teslim ettim.
Kwa hiyo nilimtia kwenye mkono wa wapenzi wake, kwenye mkono wa Waashuru kwa kuwa aliwatamani.
10 Çıplaklığını açtılar, oğullarını, kızlarını aldılar, onu kılıçla öldürdüler. Kendisine verilen cezadan ötürü kadınlar arasında adı kötüye çıktı.
Wakamfunua uchi wake. Wakawachukua wana wake na binti, na wakamuua kwa upanga, na akawa aibu kwa wanawake wengine, hivyo wakapitisha hukumu juu yake.
11 “Kızkardeşi Oholiva bunu gördü, ama şehveti ve fahişelikleri kızkardeşininkinden daha utanç vericiydi.
Dada yake Oholiba akaliona hili, lakini aliyatamani zaidi na kufanya kama kahaba hata zaidi kuliko dada yake.
12 O da hepsi de genç, yakışıklı Asurlular'a –valilere, komutanlara, iyi donanmış savaşçılara, atlılara– gönül verdi.
Aliwatamanai Waashuru, mabosi na watawala waliokuwa wamevaa ngua za ushawishi, walikuwa watu waendesha farasi. Wote walikuwa hodari, wote vijana wa kuvutia.
13 Kendisini ne kadar kirlettiğini gördüm. İkisi de aynı yolu izlediler.
Nikaona kwamba alikuwa amefanya uchafu mwenyewe. Ilikuwa kama kwa wadada wote.
14 “Oholiva fahişeliklerini giderek artırdı. Duvara oyulmuş insan resimlerini –bellerine kuşak, başlarına geniş sarık bağlamış kırmızı renkli Kildani resimlerini– gördü. Hepsi kökeni Kildan ülkesine dayanan Babil subaylarına benziyordu.
Kisha akaongeza ukahaba wake tena zaidi. Aliona watu waume waliokuwa wamechorwa juu ya kuta, michoro ya Wakaldayo iliyochorwa kwa rangi nyekundu,
waliovaa mikanda kuzunguka viuno vyao, na vilemba virefu juu ya vichwa vyao. Wote walikuwa na mwonekano wa maafisa wa jeshi la waendesha farasi, mfano wa wana wa Wababeli, ambao asili ya nchi ni Ukaldayo.
16 Oholiva görür görmez onlara gönül verdi, Kildan ülkesine ulaklar gönderdi.
Na mara macho yake yalipowaona, aliwatamani, hivyo akawatuma wajumbe wake kwao katika Ukaldayo.
17 Bunun üzerine Babilliler onunla yatakta sevişmek üzere geldiler, zina ederek onu kirlettiler. Onu öyle kirlettiler ki, sonunda hepsinden tiksinip yüzünü çevirdi.
Kisha Wababeli wakaja katika kitanda chake cha tamaa, na walimfanya unajisi kwa uzinzi wao. Kwa kile alichokuwa amekifanya alifanya unajisi, basi akageuka mwenyewe kutoka kwao katika karaha.
18 Fahişeliklerini sergileyip çıplaklığını açınca kızkardeşinden tiksinerek yüzümü çevirdiğim gibi, ondan da tiksinerek yüzümü çevirdim.
Alionyesha matendo yake ya ukahaba na alionyesha uchi wake, hivyo roho yangu ikagauka kutoka kwake, kama roho yangu ilivyogeuka kutoka kwa dada yake.
19 Gençliğinde Mısır'da yaptığı fahişelikleri anımsayarak, fahişeliğini daha da artırdı.
Kisha alifanya matendo mengi zaidi ya ukahaba, akakumbuka na kutafakari siku za ujana wake, wakati alipotenda kama kahaba katika nchi ya Misri.
20 Erkeklik organları eşeğinkine, menileri aygırınkine benzeyen oynaşlarına gönül verdi.
Basi akawatamani wapenzi wake, ambao sehemu zao za siri zilikuwa kama zile za punda, na kile kizaliwacho hutoka kilikuwa kama wale farasi.
21 Öyle ki, Mısır'da gençliğindeki şehvet düşkünlüğünü özledin. Memelerin orada okşanmış, erdenliğini orada yitirmiştin.
Hivi ndivyo ulivyofanya matendo ya aibu ya ujana wako, wakati Wamisri walipopapasa chuchu zako kuyaminya maziwa ya ujana wako.
22 “Bundan ötürü, ey Oholiva, Egemen RAB şöyle diyor: Tiksindiğin oynaşlarını sana karşı kışkırtacağım. Onları her yandan sana karşı ayaklandıracağım.
Kwa hiyo, Oholiba, Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Nitawarudisha wapenzi wako dhidi yako. Wale ambao uliowarudisha, nitawaleta juu yako kutoka kila upande.
23 Babilliler'i, bütün Kildaniler'i, Pekotlular'ı, Şoalılar'ı, Koalılar'ı, onlarla birlikte bütün Asurlular'ı, yakışıklı gençleri –valileri, komutanları, subayları, ünlü adamları, atlıları– sana karşı ayaklandıracağım.
