< Amos 6 >

1 Vay başına Siyon'daki kaygısızların, Samiriye Dağı'nda kendilerini güvende sananların, İsrail halkının başvurduğu Önder ulusun tanınmış insanlarının!
Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
2 Kalne Kenti'ne gidin de görün, Oradan büyük Hama'ya geçin, Filistliler'in Gat Kenti'ne inin, Sizin bu krallıklarınızdan daha mı iyiler? Toprakları sizinkinden daha mı geniş?
Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
3 Ey sizler, kötü günü uzak sanan, Zorbalık tahtını yaklaştıranlar.
Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
4 Ey sizler, fildişi süslü yataklara uzananlar, Sedirlere serilenler, Seçme kuzular, besili buzağılar yiyenler,
Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
5 Çenk eşliğinde türkü söyleyenler, Davut gibi beste yapanlar,
Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
6 Tas tas şarap içenler, Yağların en güzelini sürünenler, Yusuf'un yıkımına kederlenmeyenler!
Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
7 Bu yüzden şimdi bunlar Sürgüne gideceklerin başını çekecekler; Sona erecek sedire serilenlerin cümbüşü.
Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
8 Egemen RAB başı üzerine ant içti, Her Şeye Egemen Tanrı RAB şöyle diyor: “Yakup'un gururundan iğreniyor, Saraylarından tiksiniyorum. Bu yüzden içindeki her şeyle kenti Düşmana teslim edeceğim.”
“Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
9 Eğer bir evden on kişi kalmışsa, Onlar da ölecek.
Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
10 Ölünün akrabası yakmak için cesedi evden almaya gelince, Evdekine, “Yanında kimse var mı?” diye soracak, O da, “Hayır!” yanıtını alınca, “Sus!” diyecek, “RAB'bin adı anılmamalı.”
Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
11 Çünkü RAB buyuruyor, Büyük ev toza, Küçük ev küle dönecek.
Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
12 Atlar kaya üzerinde koşar mı? Kimse denizde öküzle çift sürer mi? Ama siz adaleti zehire, Doğruluk meyvesini pelinotuna çevirdiniz.
Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
13 Sizler, Lo-Devar Kenti'ni aldık diye sevinenler, “Karnayim'i kendi bileğimizle ele geçirmedik mi?” diyenlersiniz.
Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
14 “İşte bu yüzden, ey İsrail halkı, Üzerinize bir ulus göndereceğim” Diyor Her Şeye Egemen Tanrı RAB, “Levo-Hamat'tan Arava Vadisi'ne kadar ezecekler sizi.”
Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”

< Amos 6 >