< 2 Tarihler 33 >

1 Manaşşe on iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de elli beş yıl krallık yaptı.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
2 RAB'bin İsrail halkının önünden kovmuş olduğu ulusların iğrenç törelerine uyarak RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
3 Babası Hizkiya'nın ortadan kaldırdığı puta tapılan yerleri yeniden yaptırdı. Baallar için sunaklar kurdu, Aşera putları yaptı. Gök cisimlerine taparak onlara kulluk etti.
Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
4 RAB'bin, “Adım sonsuza dek Yeruşalim'de bulunacaktır” dediği RAB'bin Tapınağı'nda sunaklar kurdu.
Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
5 Tapınağın iki avlusunda gök cisimlerine tapmak için sunaklar yaptırdı.
Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
6 Oğullarını Ben-Hinnom Vadisi'nde ateşte kurban etti; falcılık ve büyücülük yaptı. Medyumlara, ruh çağıranlara danıştı. RAB'bin gözünde çok kötülük yaparak O'nu öfkelendirdi.
Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
7 Manaşşe yaptırdığı putu Tanrı'nın Tapınağı'na yerleştirdi. Oysa Tanrı tapınağa ilişkin Davut'la oğlu Süleyman'a şöyle demişti: “Bu tapınakta ve İsrail oymaklarının yaşadığı kentler arasından seçtiğim Yeruşalim'de adım sonsuza dek anılacak.
Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
8 Kendilerine Musa aracılığıyla buyurduğum Kutsal Yasa'yı, kuralları, ilkeleri dikkatle yerine getirirlerse, İsrail halkının ayağını bir daha atalarına vermiş olduğum ülkenin dışına çıkarmayacağım.”
Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
9 Ancak Manaşşe Yahudalılar'la Yeruşalim'de yaşayanları öylesine yoldan çıkardı ki, RAB'bin İsrail halkının önünde yok ettiği uluslardan daha çok kötülük yaptılar.
Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
10 RAB Manaşşe'yle halkını uyardıysa da aldırış etmediler.
Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
11 Bunun üzerine RAB Asur Kralı'nın ordu komutanlarını onların üzerine gönderdi. Manaşşe'yi tutsak alıp burnuna çengel taktılar; tunç zincirlerle bağlayıp Babil'e götürdüler.
Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
12 Ne var ki, Manaşşe sıkıntısında Tanrısı RAB'be yakardı ve atalarının Tanrısı önünde son derece alçakgönüllü davrandı.
Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
13 RAB'be yalvarınca RAB yakarışını, duasını duydu ve onu yine Yeruşalim'e, krallığına getirdi. İşte o zaman Manaşşe RAB'bin Tanrı olduğunu anladı.
Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
14 Sonra Davut Kenti için vadideki Gihon Pınarı'nın batısından Balık Kapısı'nın girişine kadar yüksek bir dış sur yaptı; Ofel Tepesi'ni de bu surla çevirdi. Yahuda'nın bütün surlu kentlerine komutanlar yerleştirdi.
Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
15 RAB'bin Tapınağı'ndan yabancı ilahları ve diktirdiği putu çıkardı; tapınağın bulunduğu tepede ve Yeruşalim'de yaptırdığı bütün sunakları kaldırıp kentin dışına attı.
Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
16 RAB'bin sunağını yeniden kurup üzerinde esenlik ve şükran kurbanları kesti; Yahuda halkına İsrail'in Tanrısı RAB'be kulluk etmeleri için buyruk verdi.
Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
17 Ne var ki, halk tapınma yerlerinde kurban sunmayı sürdürdü; ancak yalnız Tanrıları RAB'be kurban sunuyorlardı.
Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
18 Manaşşe'nin yaptığı öbür işler, Tanrısı'na yakarışı ve İsrail'in Tanrısı RAB'bin adına onu uyaran bilicilerin sözleri, İsrail krallarının tarihinde yazılıdır.
Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
19 Duası, Tanrı'nın ona yanıtı, gururundan dönmeden önce işlediği bütün günahlar, ihaneti, yaptırdığı tapınma yerleri, Aşera putlarıyla öbür putları diktirdiği yerler Hozay'ın tarihinde yazılıdır.
Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
20 Manaşşe ölüp atalarına kavuşunca, kendi sarayına gömüldü. Yerine oğlu Amon kral oldu.
Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
21 Amon yirmi iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de iki yıl krallık yaptı.
Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
22 Amon da babası Manaşşe gibi RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı. Babası Manaşşe'nin yaptırdığı putlara kurban sundu, onlara taptı.
Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
23 Ancak RAB'bin önünde alçakgönüllülüğü takınan babası Manaşşe'nin tersine, giderek suçunu artırdı.
Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
24 Görevlileri düzen kurup onu sarayında öldürdüler.
Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
25 Ülke halkı Kral Amon'a düzen kuranların hepsini öldürdü. Yerine oğlu Yoşiya'yı kral yaptı.
Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.

< 2 Tarihler 33 >