Wababeli na Wakaldayo wote, Pekodi, Shoa, na Koa, na Waashuru wote pamoja nao, hodari, vijana wa kutamanika, magavana na maamiri jeshi, wote ni maafisa na watu wote wenye sifa, wote wenye kuendesha farasi.
24 Silahlarla, savaş ve yük arabalarıyla, çok uluslu bir orduyla sana saldıracaklar. Seni her yandan büyük, küçük kalkanlarla, miğferlerle saracaklar. Cezalandırmaları için seni onların eline teslim edeceğim. Seni kendi kurallarına göre yargılayacaklar.
Watakuja juu yako kwa silaha, na kwa magari ya farasi na mikokoteni, na kundi kubwa la watu. Watapanga ngao kubwa, ngao ndogo, na kofia za chuma juu yako pande zote. Nitawapatia nafasi kukuadhibu, na watakuadhibu kwa matendo yao.
25 Öfkemi sana yönelteceğim, onların sana kızgınlıkla davranmalarını sağlayacağım. Burnunu, kulaklarını kesecekler. Sağ kalanları kılıçla öldürecekler. Oğullarını, kızlarını alacaklar, sağ kalanları ateş yakıp yok edecek.
Kwa kuwa nitaweka hasira yangu ya wivu juu yako, na watashughulika na wewe kwa hasira. Watakukatilia mbali pua zako na masikio yako, na masalia yako wataanguka kwa upanga. Watawachukua wana wako na binti zako, na masalia yako watateketea kwa moto.
26 Üzerindeki giysiyi soyacak, güzel mücevherlerini alacaklar.
Watakuvua nguo zako na kuchukua mapambo yako ya vito.
27 Mısır'da yaptığın ahlaksızlıklara, fahişeliklere son vereceğim. Böyle şeylere özlem duymayacak, bir daha Mısır'ı anımsamayacaksın.
Hivyo nitaiondoa tabia yako ya aibu kutoka kwako na matendo yako ya kikahaba kutoka nchi ya Misri. Hutainua macho yako kuwaelekea kwa sahauku, na hutaikumbuka Misri tena.'
28 “Egemen RAB şöyle diyor: Seni nefret ettiğin, tiksindiğin adamların eline teslim edeceğim.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Nitakutia katika mkono wa wale uwachukiao, kukurudisha kwenye mkono wa wale ambao uliokuwa umewarudisha.
29 Sana düşman gibi davranacak, emeğinin bütün ürününü alacaklar. Seni çırılçıplak bırakacaklar. Böylece utanç verici fahişeliklerin açığa çıkacak. Bütün bunlar şehvet düşkünlüğünden, fahişeliğin yüzünden başına geldi. Çünkü uluslarla fahişelik ettin, onların putlarıyla kendini kirlettin.
Watashughulika pamoja nawe kwa chuki; watachukua milki zako zote na kukutelekeza uchi na kukuweka wazi. Uchi wa aibu ya ukahaba wako utafunuliwa, tabia yako ya aibu na uzinzi wako.
Haya mambo yatafanyika kwako kwa kuwa umetenda kama kahaba, tamaa za mataifa kwazo umetiwa unajisi kwa sanamu zao.
31 Kızkardeşinin yolunu izledin. Bu nedenle, sana onun kâsesinden içireceğim.
Umetembea katika njia za dada yako, hivyo nitaweka kikombe chake cha adhabu kwenye mkono wako.'
32 “Egemen RAB şöyle diyor: Kızkardeşinin kâsesinden içeceksin, O derin ve geniştir; Sana gülecek, seninle alay edecekler, Dopdolu bir kâse.
Bwana Yahwe asema hivi, 'Utakinywea kikombe cha dada yako ambacho ni kirefu na kikubwa. Utakuwa dhihaka na kutawaliwa na dharau-hiki kikombe kimejaa kiasi kikubwa.
33 Sarhoş olacak, umutsuzluğa boğulacaksın, Kızkardeşin Samiriye'nin kâsesi Yıkım, perişanlık kâsesidir.
Utajazwa kwa ulevi na huzuni, kikombe cha ushangao na uharibifu; kikombe cha dada yako Samaria.
34 Ondan içecek, tüketeceksin; Parçalarını kemirecek Ve göğsünü paralayacaksın. Bunu ben söylüyorum diyor Egemen RAB.
Utakinywea na kubakia kitupu; kisha utakivunja vunja na kuyararua maziwa yako kuwa vipande vipande. Kwa kuwa nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
35 “Bundan ötürü Egemen RAB şöyle diyor: Madem beni unuttun, bana sırt çevirdin, sen de ahlaksızlığının, fahişeliğinin cezasını yükleneceksin.”
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu umenisahau na kunitupa mbali nyumba ya mgongo wako, basi pia utachukua matokeo ya tabia zako za aibu na matendo ya uasherati.”'
