< Misir'Dan Çikiş 40 >

1 RAB Musa'ya şöyle dedi:
Kisha Bwana akamwambia Mose:
2 “Konutu, yani Buluşma Çadırı'nı birinci ayın ilk günü kur.
“Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza.
3 Levha Sandığı'nı oraya getirip perdeyle gizle.
Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.
4 Masayı içeri getir, gereken her şeyi üzerine diz. Kandilliği getirip kandillerini yak.
Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake.
5 Altın buhur sunağını Levha Sandığı'nın önüne koy, konutun giriş bölümüne perdesini tak.
Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.
6 Yakmalık sunu sunağını konutun –Buluşma Çadırı'nın– giriş bölümüne koy.
“Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania;
7 Kazanı çadırla sunak arasına koyup içine su doldur.
weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
8 Çadırın çevresini avluyla kapat, avlunun girişine perdesini as.
Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.
9 “Sonra mesh yağıyla konutu ve içindeki bütün eşyaları meshederek kutsal kıl. Böylece konutla takımları kutsal olacak.
“Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu.
10 Yakmalık sunu sunağıyla takımlarını meshet, sunağı kutsal kıl. Sunak çok kutsal olacak.
Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana.
11 Kazan ve kazan ayaklığını meshederek kutsal kıl.
Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.
12 “Harun'la oğullarını Buluşma Çadırı'nın giriş bölümüne getirip yıka.
“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
13 Harun'a kutsal giysileri giydir, bana kâhinlik etmesi için onu meshederek kutsal kıl.
Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.
14 Oğullarını getirip mintanları giydir.
Walete wanawe na uwavike makoti.
15 Bana kâhinlik etmeleri için babaları gibi onları da meshet. Bu mesh onların kuşaklar boyu sürekli kâhin olmalarını sağlayacak.”
Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.”
16 Musa her şeyi RAB'bin kendisine buyurduğu gibi yaptı.
Mose akafanya kila kitu sawa kama vile Bwana alivyomwagiza.
17 Böylece ikinci yılın birinci ayının birinci günü konut kuruldu.
Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili.
18 Musa konutu kurdu, tabanlarını koydu, çerçevelerini yerleştirdi, kirişlerini taktı, direklerini dikti.
Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo.
19 Çadırı tıpkı RAB'bin kendisine buyurduğu gibi konutun üzerine gerdi, çadır örtüsünü üzerine örttü.
Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama Bwana alivyomwagiza.
20 Antlaşma Levhaları'nı sandığa koydu, sandık sırıklarını taktı, Bağışlanma Kapağı'nı sandığın üzerine yerleştirdi.
Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.
21 RAB'bin kendisine buyurduğu gibi Levha Sandığı'nı konuta getirdi, bölme perdesini asarak sandığı gizledi.
Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama Bwana alivyomwagiza.
22 Masayı Buluşma Çadırı'na, konutun kuzeyine, perdenin dışına koydu.
Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia
23 RAB'bin huzurunda, RAB'bin kendisine buyurduğu gibi üzerine ekmekleri dizdi.
na kupanga mikate juu yake mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
24 Kandilliği Buluşma Çadırı'na, masanın karşısına, konutun güneyine koydu.
Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu
25 RAB'bin kendisine buyurduğu gibi, RAB'bin huzurunda kandilleri yaktı.
na kuziweka taa mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
26 Altın sunağı Buluşma Çadırı'na, perdenin önüne koydu.
Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia
27 RAB'bin kendisine buyurduğu gibi üzerinde güzel kokulu buhur yaktı.
na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama Bwana alivyomwagiza.
28 Konutun giriş bölümünün perdesini taktı.
Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.
29 RAB'bin kendisine buyurduğu gibi yakmalık sunu sunağını Buluşma Çadırı'nın giriş bölümüne koydu, üzerinde yakmalık sunu ve tahıl sunusu sundu.
Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama Bwana alivyomwagiza.
30 Kazanı Buluşma Çadırı ile sunak arasına koydu, yıkanmak için içine su doldurdu.
Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,
31 Musa, Harun ve Harun'un oğulları ellerini, ayaklarını orada yıkadılar.
Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
32 Ne zaman Buluşma Çadırı'na girip sunağa yaklaşsalar RAB'bin Musa'ya buyurduğu gibi orada yıkandılar.
Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama Bwana alivyomwagiza Mose.
33 Musa konutla sunağı avluyla çevirdi. Avlunun girişine perdeyi asarak işi tamamladı.
Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.
34 O zaman bulut Buluşma Çadırı'nı kapladı ve RAB'bin görkemi konutu doldurdu.
Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
35 Musa Buluşma Çadırı'na giremedi; çünkü bulut her yeri kaplamış, RAB'bin görkemi konutu doldurmuştu.
Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
36 İsrailliler ancak bulut konutun üzerinden kalkınca göçerlerdi.
Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka;
37 Bulut durdukça yerlerinden ayrılmaz, kalkacağı günü beklerlerdi.
lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka.
38 Böylece bütün yolculuklarında konutun üzerinde gündüzün RAB'bin bulutu, gece de ateş İsrailliler'e yol gösterdi.
Kwa hiyo wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.

< Misir'Dan Çikiş 40 >