< 2 Tarihler 22 >

1 Yeruşalim halkı Yehoram'ın en küçük oğlu Ahazya'yı babasının yerine kral yaptı. Çünkü Araplar'la ordugaha gelen akıncılar büyük kardeşlerinin hepsini öldürmüştü. Dolayısıyla Yehoram oğlu Ahazya Yahuda Kralı oldu.
Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
2 Ahazya yirmi iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de bir yıl krallık yaptı. Annesi Omri'nin torunu Atalya'ydı.
Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
3 Ahazya da Ahav ailesinin yollarını izledi. Annesi onu kötülüğe itiyordu.
Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
4 Ahav ailesi gibi RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı. Çünkü babasının ölümünden beri Ahav ailesi onu yıkıma götürecek öğütler veriyordu.
Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
5 Ahazya onların öğütlerine uyarak, Aram Kralı Hazael'le savaşmak üzere İsrail Kralı Ahav oğlu Yoram'la birlikte Ramot-Gilat'a gitti. Aramlılar Yoram'ı yaraladılar.
Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 Yoram Ramot-Gilat'ta Aram Kralı Hazael'le savaşırken aldığı yaraların iyileşmesi için Yizreel'e döndü. Yahuda Kralı Yehoram oğlu Ahazya da yaralanan Ahav oğlu Yoram'ı görmek için Yizreel'e gitti.
Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
7 Yoram'ı ziyaret eden Ahazya'yı Tanrı yıkıma uğrattı. Ahazya oraya varınca, Yoram'la birlikte Nimşi oğlu Yehu'yu karşılamaya gitti; RAB Yehu'yu Ahav soyunu ortadan kaldırmak için meshetmişti.
Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
8 Yehu, Ahav soyunu cezalandırırken, Ahazya'ya hizmet eden Yahuda önderleriyle Ahazya'nın yeğenlerini bulup hepsini öldürdü.
Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
9 Sonra Ahazya'yı aramaya koyuldu. Onu Samiriye'de gizlenirken yakalayıp Yehu'ya getirdiler, sonra öldürdüler. Ahazya'yı, “Bütün yüreğiyle RAB'be yönelen Yehoşafat'ın torunudur” diyerek gömdüler. Böylece Ahazya'nın soyunda krallığı yönetebilecek güçte kimse kalmadı.
Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
10 Ahazya'nın annesi Atalya, oğlunun öldürüldüğünü duyunca, Yahuda'da kral soyunun bütün bireylerini yok etmeye çalıştı.
Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
11 Ne var ki, Kral Yehoram'ın kızı Yehoşavat, Ahazya oğlu Yoaş'ı kralın öldürülmek istenen öteki oğullarının arasından alıp kaçırdı ve dadısıyla birlikte yatak odasına gizledi. Yehoşavat Kral Yehoram'ın kızı, Kâhin Yehoyada'nın karısı, Ahazya'nın da üvey kızkardeşiydi. Öldürülmesin diye çocuğu Atalya'dan gizledi.
Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
12 Atalya ülkeyi yönetirken, çocuk altı yıl boyunca Tanrı'nın Tapınağı'nda onların yanında gizlendi.
Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.

< 2 Tarihler 22 >