< 2 Samuel 2 >

1 Bundan sonra Davut RAB'be, “Yahuda kentlerinden birine gideyim mi?” diye sordu. RAB, “Git” dedi. Davut, “Nereye gideyim?” diye sorunca, RAB, “Hevron'a” diye karşılık verdi.
Ikawa baada ya haya Daudi akamuuliza Yahwe, “Je naweza kuupandia mmojawapo wa miji ya Yuda?” Yahweh akamjibu, “Panda.” Daudi akauliza, “Niuendee mji upi? Yahwe akajibu, “Hebroni”
2 Bunun üzerine Davut, iki eşiyle –Yizreelli Ahinoam ve Karmelli Naval'ın dulu Avigayil'le– birlikte oraya gitti.
Hivyo Daudi akakwea pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
3 Aileleriyle birlikte adamlarını da götürdü. Hevron'a bağlı kentlere yerleştiler.
Daudi akawaleta watu waliokuwa pamoja naye, na kila mmoja akaleta familia yake katika mji wa Hebroni walipoanza kuishi.
4 Yahudalılar Hevron'a giderek orada Davut'u Yahuda Kralı olarak meshettiler. Saul'u gömenlerin Yaveş-Gilatlılar olduğu Davut'a bildirildi.
Kisha watu wa Yuda wakaja na kumtia Daudi mafuta kuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi, “Watu wa Yabeshi Gileadi wamemzika Sauli.”
5 Davut onlara ulaklar göndererek şöyle dedi: “Efendiniz Saul'u gömmekle ona yaptığınız iyilikten dolayı RAB sizi kutsasın.
Hivyo Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi Gileadi akawambia, “Mbarikiwe na Yahwe, kwa kuwa mmeonesha utiifu huu kwa bwana wenu Sauli mliyemzika.
6 RAB şimdi size bağlılıkla, iyilikle davransın. Bunu yaptığınız için ben de size aynı şekilde iyilik yapacağım.
Sasa Yahwe awadhihirishie utiifu na uaminifu wa kiagano. Nami pia nitawaonesha wema kwa sababu ya yale mliyoyafanya.
7 Şimdi güçlü ve yürekli olun, çünkü efendiniz Saul öldü. Yahuda halkı beni kralları olarak meshetti.”
Sasa basi, mikono yenu itiwe nguvu; mwe jasiri kwa maana Sauli bwana wenu amekufa, na nyumba yote ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalime wao.
8 Saul'un ordu komutanı Ner oğlu Avner, Saul oğlu İş-Boşet'i yanına alıp Mahanayim'e götürmüştü.
Lakini Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi la Sauli, akamchukuwa Ishboshethi mwana wa Sauli akamleta Mahanaimu.
9 Avner onu orada Gilat, Aşurlular, Yizreel, Efrayim, Benyamin ve bütün İsrail'in kralı yaptı.
Akamfanya Ishboshethi mfalme juu ya Gileadi, Asheri, Yezreeli, Efraimu, Benjamini na juu ya Israeli yote.
10 Saul oğlu İş-Boşet kırk yaşında kral oldu ve İsrail'de iki yıl krallık yaptı. Ancak Yahuda halkı Davut'u destekledi.
Ishiboshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka miwili. Lakini nyumba ya Yuda ikaambatana na Daudi.
11 Davut Hevron'da Yahuda halkına yedi yıl altı ay krallık yaptı.
Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ni miaka saba na miezi sita.
12 Ner oğlu Avner, Saul oğlu İş-Boşet'in adamlarıyla birlikte Mahanayim'den Givon'a gitti.
Abneri mwana wa Neri na watumishi wa Ishboshethi mwana wa Sauli walitoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
13 Seruya oğlu Yoav'la Davut'un adamları varıp Givon Havuzu'nun yanında onları karşıladılar. Taraflardan biri havuzun bir yanına, öteki öbür yanına oturdu.
Yoabu mwana wa Seruya na watumishi wa Daudi wakatoka na kukutana nao katika bwawa la Gibeoni. Wakakaa pale, kundi moja upande huu wa bwawa na kundi lingine upande wa pili.
14 Avner Yoav'a, “Ne olur gençler kalkıp önümüzde dövüşsünler” dedi. Yoav, “Olur, kalkıp dövüşsünler” diye karşılık verdi.
Abneri akamwambia Yoabu, “haya, vijana na wainuke na kushindana mbele yetu.” Yoabu akajibu, “haya na wainuke.”
15 Böylece Benyamin oymağından Saul oğlu İş-Boşet'ten yana olanlardan on iki kişiyle Davut'un adamlarından on iki kişi kalkıp ileri atıldı.
Ndipo vijana walipoinuka na kukutana, kumi na wawili kwa ajili ya Banjamini na Ishboshethi mwana wa Sauli, na kumi na wawili kutoka kwa watumishi wa Daudi.
16 Her biri karşıtının başından tuttuğu gibi kılıcını böğrüne sapladı; birlikte yere serildiler. Bu yüzden Givon'daki o yere Helkat-Hassurim adı verildi.
Kila mtu akakamata kichwa cha adui yake na kupiga upanga wake katika ubavu wa adui yake, wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa kwa Kiebrania, “Helkath Hazzurim,” yaani “konde la upanga,” lililopo Gibeoni.
17 O gün savaş çok çetin oldu. Davut'un adamları Avner'le İsrailliler'i yenilgiye uğrattılar.
Vita ikawa kali sana siku ile na Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watumishi wa Daudi.
