< Yasa'Nin Tekrari 3 >

1 “Bundan sonra dönüp Başan'a doğru ilerledik. Başan Kralı Og'la ordusu bizimle savaşmak için Edrei'de karşımıza çıktı.
Kisha tuligeuka na kwenda njia ya juu Bashani. Ogi, mfalme wa Bashani, alikuja na kutuvamia, yeye na watu wake wote, kupigana huko Edrei.
2 RAB bana, ‘Ondan korkma!’ dedi, ‘Çünkü onu da ordusuyla ülkesini de senin eline teslim ettim. Amorlular'ın Heşbon'da yaşayan Kralı Sihon'a yaptığının aynısını ona da yapacaksın.’
Yahwe aliniambia mimi, “Usimuogope; kwa kuwa nimekupa ushindi dhidi yake na nimewaweka watu wake wote na nchi yake chini ya utawala wako. Utamfanya kama ulivyomfanya Sihoni, mfalme wa Amorites, aliyeishi Heshbon.
3 “Böylece Tanrımız RAB, Başan Kralı Og'u ve halkını da elimize teslim etti. Hiçbirini sağ bırakmadan hepsini yok ettik.
Kwa hiyo Yahwe Mungu wetu pia alitupa ushindi dhidi ya Ogi mfalme wa Bashani, na watu wake wote waliwekwa chini ya utawala wetu. Na tulimpiga mpaka kufa na hakuna yoyote wa watu wake walibaki.
4 Bütün kentlerini ele geçirdik. Ele geçirmediğimiz tek kent kalmadı. Hepsi altmış kentti: Başan'da Og'un ülkesi olan bütün Argov bölgesi.
Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo; hapakuwa na mji hata mmoja ambao hatukuchukua kutoka kwao: miji sitini - mikoa ya Argobi yote, ufalme wa Ogi Bashani.
5 Bütün bu kentler yüksek surlarla, kapılarla, sürgülerle sağlamlaştırılmıştı. Bunlardan başka surla çevrilmemiş birçok köy de vardı.
Hii ilikuwa miji iliyoimarishwa na kuta ndevu, malango, na vizuizi, hii ilikuwa licha ya vijiji vingi sana vilivyokuwa havina kuta.
6 Heşbon Kralı Sihon'a yaptığımız gibi hepsini yok ettik. Her kenti, kadın, erkek ve çocuklarla birlikte, tümüyle yok ettik.
Tuliviangamiza kabisa, kama tulivyofanya kwa Sihoni mfalme wa Heshbon, kabisa tuliangamiza kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo.
7 Hayvanlara ve kentlerdeki mallara ise el koyduk.
Lakini ng'ombe wote na mateka ya miji, tilichukua kama mateka wetu.
8 “Arnon Vadisi'nden Hermon Dağı'na kadar Şeria Irmağı'nın doğu yakasındaki toprakları iki Amorlu kralın elinden aldık.
Kwa wakati huo tulichukua nchi kutoka kwenye mkono wa wafalme wawili wa Amorites, waliokuwa ng'ambo ya pili ya Yordani, kutoka kwenye bonde la Arnon kwenda mlima wa Hermoni,
9 –Saydalılar Hermon'a Siryon, Amorlular'sa Senir derler.–
(Mlima wa Hermoni, Wasidonia huita Sirioni, na Wamorites huita Seniri)
10 Ovadaki bütün kentleri, bütün Gilat'ı, Og'un ülkesine ait kentler olan Salka ve Edrei'ye uzanan bütün Başan'ı ele geçirdik.”
na miji yote ya tambarare, yote Gileadi, na yote Bashani kupita njia yote ya Salekah na Edrei, miji ya ufalme wa Ogi huko Bashani”.
11 –Refalılar'dan yalnız Başan Kralı Og sağ kalmıştı. Og'un Ammonlular'ın Rabba Kenti'ndeki yatağı demirdendi. O gün kullanılan arşın ölçüsüne göre uzunluğu dokuz, eni dört arşındı.–
(Kwa mabaki ya Refaimu, mfalme Ogi pekee wa Bashani alikuwa amebaki. Tazama! Kitanda chake kilikuwa cha chuma. Hakuna huko Rabbah, ambako wazao wa Ammoni waliishi? Ilikuwa dhiraa tisa urefu na dhiraa nne upana, hiyo njia walitumia watu kupima.)
12 “O sırada ele geçirdiğimiz topraklardan Arnon Vadisi yakınındaki Aroer Kenti'nin kuzeyini, Gilat dağlık bölgesinin yarısıyla oradaki kentleri Ruben ve Gad oymaklarına verdim.
“Hili eneo ambalo tulichukua kumiliki kwa wakati huo-kutoka Aroer, kwamba ni kwa bonde la Arnon, na nusu ya nchi ya mlima wa Gileadi, na miji yake-Nilimpa Reubenites na kwa Gadites.
13 Gilat'ın geri kalan bölümünü ve Og'un ülkesi Başan'ı Manaşşe oymağının yarısına verdim. Başan'daki Argov bölgesi Refalılar ülkesi diye bilinirdi.
Waliobaki wa Gileadi na Bashani yote, ufalme wa Ogi, Niliwapa nusu kabila la Manasseh: kwa wote wa Argob, na Bashani yote. (Eneo hilo linaitwa nchi ya Refaim)
14 Manaşşe soyundan Yair, Geşur ile Maaka sınırına dek uzanan bütün Argov bölgesini aldı. Başan denilen bölgeye kendi adını verdi. Orası bugün de Havvot-Yair diye anılıyor.
Jair, mzao wa Manasseh, alichukuwa mkoa wote wa Argob, kuelekea mpaka wa Geshunites na wa Maacathites. Aliita mkoa hata Bashani kwa jina lake, Havvothi Jair, hadi leo.)
