< 2 Krallar 21 >
1 Manaşşe on iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de elli beş yıl krallık yaptı. Annesinin adı Hefsivah'tı.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hefziba.
2 RAB'bin İsrail halkının önünden kovmuş olduğu ulusların iğrenç törelerine uyarak RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
Alifanya maovu usoni kwa Yahwe, kama machukizo ya mataifa ambayo Yahwe aliyafukuza nje mbele ya wana wa Israeli.
3 Babası Hizkiya'nın yok ettiği puta tapılan yerleri yeniden yaptırdı. İsrail Kralı Ahav gibi, Baal için sunaklar kurdu, Aşera putu yaptı. Gök cisimlerine taparak onlara kulluk etti.
Kwa kupajenga tena mahala pa juu ambapo Hezekia baba yake alipaharibu, na akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali, akafanya Ashera, kama Ahabu mfalme wa Israeli alivyofanya, akasujudu kwa nyota zote za mbinguni na kuwaabudu wao.
4 RAB'bin, “Yeruşalim'de bulunacağım” dediği RAB'bin Tapınağı'nda sunaklar kurdu.
Manase akajenga madhabahu za kipagani kwenye nyumba ya Yahwe, ingawaje Yahwe aliamuru, “Jina langu litakuwa Yerusalemu daima.”
5 Tapınağın iki avlusunda gök cisimlerine tapmak için sunaklar yaptırdı.
Akajenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika behewa mbili za nyumba ya Yahwe.
6 Oğlunu ateşte kurban etti; falcılık ve büyücülük yaptı. Medyumlara, ruh çağıranlara danıştı. RAB'bin gözünde çok kötülük yaparak O'nu öfkelendirdi.
Akamuweka mtoto wake wa kiume kwenye moto; akatazama bao ushirikina na kujishuhulisha pamoja wale ambao wenye pepo wa utambuzi na wale wachawi. Akafanya maovu mengi usoni kwa Yahwe na kuchochea hasira kwa Mungu.
7 Manaşşe yaptırdığı Aşera putunu RAB'bin Tapınağı'na yerleştirdi. Oysa RAB tapınağa ilişkin Davut'la oğlu Süleyman'a şöyle demişti: “Bu tapınakta ve İsrail oymaklarının yaşadığı kentler arasından seçtiğim Yeruşalim'de adım sonsuza dek anılacak.
Sanamu ya kuchongwa ya Ashera ambayo aliitnegeneza, akaiweka kwenye nyumba ya Yahwe. Nyumba hii ndiyo ambayo Yahwe alimwambia Daudi na Sulemani mwanawe; alisema: “Ni nyumba hii na katika Yerusalemu, ambayo nimeichagua kutoka makabila yote ya Isaraeli, ambako nitaliweka jina langu milele.
8 Buyruklarımı dikkatle yerine getirir ve kulum Musa'nın kendilerine verdiği Kutsal Yasa'yı tam uygularlarsa, İsrail halkının ayağını bir daha atalarına vermiş olduğum ülkenin dışına çıkarmayacağım.”
Sintofanya miguu ya Israeli kushindwa tena nje ya nchi ambayo niliwapa babu zao, kama tu watakuwa makini kutii yale yote niliyowaamuru, na kufuata sheria zote ambazo mtumishi wangu Musa aliwaamuru.”
9 Ama halk kulak asmadı. Manaşşe onları öylesine yoldan çıkardı ki, RAB'bin İsrail halkının önünde yok ettiği uluslardan daha çok kötülük yaptılar.
Lakini watu hawakusikia, na Manase akawaongoza kufanya maovu zaidi kuliko yale ya mataifa ambayo Yahwe aliyaharibu mbele ya watu wa Israeli.
10 RAB, kulları peygamberler aracılığıyla şöyle dedi:
Basi Yahwe akaongea na watumishi wake manabii, akisema,
11 “Yahuda Kralı Manaşşe bu iğrenç işleri yaptığı, kendisinden önceki Amorlular'dan daha çok kötülük ettiği, putlar dikerek Yahudalılar'ı günaha sürüklediği için İsrail'in Tanrısı RAB, ‘Yeruşalim'in ve Yahuda'nın başına öyle bir felaket getireceğim ki, duyanların hepsi şaşkına dönecek’ diyor,
Kwasababu Manase mfalme wa Yuda amefanya haya machukizo, na kutenda maovu zaidi kuliko yote waliyoyatenda Waamori ambao walikuwa mbele yake walikubali, na pia aliwafanya Yuda kuasi kwa sanamu zake,
kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israeli, akasema hivi: Tazama, nakaribia kuleta uovu juu ya Yerusalemu na Yuda ambayo kila mtu asikiapo kuhusu hilo, masikio yake yote yatang'aa.
