< 1 Krallar 5 >

1 Sur Kralı Hiram, Süleyman'ın babası Davut'un yerine kral olarak meshedildiğini duyunca, elçilerini Süleyman'a gönderdi. Çünkü Davut'la hep dostça geçinmişti.
Hiramu mfalme wa Tiro aliwatuma watumishi wake kwa Sulemani kwa kuwa alisikia kuwa walikuwa wamemtawaza kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwani Hiramu alimpenda Daudi.
2 Süleyman Hiram'a şu haberi gönderdi:
Sulemani akatuma ujumbe kwa Hiramu, akisema,
3 “Bildiğin gibi, babam Davut çevresindeki savaşlar yüzünden Tanrısı RAB'bin adına bir tapınak yapamadı. Bu savaşlarda RAB, Davut'un düşmanlarını onun ayakları altına serdi.
“Unajua kuwa Daudi baba yangu hakujenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wake kwa sababu ya vile vita vilivyomzunguka, kwa kuwa wakati wa uhai wake BWANA alikuwa akiweka maadui wake chini ya nyayo za miguu yake.
4 Oysa şimdi Tanrım RAB her yönden bana rahatlık verdi. Ne bir düşmanım var, ne de kötü bir olay.
Lakini sasa BWANA amenipa mimi pumziko toka pande zote. Hakuna maadui wala majanga.
5 RAB, babam Davut'a, ‘Tahtına oturtacağım oğlun benim adıma bir tapınak yapacak’ diye söz verdi. Ben de Tanrım RAB'bin adına bir tapınak yapmaya karar verdim.
Kwa hiyo ninakusudia kujenga hekalu kwa jina la BWANA, Mungu wangu, kama BWANA alivyosema kwa Daudi baba yangu, akisema, 'Mwanao ambaye nitamweka kwenye kiti chako cha enzi mahali pako, ndiye atakayenijengea hekalu kwa jina langu.'
6 “Şimdi bana Lübnan'dan sedir ağaçları kesmeleri için adamlarına buyruk ver. Benim adamlarım da seninkilerle birlikte çalışsın. Adamların için istediğin ücreti vereceğim. Aramızda Saydalılar kadar ağaç kesmede usta adamlar olmadığını biliyorsun.”
Kwa hiyo sasa amuru wakate mierezi kutoka Lebanoni kwa ajili yangu. Watumishi wangu wataungana na watumishi wako, nami nitakulipa kwa ajili ya watumishi wako ili kwamba upate malipo mazuri kwa kila kitu utakchokubali kukifanya. Kwa kuwa unajua kuwa hakuna mtu mioingoni mwetu anayejua kukata miti kama Wasidoni.”
7 Hiram, Süleyman'dan bu haberi alınca çok sevindi ve, “Bugün, o büyük ulusu yönetmek üzere Davut'a bilge bir oğul veren RAB'be övgüler olsun!” dedi.
Hiramu aliposikia maneno ya Sulemani, akafurahi sana akasema, “BWANA na abarikiwe leo, ambaye amempa Daudi mwana wa hekiima juu ya kundi hili kubwa.”
8 Sonra Hiram Süleyman'a şu haberi gönderdi: “Gönderdiğin haberi aldım. Sedir ve çam ağaçlarıyla ilgili bütün dileklerini yerine getireceğim.
Hiramu akatuma neno kwa Sulemani, akisema, “Nimeupata ujumbe ule ulionitumia. Nitatoa miti yote ya mierezi na miti ya miberoshi ambayo unahitaji.
9 Adamlarım tomrukları Lübnan'dan denize indirecekler, ben de onları sallar halinde bağlatıp belirteceğin yere kadar yüzdüreceğim. Orada adamlarım onları çözer, sen de alıp götürürsün. Sarayımın yiyecek gereksinimini karşılamakla, sen de benim dileğimi yerine getirmiş olursun.”
Watumishi wangu wataileta miti kutoka Lebanoni hadi baharini, nami nitaiendesha baharini mpaka mahali utakaponielekeza. Nitaigawa pale, nawe utaichukua. Utafanya kile ninachohitaji kwa kuwapa chakula watumishi wangu.”
10 Hiram Süleyman'a istediği kadar sedir ve çam tomruğu sağladı.
Kwa hiyo Hiramu akampa Sulemani miti yote ya mierezi na miti ya miberoshi ambayo alihitaji.
11 Süleyman her yıl Hiram'a sarayının yiyecek gereksinimi olarak yirmi bin kor buğday, yirmi kor saf zeytinyağı verirdi.
Sulemani akampa Hiramu kori ishirini elfu za ngano kwa ajili ya chakula cha watumishi wake na kori ishirii za mafuta safi. Sulemani akavitoa hivi kwa Hiramu mwaka baad ya mwaka.
12 RAB, verdiği söz uyarınca, Süleyman'a bilgelik verdi. Süleyman'la Hiram arasında barış vardı. Aralarında bir antlaşma yaptılar.
BWANA akampa Sulemani hekima, kama alivyokuwa amemwahidi. Kulikuwa na amani kati ya Hiramu na Sulemani na wote wawili wakafanya agano.
13 Kral Süleyman angaryasına çalıştırmak üzere bütün İsrail'den otuz bin adam topladı.
Mfalme Sulemani akaandaa wafanya kazi kutoka Israeli yote. Idadi ya watenda kazi walioandaliwa ilikuwa wanaume elfu thelathini.
14 Sırayla her ay on binini Lübnan'a gönderiyordu. Bir ay Lübnan'da, iki ay evlerinde kalıyorlardı. Angaryasına çalışan adamların başında Adoniram vardı.
Aliwatuma kwenda Lebanoni, aliwatuma kwa zamu ya watu elfu kumi kila mwezi. Kwa mwezi mmoja walienda Lebanoni na miezi miwili walikaa nyumbani. Adoniramu ndiye aliyekuwa msimamizi wa watenda kazi.
15 Süleyman'ın yük taşıyan 70 000, dağlarda taş kesen 80 000 adamı vardı.
Sulemani alikuwa na watu elfu sabini waliokuwa wabeba mizigo na watu elfu themanini wa kukata mawe milimani,
16 Ayrıca, işin yürümesini sağlayan ve işçileri yöneten 3 300 görevlisi vardı.
zaidi ya hao, walikuwepo maakida 3, 300 ambao pia waliokuwa wakiisimamia hiyo kazi.
17 İşçiler, kralın buyruğu uyarınca, tapınağın temelini yontma taşlarla atmak üzere ocaktan büyük ve kaliteli taşlar kesip çıkardılar.
Kwa amri ya mfalme walileta mawe makubwa ya thamani kwa ajili ya kulaza kwenye msingi wa hekalu.
18 Süleyman'ın ve Hiram'ın yapıcılarıyla Gevallılar, tapınağın yapımı için taşlarla keresteleri kesip hazırladılar.
Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebaliti walifanya kazi ya kukata na kuandaa mbao kwa ajili ya ujenzi wa hekalu.

< 1 Krallar 5 >