< Ester 6 >

1 O gece kralın uykusu kaçtı; tarih kayıtlarının getirilip kendisine okunmasını buyurdu.
Usiku ule mfalme hakupata usingizi, hivyo akaagiza aletewe kitabu cha kumbukumbu za matukio ya utawala wake, asomewe.
2 Kayıtlar Kral Ahaşveroş'u öldürmeyi tasarlamış olan iki görevliden söz ediyordu. Kapı nöbetçisi olarak görev yapmış olan Bigtan ve Tereş adındaki bu iki adamı Mordekay ele vermişti.
Kitabu hicho kilikutwa na kumbukumbu kwamba Mordekai alikuwa amefichua jinsi Bigthana na Tereshi, waliokuwa maafisa wawili wa mfalme, walinzi wa lango walivyokuwa wamepanga hila ya kumuua Mfalme Ahasuero.
3 Kral, “Bu yaptıklarından dolayı Mordekay nasıl onurlandırıldı, ona ne ödül verildi?” diye sordu. Hizmetkârlar, “Onun için hiçbir şey yapılmadı” diye yanıtladılar.
Mfalme akauliza, “Je, ni heshima na shukrani gani Mordekai alipokea kwa ajili ya jambo hili?” Watumishi wake wakajibu, “Hakuna lolote alilofanyiwa.”
4 Kral, “Avluda kim var?” diye sordu. O sırada Haman sarayın dış avlusuna yeni girmişti. Kraldan, hazırlattığı darağacına Mordekay'ın asılmasını isteyecekti.
Mfalme akasema, “Ni nani yuko uani?” Wakati huo huo Hamani alikuwa ameingia ua wa nje wa jumba la mfalme kusema na mfalme kuhusu kumwangika Mordekai katika mahali pa kuangikia watu alipokuwa amepajenga kwa ajili yake.
5 Hizmetkârlar krala, “Haman avluda bekliyor” dediler. Kral, “Buraya gelsin” dedi.
Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”
6 Haman içeri girince kral ona, “Kralın onurlandırmak istediği biri için ne yapılmalı?” diye sordu. “Kral benden başka kimi onurlandırmak isteyebilir ki?” diye düşünen Haman şu yanıtı verdi: “Kral onurlandırmak istediği kişi için kendi giydiği bir kral giysisini ve üzerine bindiği sorguçlu atı getirtir,
Hamani alipoingia, mfalme alimuuliza, “Afanyiwe nini mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu?” Basi Hamani akawaza moyoni mwake, “Ni nani mwingine ambaye mfalme angemheshimu kuliko mimi?”
7
Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,
8
aletewe joho la kifalme ambalo mfalme ameshalivaa na farasi ambaye mfalme alishampanda, ambaye amevikwa taji ya kifalme kichwani mwake.
9 giysiyi ve atı en üst yöneticilerinden birine verir; o da kralın onurlandırmak istediği kişiyi giydirip atın üstünde kent meydanında gezdirir. Önden giderek, ‘Kralın onurlandırmak istediği kişiye böyle davranılır’ diye bağırır.”
Kisha joho na farasi vikabidhiwe kwa mmojawapo wa wakuu wa mfalme anayeheshimika sana. Nao wamvike mtu yule ambaye mfalme anapenda kumheshimu, na aongozwe akiwa juu ya farasi kupitia barabara za mji, wakitangaza mbele yake, ‘Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu!’”
10 Kral Haman'a, “Hemen git” dedi, “Giysiyle atı al ve söylediklerini kralın kapı görevlisi Yahudi Mordekay için yap. Söylediklerinin hiçbirinde kusur etme.”
Mfalme akamwamuru Hamani, “Nenda mara moja, chukua joho na farasi na ufanye kama vile ulivyopendekeza kwa Mordekai Myahudi, akaaye langoni mwa mfalme. Usipuuze kufanya kitu chochote ulichoshauri.”
11 Böylece Haman giysiyi ve atı aldı, Mordekay'ı giydirip atın üstünde kent meydanında gezdirmeye başladı. Önden giderek, “Kralın onurlandırmak istediği kişiye böyle davranılır” diye bağırıyordu.
Hivyo Hamani akachukua joho na farasi. Akamvika Mordekai, na kumpandisha juu ya farasi akamtembeza katika barabara za mji akitangaza mbele yake, “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme anapenda kumheshimu!”
12 Sonra Mordekay saray kapısına döndü. Haman ise utanç içinde başını örterek çabucak evine gitti.
Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango la mfalme. Lakini Hamani akakimbia nyumbani, akiwa amejaa huzuni,
13 Başına gelenleri karısı Zereş'e ve bütün dostlarına anlattı. Karısı Zereş ve danışmanları ona şöyle dediler: “Önünde gerilemeye başladığın Mordekay Yahudi soyundansa, ona gücün yetmeyecek, önünde yok olup gideceksin.”
naye akamweleza Zereshi mkewe pamoja na rafiki zake wote kila kitu ambacho kimempata. Washauri wake pamoja na Zereshi mkewe wakamwambia, “Kwa kuwa Mordekai, ambaye mbele yake umeanza kuanguka ni wa asili ya Kiyahudi, huwezi kushindana naye; kwa hakika utaanguka!”
14 Onlar daha konuşurken, kralın haremağaları gelip Haman'ı apar topar Ester'in vereceği şölene götürdüler.
Walipokuwa bado wakizungumza naye, matowashi wa mfalme wakaja na kumharakisha Hamani aende katika karamu aliyoiandaa Esta.

< Ester 6 >