13 ‘Samiriye'yi ve Ahav'ın soyunu nasıl cezalandırdımsa, Yeruşalim'i cezalandırırken de aynı ölçü ipini, aynı çekülü kullanacağım. Bir adam tabağını nasıl temizler, silip yüzüstü kapatırsa, Yeruşalim'i de öyle silip süpüreceğim.
Nitanyoosha juu ya Yerusalemu kipimo kilichotumika dhidi ya Samaria, na kuangusha msatari utakaotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu; Nitaifuta Yerusalemu safi, kama kufuta sahani, kuifuta na kuifunika juu chini.
14 Halkımdan sağ kalanları terk edeceğim ve düşmanlarının eline teslim edeceğim. Yeruşalim halkı yağmalanıp ganimet olarak götürülecek.
Nitawatupa masalia ya urithi wangu na kuwaweka mikononi mwa maadui zao. Watakuwa nyara na mateka kwa maadui zao wote,
15 Çünkü gözümde kötü olanı yaptılar. Atalarının Mısır'dan çıktığı günden bugüne kadar beni öfkelendirdiler.’”
kwa sababu wamefanya yaliyo maovu usoni kwangu, na kunichochea hasira, tangu siku babu zao walipotoka Misri, hadi leo.”
16 Manaşşe RAB'bin gözünde kötü olanı yaparak Yahudalılar'ı günaha sürüklemekle kalmadı, Yeruşalim'i bir uçtan öbür uca dolduracak kadar çok sayıda suçsuzun kanını döktü.
Aidha, Manase akazimwaga damu nyingi za wasio na hatia, hadi alipoijaza Yerusalemu kutoka upande huu kwenda mwingine kwa kifo. Hii ilikuwa ni kuongeza kwenye dhambi ambayo aliifanya Yuda kuasi, wakati walipofanya uovu mbele za Yahwe.
17 Manaşşe'nin krallığı dönemindeki öteki olaylar, bütün yaptıkları ve işlediği günahlar Yahuda krallarının tarihinde yazılıdır.
Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Manase, yote aliyoyafanya, na dhambi ambayo aliyoifanya, je haya hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafalme wa Yuda?
18 Manaşşe ölüp atalarına kavuşunca, sarayının Uzza adındaki bahçesine gömüldü. Yerine oğlu Amon kral oldu.
Manase akalala pamoja na babu zake na alizikwa kwenye bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza. Amoni mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.
19 Amon yirmi iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de iki yıl krallık yaptı. Annesi Yotvalı Harus'un kızı Meşullemet'ti.
Amoni alikuwa na miaka kumi na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Meshlemethi; alikuwa binti wa Haruzi wa Yotba.
20 Amon da babası Manaşşe gibi RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama manase baba yake alivyofanya.
21 Babasının yürüdüğü yollarda yürüdü, aynı putlara taptı ve hizmet etti.
Amoni alifuata njia zote ambazo baba yake alizotembelea na kuabudu sanamu ambazo baba yake aliziabudu, na kuzisujudia.
22 Atalarının Tanrısı RAB'bi terk etti, O'nun yolunda yürümedi.
Akajitenga na Yahwe, Mungu wa baba zake, na hakutembea katika njia ya Yahwe.
23 Kral Amon'un görevlileri düzen kurup onu sarayında öldürdüler.
Watumishi wa Amoni wakafanya njama dhidi yake na kumuua mfalme kwenye nyumba yake mwenyewe.
24 Ülke halkı Amon'a düzen kuranların hepsini öldürdü. Yerine oğlu Yoşiya'yı kral yaptı.
Lakini watu wa nchi wakawaua watu wote waliofanya njama dhidi ya mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia mtoto wake kuwa mfalme katika sehemu yake.
25 Amon'un krallığı dönemindeki öteki olaylar ve yaptıkları Yahuda krallarının tarihinde yazılıdır.
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Amoni yale aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
26 Amon Uzza bahçesinde kendi mezarına gömüldü. Yerine oğlu Yoşiya kral oldu.
Watu wakamzika kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza, na Yosia mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.