< 2 Tarihler 21 >
1 Yehoşafat ölüp atalarına kavuştu ve Davut Kenti'nde atalarının yanına gömüldü. Yerine oğlu Yehoram kral oldu.
Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
2 Yehoşafat oğlu Yehoram'ın kardeşleri şunlardı: Azarya, Yehiel, Zekeriya, Azaryahu, Mikael, Şefatya. Bunların tümü İsrail Kralı Yehoşafat'ın oğullarıydı.
Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
3 Babaları onlara çok miktarda altın, gümüş, değerli eşyalar armağan etmiş, ayrıca Yahuda'da surlu kentler vermişti. Ancak, Yehoram ilk oğlu olduğundan, krallığı ona bırakmıştı.
Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
4 Babasının yerine geçen Yehoram güçlenince, bütün kardeşlerini ve bazı İsrail önderlerini kılıçtan geçirtti.
Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
5 Yehoram otuz iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de sekiz yıl krallık yaptı.
Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
6 Karısı Ahav'ın kızı olduğu için, o da Ahav'ın ailesi gibi İsrail krallarının yolunu izledi ve RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
7 Ama RAB Davut'la yaptığı antlaşmadan ötürü onun soyunu yok etmek istemedi. Çünkü Davut'a ve soyuna sönmeyen bir ışık vereceğine söz vermişti.
Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
8 Yehoram'ın krallığı döneminde Edomlular Yahudalılar'a karşı ayaklanarak kendi krallıklarını kurdular.
Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
9 Yehoram komutanları ve bütün savaş arabalarıyla oraya gitti. Edomlular onu ve savaş arabalarının komutanlarını kuşattılar. Ama Yehoram gece kalkıp kuşatmayı yararak kaçtı.
Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
10 Edomlular'ın Yahuda'ya karşı başkaldırması bugün de sürüyor. O sırada Livna Kenti de ayaklandı. Çünkü Yehoram atalarının Tanrısı RAB'bi bırakmıştı.
Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
11 Yahuda tepelerinde puta tapılan yerler bile yapmış, Yeruşalim halkının putlara bağlanmasına önayak olmuş, Yahuda halkını günaha sürüklemişti.
Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
12 Yehoram Peygamber İlyas'tan bir mektup aldı. Mektup şöyleydi: “Atan Davut'un Tanrısı RAB şöyle diyor: ‘Baban Yehoşafat'ın ve Yahuda Kralı Asa'nın yollarını izlemedin.
Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
13 İsrail krallarının yolunu izledin. Ahav'ın ailesinin yaptığı gibi Yahuda ve Yeruşalim halkının putlara bağlanmasına önayak oldun. Üstelik kendi ailenden, senden daha iyi olan kardeşlerini öldürttün.
bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
14 Bu yüzden RAB halkını, oğullarını, karılarını ve senin olan her şeyi büyük bir yıkımla vuracak.
ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
15 Sen de korkunç bir bağırsak hastalığına yakalanacaksın. Bu hastalık yüzünden bağırsakların dışarı dökülene dek günlerce sürüneceksin.’”
Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
16 RAB Filistliler'i ve Kûşlular'ın yanında yaşayan Araplar'ı Yehoram'a karşı kışkırttı.
Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
17 Saldırıp Yahuda'ya girdiler. Sarayda bulunan her şeyi, kralın oğullarıyla karılarını alıp götürdüler. Kralın en küçük oğlu Yehoahaz'dan başka oğlu kalmadı.
Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
18 Sonra RAB Yehoram'ı iyileşmez bir bağırsak hastalığıyla cezalandırdı.
Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
19 Zaman geçti, ikinci yılın sonunda hastalık yüzünden bağırsakları dışarı döküldü. Şiddetli acılar içinde öldü. Halkı ataları için ateş yaktığı gibi onun onuruna ateş yakmadı.
Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
20 Yehoram otuz iki yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de sekiz yıl krallık yaptı. Ölümüne kimse üzülmedi. Onu Davut Kenti'nde gömdülerse de, kralların mezarlığına gömmediler.
Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.