< 2 Krallar 8 >

1 Elişa, oğlunu diriltmiş olduğu Şunemli kadına şöyle demişti: “Kalk, ailenle birlikte buradan git, geçici olarak kalabileceğin bir yer bul. Çünkü RAB ülkeye yedi yıl sürecek bir kıtlık göndermeye karar verdi.”
Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
2 Kadın Tanrı adamının öğüdüne uyarak ailesiyle birlikte kalkıp Filist ülkesine gitti ve orada yedi yıl kaldı.
Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
3 Yedi yıl sonra Filist'ten döndü. Evini, tarlasını geri almak için kraldan yardım istemeye gitti.
Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
4 O sırada kral Tanrı adamının uşağı Gehazi'yle konuşuyor, “Bana Elişa'nın yaptığı bütün mucizeleri anlat” diyordu.
Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
5 İşte Gehazi tam Elişa'nın ölüyü nasıl dirilttiğini krala anlatırken, oğlu diriltilen kadın eviyle tarlasını geri almak için kraldan yardım istemeye geldi. Gehazi krala, “Efendim kral, sözünü ettiğim kadın budur. Yanındaki oğlu da Elişa'nın dirilttiği çocuktur” dedi.
Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
6 Kral kadına sorunca kadın her şeyi anlattı. Bunun üzerine kral bir görevli çağırtıp şu buyruğu verdi: “Bu kadına her şeyini, ülkeden ayrıldığı günden bugüne kadar biriken bütün geliriyle birlikte tarlasını geri verin.”
Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
7 Aram Kralı Ben-Hadat hastalandığı sırada Elişa Şam'a gitti. Tanrı adamının Şam'a geldiği krala bildirildi.
Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
8 Kral, Hazael'e, “Bir armağan al, Tanrı adamını karşılamaya git” dedi, “Onun aracılığıyla RAB'be danış, bu hastalıktan kurtulup kurtulamayacağımı sor.”
Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
9 Hazael, Şam'ın en iyi mallarından oluşan kırk deve yükü armağanı yanına alarak, Tanrı adamını karşılamaya gitti. Elişa'nın önünde durup şöyle dedi: “Kulun Aram Kralı Ben-Hadat, hastalığından kurtulup kurtulamayacağını sormam için beni gönderdi.”
Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
10 Elişa, “Git ona, ‘Kesinlikle iyileşeceksin’ de; ama RAB bana onun kesinlikle öleceğini açıkladı” diye karşılık verdi.
Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
11 Tanrı adamı, Hazael'i utandırıncaya kadar dik dik yüzüne baktı. Ardından ağlamaya başladı.
Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
12 Hazael, “Efendim, niçin ağlıyorsun?” diye sordu. Elişa, “Senin İsrail halkına yapacağın kötülükleri biliyorum” diye yanıtladı, “Kalelerini ateşe verecek, gençlerini kılıçtan geçirecek, çocuklarını yere çalıp öldürecek, gebe kadınlarının karınlarını deşeceksin.”
Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
13 Hazael, “Bir köpekten farksız olan bu kulun, bütün bu işleri nasıl yapabilir?” dedi. Elişa, “RAB bana senin Aram Kralı olacağını gösterdi” diye yanıtladı.
Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
14 Bunun üzerine Hazael Elişa'dan ayrılıp efendisi Ben-Hadat'ın yanına döndü. Ben-Hadat ona, “Elişa sana ne söyledi?” diye sordu. Hazael, “Kesinlikle iyileşeceğini söyledi” diye yanıtladı.
Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
15 Gelgelelim ertesi gün Hazael ıslattığı bir örtüyü kralın yüzüne kapatıp onu boğdu. Böylece kral öldü, yerine Hazael geçti.
Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
16 İsrail Kralı Ahav oğlu Yoram'ın krallığının beşinci yılında, Yehoşafat'ın Yahuda Kralı olduğu sırada, Yehoşafat'ın oğlu Yehoram Yahuda'yı yönetmeye başladı.
Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
17 Yehoram otuz iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de sekiz yıl krallık yaptı.
Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
18 Karısı Ahav'ın kızı olduğu için, o da Ahav'ın ailesi gibi İsrail krallarının yolunu izledi ve RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
19 Ama RAB kulu Davut'un hatırı için Yahuda'yı yok etmek istemedi. Çünkü Davut'a ve soyuna sönmeyen bir ışık vereceğine söz vermişti.
Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
20 Yehoram'ın krallığı döneminde Edomlular Yahudalılar'a karşı ayaklanarak kendi krallıklarını kurdular.
Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
21 Yehoram bütün savaş arabalarıyla Sair'e gitti. Edomlular onu ve savaş arabalarının komutanlarını kuşattılar. Ama Yehoram gece kalkıp kuşatmayı yararak kaçtı. Askerleri de kaçarak evlerine döndü.
Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
22 O sırada Livna Kenti ayaklandı. Edomlular'ın Yahuda'ya karşı başkaldırması bugün de sürüyor.
Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
23 Yehoram'ın krallığı dönemindeki öteki olaylar ve bütün yaptıkları Yahuda krallarının tarihinde yazılıdır.
Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
24 Yehoram ölüp atalarına kavuştu ve Davut Kenti'nde atalarının yanına gömüldü. Yerine oğlu Ahazya kral oldu.
Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
25 İsrail Kralı Ahav oğlu Yoram'ın krallığının on ikinci yılında Yehoram oğlu Ahazya Yahuda Kralı oldu.
Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
26 Ahazya yirmi iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de bir yıl krallık yaptı. Annesi İsrail Kralı Omri'nin torunu Atalya'ydı.
Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
27 Ahazya evlilik yoluyla Ahav'a akraba olduğu için Ahav ailesinin yolunu izledi ve onlar gibi RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
28 Ahazya, Aram Kralı Hazael'le savaşmak üzere Ahav oğlu Yoram'la birlikte Ramot-Gilat'a gitti. Aramlılar Yoram'ı yaraladılar.
Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
29 Kral Yoram Ramot-Gilat'ta Aram Kralı Hazael'le savaşırken aldığı yaraların iyileşmesi için Yizreel'e döndü. Yahuda Kralı Yehoram oğlu Ahazya da yaralanan Ahav oğlu Yoram'ı görmek için Yizreel'e gitti.
Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.

< 2 Krallar 8 >