< 2 Krallar 1 >
1 İsrail Kralı Ahav'ın ölümünden sonra Moavlılar İsrail'e karşı ayaklandı.
Moabu aliasi dhidi ya Israeli baada ya kifo cha Ahabu.
2 İsrail Kralı Ahazya Samiriye'de yaşadığı sarayın üst katındaki kafesli pencereden düşüp yaralandı. Habercilerine, “Gidin, Ekron ilahı Baalzevuv'a danışın, yaralarımın iyileşip iyileşmeyeceğini öğrenin” dedi.
Baada hapo Ahazi akaanguka chini ya dirisha lenye waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu katika Samaria, na alikuwa amejeruhiwa. Kwa hiyo alituma wajumbe na kuwaambia, “Nendeni, muulizeni Baal Zebubu, mungu wa Ekroni, kama nitapona hili jeraha.”
3 Ama RAB'bin meleği, Tişbeli İlyas'a şöyle dedi: “Kalk, Samiriye Kralı'nın habercilerini karşıla ve onlara de ki, ‘İsrail'de Tanrı yok mu ki Ekron ilahı Baalzevuv'a danışmaya gidiyorsunuz?’
Lakini malaika wa Yahwe wakamwambia Eliya Mtishbi, “Inuka, nenda ukaonane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, na uwaulize, 'Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
4 Kralınıza deyin ki, ‘RAB, Yattığın yataktan kalkamayacak, kesinlikle öleceksin! diyor.’” Böylece İlyas oradan ayrıldı.
Kwa hiyo Yahwe anasema, “Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."”” Baada ya hapo Eliya akaondoka.
5 Haberciler kralın yanına döndüler. Kral, “Neden geri döndünüz?” diye sordu.
wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia, akawaambia, “Kwa nini mmerudi?”
6 Şöyle karşılık verdiler: “Yolda bir adamla karşılaştık. Bize dedi ki, ‘Gidin, sizi gönderen krala RAB şöyle diyor deyin: İsrail'de Tanrı yok mu ki Ekron ilahı Baalzevuv'a danışmak için haberciler gönderdin? Bu yüzden yattığın yataktan kalkamayacak, kesinlikle öleceksin!’”
Wakamwambia, “mtu amekuja kuonana na sisi ambaye ametuambia, 'Turudi kwa mfalme ambaye aliyewatuma, na mkamwambie, Yahwe amesema hivi: 'Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekron? Kwa hiyo hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."””
7 Kral, “Sizi karşılayıp bu sözleri söyleyen nasıl bir adamdı?” diye sordu.
Ahazi akawaambia wajumbe wake, “'Alikuwa mtu wa aina gani, yule ambaye alikuja kuonana na ninyi na akasema haya maneno kwenu?”
8 “Üzerinde tüylü bir giysi, belinde deri bir kuşak vardı” diye yanıtladılar. Kral, “O Tişbeli İlyas'tır” dedi.
Wakamjibu, “Alikuwa amevaa kanzu yenye manyaya na alikuwa na mkanda wa ngozi kiunanoni kwake.'” Hivyo mfalme akajibu, '“Yule alikuwa Eliya Mtishbi.”
9 Sonra bir komutanla birlikte elli adamını İlyas'a gönderdi. Komutan tepenin üstünde oturan İlyas'ın yanına çıkıp ona, “Ey Tanrı adamı, kral aşağı inmeni istiyor” dedi.
Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya. Nahodha akaenda mpaka kwa Eliya ambapo alipokuwa amekaa juu ya mlima. Nahodha akamwambia Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme amesema, 'shuka chini.'”
10 İlyas, “Eğer ben Tanrı adamıysam, şimdi göklerden ateş yağacak ve seninle birlikte elli adamını yok edecek!” diye karşılık verdi. O anda göklerden ateş yağdı, komutanla birlikte elli adamını yakıp yok etti.
Eliya akajibu na kusema kwa nahodha, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni na kukula wewe na watu wako hamsini.” Kisha moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
11 Bunun üzerine kral, İlyas'a başka bir komutanla birlikte elli adam daha gönderdi. Komutan İlyas'a, “Ey Tanrı adamı, kral hemen aşağı inmeni istiyor!” dedi.
Tena Mfalme Ahazi akamtuma nahodha mwingine pamoja na maaskari wengine hamsini. Huyu nahodha pia akasema kwa Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme anasema, teremka chini haraka.”'
12 İlyas, “Eğer ben Tanrı adamıysam, göklerden ateş yağacak ve seninle birlikte elli adamını yok edecek!” diye karşılık verdi. O anda göklerden ateş yağdı, komutanla birlikte elli adamını yakıp yok etti.
Eliya akajibu na kuwaambia, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni na ukule wewe na watu wako hamsini.” Moto wa Mungu ukashuka chini tena kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
13 Kral üçüncü kez bir komutanla elli adam gönderdi. Üçüncü komutan çıkıp İlyas'ın önünde diz çöktü ve ona şöyle yalvardı: “Ey Tanrı adamı, lütfen bana ve adamlarıma acı, canımızı bağışla!
Bado tena mfalme alituma kundi la tatu la wapiganaji hamsini. Huyu nahodha akaenda, akaanguka mbele ya miguu ya Eliya, na kumsihi na kumwambia, “Wewe, mtu wa Mungu, Nakuomba, acha uzima wangu na uzima wa hawa watumishi wako hamsini uwe na thamani machoni kwako.
14 Göklerden yağan ateş daha önce gelen iki komutanla ellişer adamını yakıp yok etti, ama lütfen bana acı.”
Ndipo, moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kuwala wale manahodha wawili wa kwanza pamoja na watu wao, bali sasa acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako.”
15 RAB'bin meleği, İlyas'a, “Onunla birlikte aşağı in, korkma” dedi. İlyas kalkıp komutanla birlikte kralın yanına gitti
Malaika wa Yahwe akamwambia Eliya, “'Nenda chini pamoja naye. Usimwogope.”' Hivyo Eliya akainuka na kwenda chini pamoja naye kwenda kwa mfalme.
16 ve ona şöyle dedi: “RAB diyor ki, ‘İsrail'de danışacak Tanrı yok mu ki Ekron ilahı Baalzevuv'a danışmak için haberciler gönderdin? Bu yüzden yattığın yataktan kalkamayacak, kesinlikle öleceksin!’”
Baadye Eliya akamwambia Ahazia, '“Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Umewatuma wajumbe kuzungumza pamoja na Baal-Zebubu, mungu wa Ekron. Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari? Kwa hiyo sasa, hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda; utakufa hakika.'”
17 RAB'bin İlyas aracılığıyla söylediği söz uyarınca Kral Ahazya öldü. Oğlu olmadığı için yerine kardeşi Yoram geçti. Bu olay Yahuda Kralı Yehoşafat oğlu Yehoram'ın krallığının ikinci yılında oldu.
Hivyo Mfalme Ahazia alikufa kulingana na neno la Yahwe ambalo Eliya alilisema. Yoramu alianza kutawala katika eneo lake, katika mwaka wa pili Yoramu mwana wa Yohoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu Ahazia hakuwa na mtoto.
18 Ahazya'nın krallığı dönemindeki öteki olaylar ve yaptıkları İsrail krallarının tarihinde yazılıdır.
Kama mambo mengine yanayomuhusu Ahazia, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?