36 RAB bana seslendi: “İnsanoğlu, Ohola'yla Oholiva'yı yargılayacak mısın? Öyleyse onlara iğrenç uygulamalarını bildir.
Yahwe akanambia, “Mwanadamu, Je! utamhukumu Ohola na Oholiba? Basi waambie matendo yao ya machukizo,
37 Çünkü fahişelik ettiler, kan döktüler. Putlarıyla fahişelik ettiler; bana doğurdukları çocukları yiyecek olarak putlarına sundular.
kwa kuwa wamefanya uzinzi, na kwa kuwa kuna damu juu ya vichwa vyao. Wamefanya uzinzi na sanamu zao, na wamewaweka hata wana wao kwenye moto, kama chakula cha sanamu zao.
38 Bununla kalmayarak, şunları da yaptılar: Çocuklarını putlara sundukları gün tapınağımı kirlettiler, Şabat günlerimi hiçe saydılar. Aynı gün tapınağıma girip onu kirlettiler. İşte tapınağımda bunları yaptılar.
Kisha waliendelea kufanya hivi kwa ajili yangu: Wamepafanya patakatifu pangu unajisi, na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu.
Kwa kuwa walipokuwa wamewachinjia watoto wao kwa ajili ya sanamu zao, kisha wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi! Hivyo tazama! Hivi ndivyo walivyofanya kati ya nyumba yangu.
40 “Siz iki kızkardeş uzaklarda yaşayan adamların gelmesi için ulaklar gönderdiniz. Adamlar gelince, onlar için yıkanıp gözlerinize sürme çektiniz, mücevherlerinizi taktınız.
Mmewatuma watu kutoka mbali, ambao wajumbe waliwatuma-sasa tazama. Wakaja kweli, ambao uliojiosha kwa ajili yao, uliweka rangi macho yako, na kujipamba kwa mapambo ya vito.
41 Şık bir divanın üzerine oturdunuz, önüne bir sofra kurup üzerine buhurumu, zeytinyağımı koydunuz.
Huko ulikaa kwenye kitanda kizuri na kwenye meza iliyokuwa imepangwa mbele yake ulikuwa umeweka ubani na mafuta yangu.
42 “Kaygısız kalabalığın sesi yankılandı çevresinde. Düzeysiz bir yığın kalabalıkla birlikte çölden Sabalılar getirildi. İki kızkardeşin koluna bilezikler taktılar, başlarına güzel bir taç koydular.
Hivyo sauti za watu zilikuwa zimemzunguka; pamoja na watu wa kila aina, hata walevi waliletwa kutoka jangwani, na wakawavalisha vikuku mikononi mwao na mataji mazuri juu ya vichwa vyao.
43 Fahişelikten yıpranmış kadın için, ‘Bırakın, fahişe olarak kullansınlar onu. Çünkü öyledir’ dedim.
Kisha nikasema juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi, 'Sasa watazini pamoja naye, na yeye pamoja nao.'
44 Onunla yattılar. Fahişeye gider gibi, bu iki ahlaksız kadının –Ohola'yla Oholiva'nın– yanına gittiler.
Wakamwingilia na kulala naye kama watu wamwingiliavyo kahaba. Katika njia hii walilala Ohola na Oholiba, waliokuwa wanawake wazinzi.
45 Ama doğru adamlar zina eden, kan döken kadınlara verilen cezayla onları cezalandıracaklar. Çünkü bu iki kadın fahişelik ettiler, elleri kanlıdır.
Lakini watu wenye haki watapitisha hukumu na kuwaadhibu kama wazinzi, na watawaadhibu kwa hukumu kwa wale wamwagao damu, kwa sababu wao ni wazinzi na damu iko mikononi mwao.
46 “Egemen RAB şöyle diyor: Onları dehşete düşürecek, mallarını yağmalayacak bir kalabalık salacağım üzerlerine.
Hivyo Bwana Yahwe asema hivi: Nitainua kundi la watu juu yao na kuwatoa kuwa kitisho na kuteka nyara.
47 Onları taşa tutacak, kılıçlarıyla parçalayacaklar; oğullarını, kızlarını öldürecek, evlerini ateşe verecekler.
Kisha hilo kundi la watu litawapiga kwa mawe na kuwakatilia chini kwa panga zao. Watawaua wana wao na binti na kuzichoma nyumba zao.
48 “Ülkede ahlaksızlığa son vereceğim. Öyle ki, bütün kadınlar için bir uyarı olsun bu, sizin yaptığınız ahlaksızlığı yapmasınlar.
Kwa kuwa nitaondoa tabia ya aibu kutoka kwenye nchi na nidhamu wanawake wote hivyo hawatatenda kama makahaba.
49 Yaptığınız fahişeliklerin karşılığını ödeyecek, putlara tapınarak işlediğiniz günahların cezasını çekeceksiniz. Böylece benim Egemen RAB olduğumu anlayacaksınız.”
Hivyo wataweka tabia yenu ya aibu juu yenu. Mtachukua hatia ya dhambi zenu pamoja na sanamu zenu, na kwa njia hii mtajua yakuwa mimi ni Bwana Yahwe.”

< Hezekiel 23 >