< 2 Tarihler 15 >

1 Tanrı'nın Ruhu Odet oğlu Azarya'nın üzerine indi.
Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
2 Azarya, Kral Asa'ya gidip şöyle dedi: “Ey Asa, ey Yahuda ve Benyamin halkı, beni dinleyin! RAB'le birlikte olduğunuz sürece, O da sizinle olacaktır. O'nu ararsanız bulursunuz. Ama O'nu bırakırsanız, O da sizi bırakır.
Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
3 İsrail halkı uzun süre gerçek Tanrı'dan, eğitici kâhinlerden ve yasadan uzak yaşadı.
Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
4 Ama sıkıntıya düştüklerinde İsrail'in Tanrısı RAB'be döndüler, O'nu arayıp buldular.
Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
5 O günlerde yolcuların güvenliği yoktu. Çünkü çevre ülkelerde yaşayanların tümü büyük kargaşa içindeydi.
Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
6 Ulus ulusu, kent kenti ezmeye çalışıyordu. Çünkü Tanrı onları çeşitli sıkıntılarla tedirgin ediyordu.
Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
7 Ama siz güçlü olun, cesaretinizi yitirmeyin. Yaptıklarınızın karşılığını alacaksınız.”
Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
8 Asa bu sözleri, Peygamber Odet'in oğlu Azarya'nın peygamberliğini duyunca, cesaret buldu. Yahuda ve Benyamin topraklarından, Efrayim'in dağlık bölgesinde ele geçirdiği kentlerden iğrenç putları kaldırdı. RAB'bin Tapınağı'nın eyvanının önündeki RAB'bin sunağını onardı.
Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
9 Efrayim'den, Manaşşe'den, Şimon'dan gelen birçok İsrailli, Tanrısı RAB'bin Asa'yla birlikte olduğunu görünce onun tarafına geçti. Asa bu gelenlerle Yahuda ve Benyamin halkını bir araya topladı.
Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
10 Asa'nın krallığının on beşinci yılının üçüncü ayında Yeruşalim'de toplandılar.
Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
11 Yağmalamış oldukları hayvanlardan yedi yüz sığırla yedi bin davarı o gün RAB'be kurban ettiler.
Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
12 Bütün yürekleriyle, bütün canlarıyla atalarının Tanrısı RAB'be yönelmek için antlaşma yaptılar.
Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
13 Büyük küçük, kadın erkek, kim İsrail'in Tanrısı RAB'be yönelmezse öldürülecekti.
Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
14 Yüksek sesle bağırarak, borazan ve boru çalarak RAB'bin önünde ant içtiler.
Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
15 Yahudalılar bütün yürekleriyle içtikleri ant için sevindiler. RAB'bi istekle arayıp buldular. O da onları her yandan esenlikle kuşattı.
Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
16 Kral Asa annesi Maaka'nın kraliçeliğini elinden aldı. Çünkü o Aşera için iğrenç bir put yaptırmıştı. Asa bu iğrenç putu kesip parçaladıktan sonra Kidron Vadisi'nde yaktı.
Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
17 Ancak İsrail'den puta tapılan yerleri kaldırmadı. Ama yaşamı boyunca yüreğini RAB'be adadı.
Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
18 Babasının ve kendisinin adadığı altını, gümüşü ve eşyaları Tanrı'nın Tapınağı'na getirdi.
Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
19 Asa'nın krallığının otuz beşinci yılına kadar savaş olmadı.
Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.

< 2 Tarihler 15 >