15 Makir'e Gilat'ı verdim.
Nilimpa Gileadi kwa Machir.
16 Gilat'la Arnon Vadisi arasında kalan toprakları Ruben ve Gad oymaklarına verdim. Vadinin ortası onların sınırıydı; Ammonlular'la sınırları ise Yabbuk Irmağı'ydı.
Kwa Reubenites na kwa Gadites nilitoa eneo kutoka kwa Gileadi kuelekea bonde la Arnon- katikati mwa bonde ni mpaka wa eneo- na kuelekea mto wa Jabbok, ambao umepakana ni wazao wa Ammoni.
17 Arava'da da sınır Şeria Irmağı'ydı; Kinneret'ten Arava –Lut– Gölü'ne, doğuda Pisga yamaçlarının aşağısına kadar uzanıyordu.
Moja ya mipaka mingine pia ni tambarare ya bonde la mto wa Yordani, kutoka Chinnerethi kuelekea bahari ya Arabah(ambayo ni bahari ya Chumvi) kuelekea miteremko wa mlima wa Pisgah mashariki.
18 “O zaman size şöyle buyruk verdim: ‘Tanrınız RAB mülk edinmek için bu ülkeyi size verdi. Bütün savaşçılarınız silahlı olarak İsrailli kardeşlerinizin önüsıra gitsin.
Nilikuamuru wewe kwa wakati huo, kusema, Yahwe Mungu wako amekupa nchi hii kuimiliki, wewe, wamaume wote wa vita, watapita wakiwa na silaha mbele ya ndugu zako, watu wa Israeli.
19 Ancak RAB sizi rahata erdirdiği gibi onları da rahata erdirene ve onlar Tanrınız RAB'bin Şeria Irmağı'nın karşı yakasında kendilerine vereceği toprakları ele geçirene kadar, kadınlarınız, çocuklarınız ve hayvanlarınız –biliyorum, birçok hayvanınız var– size verdiğim kentlerde kalsın. Ondan sonra, her biriniz size verdiğim toprağa dönebilir.’”
Lakini wake zenu, watoto wenu, na ng'ombe zenu (najua ya kuwa una ng'ombe wengi) watabaki katika miji yenu niliyowapa,
mpaka Yahwe awape pumziko ndugu zenu, kama alivyo kwenu, mpaka wamiliki pia nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa ng'ambo ya pili Yordani, kisha mtageuka, kila mtu wenu, kwa mali zenu ambazo nimekwishawapa.
21 “O zaman Yeşu'ya, ‘Tanrın RAB'bin bu iki krala neler yaptığını gözlerinle gördün’ dedim, ‘RAB gideceğin bütün ülkelere aynısını yapacak.
Nilimwamuru Yoshua kwa wakati huo, kusema, 'Macho yenu yameona yote yale Yahwe Mungu wenu amefanya kwa hawa wafalme wawili; Yahwe atafanya hivyo kwa falme zote kote mtakakoenda.
22 Onlardan korkmayın! Tanrınız RAB sizin için savaşacak.’
Hamtawaogopa, kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ndiye atakaoawapigania.'
23 “Sonra RAB'be yalvardım:
Nilimsihi Yahwe kwa wakati huo, kusema,
24 ‘Ey Egemen RAB, büyüklüğünü ve güçlü elini bana göstermeye başladın. Gökte ve yerde senin yaptığın yüce işleri yapabilecek başka bir tanrı yok!
'O Bwana Yahwe, umeanza kumuonesha mtumwa wako ukuu wako na mkono wako wa hodari; kwa kuwa nani mungu aliyeko huko mbinguni au duniani ambaye anaweza kufanya kazi zilezile kama ilivyofanya, na matendo yaleyale makuu?
25 İzin ver de Şeria Irmağı'ndan geçip karşı yakadaki o verimli ülkeyi, o güzel dağlık bölgeyi ve Lübnan'ı göreyim.’
Hebu niende juu, Ninakuoma, na nione nchi nzuri ambayo ng'ambo ya pili ya Yordani, ile nchi nzuri ya mlima, na pia Lebanoni.
26 “Ama RAB sizin yüzünüzden bana öfkelendi, yalvarışıma kulak asmadı. Bana, ‘Yeter artık!’ dedi, ‘Bir daha bu konudan söz etme bana.
Lakini Yahwe alikuwa amenikasirikia mimi kwa sababu yenu, hakunisikiliza mimi. Yahwe alisema kwangu, “Hebu hii iwe ya kutosha kwako - usizungumze zaidi tena kwangu kuhusu jambo hili.
27 Pisga Dağı'na çık. Batıya, kuzeye, güneye, doğuya bak. Gözlerinle gör. Çünkü Şeria Irmağı'ndan geçmeyeceksin.
nenda juu ya kilele cha Pisgah na uinue macho yako magharibi, mashariki, kusini na mashariki; tazama kwa macho yako kwa kuwa hautaenda zaidi ya Yordani.
28 Yeşu'ya görev ver. Onu güçlendir ve yüreklendir. Çünkü bu halk Şeria Irmağı'ndan onun önderliğinde geçecek. Göreceğin toprakları halka o miras olarak verecek.’
Badala yake, mwelekeze Yoshua na kumtia moyo na kumuimarisha, kwa kuwa ataenda zaidi mbele ya watu, na atawasababisha kuirithi nchi ambayo mtaiona.
29 Böylece Beytpeor'un karşısındaki vadide kaldık.”
Kwa hiyo tulibaki katika bonde mkabala mwa Beth Peor.

< Yasa'Nin Tekrari 3 >