18 Seruya'nın üç oğlu –Yoav, Avişay ve Asahel– de oradaydılar. Bir kır ceylanı kadar hızlı koşan Asahel
Wana watatu wa Seruya walikuwepo pale: Yoabu, Abishai na Asaheli.
19 sağa sola sapmadan Avner'i kovaladı.
Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama paa. Akamfuatilia Abneri kwa karibu bila kugeuka upande wowote.
20 Avner arkasına bakınca, “Asahel sen misin?” diye sordu. Asahel, “Evet, benim” diye karşılık verdi.
Abneri akaangalia nyuma yake na kusema, “Ni wewe Asaheli?” Akajibu, “ni mimi.”
21 Avner, “Sağa ya da sola dön. Gençlerden birini yakala ve kendin için silahlarını al” dedi. Ama Asahel Avner'i kovalamaktan vazgeçmek istemedi.
Abneri akamwambia, “Geuka upande wako wa kuria au kushoto umshike mmojawapo wa vijana na kuchukua silaha yake.” Lakini Asaheli hakugeuka.
22 Avner Asahel'i bir daha uyardı: “Beni kovalamaktan vazgeç! Neden seni yere sereyim? Sonra kardeşin Yoav'ın yüzüne nasıl bakarım?”
Ndipo Abneri alipomwambia tena Asaheli, “Simama usinifuate. Kwa nini nikupige hata chini? Nitautazamaje uso wa Yoabu ndugu yako?”
23 Asahel peşini bırakmayı reddedince Avner mızrağının arka ucuyla onu karnından vurdu. Mızrak Asahel'in sırtından çıktı. Asahel orada düşüp öldü. Asahel'in düşüp öldüğü yere varanların tümü orada durup beklediler.
Lakini Asaheli hakukubari kugeuka. na hivyo Abneri akamchoma kwa nchi ya mkuki wake, hata ukatokea upande wa pili. Asaheli akaanguka chini akafa. Hata ikawa kila mmoja aliyefika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa, alisimama hapo hapo.
24 Ama Yoav'la Avişay Avner'i kovalamayı sürdürdüler. Güneş batarken Givon kırsal bölgesine giden yolun üzerindeki Giah'a bakan Amma Tepesi'ne vardılar.
Lakini Yoabu na Abishai wakamfuatilia Abneri. Wakati jua linazama walikuwa wamefika mlima wa Amma, uliopo karibu na Gia katika njia ielekeayo nyika ya Gibeoni.
25 Benyaminliler Avner'in çevresinde toplanarak bir birlik oluşturdular. Bir tepenin başında durup beklediler.
Wabenjamini wakajikusanya nyuma ya Abneri na kusimama juu ya kilima.
26 Avner Yoav'a, “Kılıç sonsuza dek mi insanları yok etsin?” diye seslendi, “Bu olayın acıyla sona ereceğini anlamıyor musun? Kardeşlerini kovalamaktan vazgeçmeleri için askerlere ne zaman buyruk vereceksin?”
Kisha Abneri akamwita Yoabu na kusema, “Je ni lazima upanga uendelee kurarua daima? Je haujui kwamba mwisho wake utakuwa mchungu? Hata line ndipo uwaambie watu wako waache kuwafuatia ndugu zao?”
27 Yoav şöyle karşılık verdi: “Yaşayan Tanrı'nın adıyla derim ki, seslenmeseydin askerler sabaha dek kardeşlerini kovalamaktan vazgeçmeyecekti.”
Yoabu akajibu, “Kama Mungu aishivyo, usingesema hivyo, askari wangu wangewafuatia ndugu zao hata asubuhi!”
28 Sonra Yoav boru çaldı. Herkes durdu. Bundan böyle İsrail halkını ne kovaladılar, ne de onlarla savaştılar.
Ndipo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wote wakasimama na hawakuendelea kuwafuata Israeli tena wala hawakupigana tena.
29 Avner'le adamları bütün gece Arava Vadisi'nde yürüdüler. Şeria Irmağı'nı geçerek Bitron yolundan Mahanayim'e vardılar.
Abneri na watu wake wakasafiri usiku wote kupitia Araba. Wakavuka Yordani, wakatembea asubuhi yote iliyofuata, na hata wakafika Mahanaimu.
30 Yoav Avner'i kovalamaktan döndükten sonra orduyu topladı. Asahel'den başka, Davut'un adamlarından on dokuz kişi eksikti.
Yoabu akarudi kutoka katika kumfuatia Abneri. Akawakusanya watu wake wote, ambopo Asahali na askari wengine kumi na tisa wa Daudi walipungua.
31 Oysa Davut'un adamları Avner'i destekleyen Benyaminliler'i bozguna uğratıp üç yüz altmış kişiyi öldürmüşlerdi.
Lakini watu wa Daudi walikuwa wameua watu 360 wa Benjamini na Abneri.
32 Yoav'la adamları Asahel'i götürüp Beytlehem'de babasının mezarına gömdüler. Sonra bütün gece yürüyerek gün doğumunda Hevron'a vardılar.
Kisha wakamchukua Asahali na kumzika katika kaburi la baba yake, lililokuwapo Bethlehemu. Yoabu na watu wake wakasafiri usiku wote, kukacha wakati wanafika Hebroni.

< 2 Samuel 2 >