< 1 Samuel 7 >

1 Bunun üzerine Kiryat-Yearim halkı varıp RAB'bin Sandığı'nı aldı. Onu Avinadav'ın tepedeki evine götürdüler. RAB'bin Antlaşma Sandığı'na bakması için Avinadav oğlu Elazar'ı görevlendirdiler.
Watu wa Kiriath Yearimu walikuja, wakalichukua sanduku la BWANA, wakalileta ndani ya nyumba ya Abinadabu mlimani iliyokuwa kilimani. Wakamteua Eleazari, mwanawe, kulitunza sanduku la BWANA.
2 Sandık uzun bir süre, yirmi yıl boyunca Kiryat-Yearim'de kaldı. Bu arada bütün İsrail halkı RAB'bin özlemini çekti.
Tangu siku ambayo sanduku lilikaa huko Kiiriath Yearimu, ulipita muda mrefu, miaka ishirini. Nyumba yote ya Israeli iliomboleza na ikaazimu kumrudia BWANA.
3 Samuel İsrail halkına şöyle dedi: “Eğer bütün yüreğinizle RAB'be dönmeye istekliyseniz, yabancı ilahları ve Aştoret'in putlarını aranızdan kaldırın. Kendinizi RAB'be adayıp yalnız O'na kulluk edin. RAB de sizi Filistliler'in elinden kurtaracaktır.”
Samweli akawaambia watu wote wa Israeli, “Kama mtamrudia BWANA kwa moyo wenu wote, mkaiondoa miungu migeni na Ashtorethi kutoka katikati yenu, igeuzeni mioyo yenu kwa BWANA, na mwabuduni yeye peke yake, ndipo atawaokoa kutoka mkono wa Wafilisti.”
4 Bunun üzerine İsrailliler Baal'ın ve Aştoret'in putlarını atıp yalnızca RAB'be kulluk etmeye başladılar.
Ndipo watu wa Israeli wakamuondoa Baali na Ashtorethi, na wakamwabudu BWANA peke yake.
5 O zaman Samuel, “Bütün İsrail halkını Mispa'da toplayın, ben de sizin için RAB'be yakaracağım” dedi.
Ndipo Samweli akasema, “Waleteni Israeli wote hadi Mizpa, nami nitamwomba BWANA kwa ajili yenu.”
6 Mispa'da toplanan İsrailliler kuyudan su çekip RAB'bin önüne döktüler. O gün oruç tuttular ve, “RAB'be karşı günah işledik” dediler. Samuel Mispa'da İsrail halkına önderlik etti.
Wakakusanyika Mispa, wakateka maji na kuyamwaga chini mbele za BWANA. Siku hiyo walifunga na kusema, “Tumemfanyia BWANA dhambi.” Hapo Mispa ndipo Samweli aliwaamu na kuwaongoza watu wa Iraeli. -8
7 Filistliler İsrail halkının Mispa'da toplandığını duydular. Filist beyleri İsrailliler'e karşı savaşmaya çıktılar. İsrailliler bunu duyunca Filistliler'den korktular.
Basi Wafilisti waliposikiakwamba Waisraeli wamekusanyika hapo Mispa, viongozi wa Wafilisti waliwashambulia Israeli. Waisraeli waliposikia hivyo, waliwaogopa Wafilisti.
8 Samuel'e, “Bizi Filistliler'in elinden kurtarması için Tanrımız RAB'be yakarmayı bırakma” dediler.
Ndipo Waisraeli wakamwambia Samweli, “Usiache kumwomba BWANA Mungu wetu kwa ajili yetu, ili atuokoe kutoka mkono wa Wafilisti.”
9 Bunun üzerine Samuel bir süt kuzusu alıp RAB'be tümüyle yakmalık sunu olarak sundu ve İsrailliler adına RAB'be yakardı. RAB de ona karşılık verdi.
Samweli alimchukua kondoo mchanga nakumtoa sadaka ya kuteketezwa kikamilifu kwa BWANA. Ndipo Samweli akamlilia BWANA kwa ajili ya Israeli, na BWANA akamjibu.
10 Samuel yakmalık sunuyu sunarken, Filistliler, İsrailliler'e saldırmak üzere yaklaşmışlardı. Ama RAB o an korkunç bir sesle gürleyerek Filistliler'i öyle şaşkına çevirdi ki, İsrailliler'in önünde bozguna uğradılar.
Hata Samweli alipokuwa akitoa sadaka ya kuteketezwa, Wafilisti wakasogea karibu kuwashambulia Israeli; lakini BWANA alipiga kwa nguromo ya sauti kubwa siku hiyo dhidi ya Wafilisti na kuwatia kiwewe, na wakashindwa mbele ya Israeli.
11 Mispa'dan çıkan İsrailliler Filistliler'i Beytkar'ın altına kadar kovalayıp öldürdüler.
Waisraeli wakaondoka Mispa, wakawafuatia Wafilisti na kuwaua hadi kufika chini ya Beth kari.
12 Samuel bir taş alıp Mispa ile Şen arasına dikti. “RAB buraya kadar bize yardım etmiştir” diyerek taşa Even-Ezer adını verdi.
KIsha Samweli akachukua jiwe akalisimamisha kati ya Mispa na Sheni. Akaliita hilo jiwe Ebeneza, akisema, “Hata sasa BWANA ametusaidia.”
13 Yenilgiye uğrayan Filistliler bir daha İsrail topraklarına saldırmadılar. Samuel yaşadığı sürece RAB Filistliler'in saldırmasını engelledi.
Kwa hiyo, Wafilisti walishindwa na hawakuingia katika mipaka ya Israeli. Mkono wa BWANA uliwalemea Wafilisti siku zote za Samweli.
14 Ekron'dan Gat'a kadar Filistliler'in ele geçirdiği kentler İsrail'e geri verildi. Bunun yanısıra İsrail'in sınır toprakları da Filistliler'in elinden kurtarıldı. İsrailliler'le Amorlular arasında ise barış vardı.
Miji ambayo Wafilisti waliitwaa kutoka kwa Israeli ilirudishwa, kutokea Ekroni hadi Gathi; Israeli ikarudisha tena sehemu za nchi zake kutoka kwa Wafilisti. Ndipo ikawa amani kati ya Israeli na Waamori.
15 Samuel yaşadığı sürece İsrail'e önderlik yaptı.
Samweli akawa mwamuzi wa Israeli siku zote za maisha yake.
16 Her yıl gidip Beytel'i, Gilgal'ı, Mispa'yı dolaşır, bu kentlerden İsrail'i yönetirdi.
Kila mwaka alienda Betheli kwa kuzunguka, akienda Gilgali, na huko Mispa.
17 Sonra Rama'daki evine döner, İsrail'i oradan yönetirdi. Orada RAB'be bir sunak yaptı.
Kisha angerudi Rama, kwa sababu mji wake ulikuwa huko; na huko pia aliwaamua Waisiraeli. Hata huko Rama, pia alimjengea BWANA madhabahu.

< 1 Samuel 7 >