< 1 Krallar 9 >

1 Süleyman RAB'bin Tapınağı'nı, sarayı ve yapmayı istediği bütün işleri bitirince,
Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
2 RAB daha önce Givon'da olduğu gibi ona yine görünerek
BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
3 şöyle dedi: “Duanı ve yakarışını duydum. Adım sürekli orada bulunsun diye yaptığın bu tapınağı kutsal kıldım. Gözlerim onun üstünde, yüreğim her zaman orada olacaktır.
Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
4 Sana gelince, baban Davut'un yaptığı gibi, bütün yüreğinle ve doğrulukla yollarımı izler, buyurduğum her şeyi yapar, kurallarıma ve ilkelerime uyarsan,
Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
5 baban Davut'a, ‘İsrail tahtından senin soyunun ardı arkası kesilmeyecektir’ diye verdiğim sözü tutup krallığını sonsuza dek pekiştireceğim.
ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
6 “Ama siz ya da çocuklarınız yollarımdan sapar, buyruklarıma ve kurallarıma uymaz, gidip başka ilahlara kulluk eder, taparsanız,
Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
7 size verdiğim bu ülkeden sizi söküp atacağım, adıma kutsal kıldığım bu tapınağı terk edeceğim; İsrail bütün uluslar arasında aşağılanıp alay konusu olacak.
basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
8 Bu gösterişli tapınağın önünden geçenler, hayret ve dehşet içinde, ‘RAB bu ülkeyi ve tapınağı neden bu duruma getirdi?’ diye soracaklar.
Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
9 Ve, diyecekler ki, ‘İsrail halkı, atalarını Mısır'dan çıkaran Tanrıları RAB'bi terk etti; başka ilahların ardından gitti, onlara tapıp kulluk etti. RAB bu yüzden bütün bu kötülükleri başlarına getirdi.’”
Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
10 Süleyman iki yapıyı –RAB'bin Tapınağı'yla kendi sarayını– yirmi yılda bitirdi.
Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
11 Bu yapılar için istediği sedir ve çam ağaçlarıyla altını sağlayan Sur Kralı Hiram'a Celile bölgesinde yirmi kent verdi.
Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
12 Hiram gidip Süleyman'ın kendisine verdiği kentleri görünce onları beğenmedi.
Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
13 Süleyman'a, “Bunlar mı bana verdiğin kentler, kardeşim!” dedi. Bu yüzden o bölge bugün de “Kavul” diye bilinir.
Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
14 Oysa Hiram, Kral Süleyman'a yüz yirmi talant altın göndermişti.
Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
15 Kral Süleyman RAB'bin Tapınağı'nı, kendi sarayını, Millo'yu ve Yeruşalim'in surlarını yaptırmak; ayrıca Hasor, Megiddo ve Gezer kentlerini onarıp güçlendirmek amacıyla angaryacıları toplamıştı.
Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
16 Mısır Firavunu gidip Gezer'i ele geçirmiş ve ateşe vermişti. Orada yaşayan Kenanlılar'ı öldürerek kenti Süleyman'la evlenen kızına armağan etmişti.
Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
17 Süleyman Gezer'i, Aşağı Beythoron'u,
Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
18 Baalat'ı ve kırsal bir bölgede bulunan Tamar'la birlikte
Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
19 bütün ambarlı kentleri, ayrıca savaş arabalarıyla atların bulunduğu kentleri de onarıp güçlendirdi. Böylece Yeruşalim'de, Lübnan'da, yönetimi altındaki bütün topraklarda her istediğini yaptırmış oldu.
na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
20 İsrail halkından olmayan Amorlular, Hititler, Perizliler, Hivliler ve Yevuslular'dan artakalanlara gelince,
Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
21 Süleyman İsrail halkının tamamen yok edemediği bu insanların soyundan gelip ülkede kalanları angaryaya koştu. Bu durum bugün de sürüyor.
na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
22 Ancak Süleyman İsrail halkından hiç kimseye kölelik yaptırmadı. Onlar savaşçı, görevli, komutan, subay, savaş arabalarıyla atlıların komutanı olarak görev yaptılar.
Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
23 Süleyman'ın yapılan işlerin başında duran ve çalışanları denetleyen beş yüz elli görevlisi vardı.
Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
24 Firavunun kızı, Davut Kenti'nden Süleyman'ın kendisi için yaptırdığı saraya taşındıktan sonra, Süleyman Millo'yu yaptırdı.
Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
25 Süleyman RAB için yaptırdığı sunakta yılda üç kez yakmalık sunular ve esenlik sunuları sunardı. Ayrıca RAB'bin önündeki sunağın üstünde buhur da yakardı. Böylece Süleyman tapınağın yapımını tamamlamış oldu.
Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
26 Kral Süleyman Edomlular'ın ülkesinde, Kamış Denizi kıyısında Eylat yakınlarındaki Esyon-Gever'de gemiler yaptırdı.
Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
27 Hiram denizi bilen gemicilerini Süleyman'ın adamlarıyla birlikte Ofir'e gönderdi.
Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
28 Ofir'e giden bu gemiciler, Kral Süleyman'a 420 talant altın getirdiler.
Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.

< 1 Krallar 9 >