< 1 Krallar 19 >
1 Ahav, İlyas'ın bütün yaptıklarını, peygamberleri nasıl kılıçtan geçirdiğini İzebel'e anlattı.
Ahabu akamwambia Yezebeli mambo yote ambayo Eliya amefanya na jinsi alivyowaua manabii wote kwa upanga.
2 İzebel, İlyas'a, “Yarın bu saate kadar senin peygamberlere yaptığını ben de sana yapmazsam, ilahlar bana aynısını, hatta daha kötüsünü yapsın” diye haber gönderdi.
Ndipo Yezebeli alipotuma mjumbe kwa Eliya, akisema, “miungu wanifanye hivyo na mimi, na zaidi yake, kama kesho muda kama huu sitayafanya maisha yako kuwa kama mmoja wa hao manabii waliokufa.”
3 İlyas can korkusuyla Yahuda'nın Beer-Şeva Kenti'ne kaçıp uşağını orada bıraktı.
Eliya aliposikia hayo, akaiinuka na akakimbia kwa ajili ya kuokoa maisha yake akaja mpaka Beerisheba, ambao ni mji wa Yuda, na akamwacha mtumishi wake huko.
4 Bir gün boyunca çölde yürüdü, sonunda bir retem çalısının altına oturdu ve ölmek için dua etti: “Ya RAB, yeter artık, canımı al, ben atalarımdan daha iyi değilim.”
Lakini yeye mwenyewe akaenda mwendo wa siku moja huko jangwani, akaja akakaa chini ya mti wa mretemu. Akajiombea mwenyewe kufa, akasema, “Sasa yatosha, BWANA, ichukue roho yangu, kwa kuwa mimi si mzuri kuliko mababu zangu waliokufa.”
5 Sonra retem çalısının altına yatıp uykuya daldı. Ansızın bir melek ona dokunarak, “Kalk yemek ye” dedi.
Kwa hiyo akalala chini ya mretemu. Ghafula malaika akamgusa na akamwambia, “Inuka ule.”
6 İlyas çevresine bakınca yanıbaşında, kızgın taşların üstünde bir pideyle bir testi su gördü. Yiyip içtikten sonra yine uzandı.
Eliya akatazama, karibu na kichwa chake kulikuwa na mkate uliokuwa umeokwa kwa mkaa na gudulia la maji. Kwa hiyo akala na kunywa na kulala tena.
7 RAB'bin meleği ikinci kez geldi, ona dokunarak, “Kalk yemeğini ye. Gideceğin yol çok uzun” dedi.
Malaika wa BWANA akaja tena mara ya pili akamgusa na kumwambia, “Inuka ule, kwa sababu safari bado ndefu kwako.”
8 İlyas kalktı, yiyip içti. Yediklerinden aldığı güçle kırk gün kırk gece Tanrı Dağı Horev'e kadar yürüdü.
Kwa hiyo akainuka na kula na kunywa, naye akasafiri kwa nguvu ya chakula hicho kwa siku arobaini mchana na usiku hata akafika Horebu, mlima wa Mungu.
9 Geceyi orada bulunan bir mağarada geçirdi. RAB, “Burada ne yapıyorsun, İlyas?” diye sordu.
Akaingia kwenye pango akakaa humo. Kisha neno la BWANA likamjia likimwambia, “Unafanya nini hapa, Eliya?”
10 İlyas, “RAB'be, Her Şeye Egemen Tanrı'ya büyük bir istekle kulluk ettim” diye karşılık verdi, “Ama İsrail halkı senin antlaşmanı reddetti, sunaklarını yıktı ve peygamberlerini kılıçtan geçirdi. Yalnız ben kaldım. Beni de öldürmeye çalışıyorlar.”
Eliya akajibu, “Nimeona wivu mwingi kwa BWANA, Mungu wa majeshi, kwa kuwa watu wa Israeli wameliacha agano lako, wameziharibu madhabahu zako, na wamewaua manabii wako kwa upanga. Sasa ni mimi, pekee yangu, nimebaki na wanataka kuichukua roho yangu.
11 RAB, “Dağa çık ve önümde dur, yanından geçeceğim” dedi. RAB'bin önünde çok güçlü bir rüzgar dağları yarıp kayaları parçaladı. Ancak RAB rüzgarın içinde değildi. Rüzgarın ardından bir deprem oldu, RAB depremin içinde de değildi.
BWANA akamwambia, “Nenda nje ukasimame kwenye mlima mbele yangu.” Kisha BWANA akapita, na upepo mkali ukaupiga mlima ukavunja miamba katika vipande vipande mbele ya BWANA, lakini BWANA hakuwemo kwenye huo mlima. Kisha baada ya upepo, tetemeko lakaja, lakini BWANA hakuwemo kwenye hilo tetemeko.
12 Depremden sonra bir ateş çıktı, ancak RAB ateşin içinde de değildi. Ateşten sonra ince, yumuşak bir ses duyuldu.
Kisha baada ya tetemeko, moto ukaja, lakini BWANA hakuwemo kwenye moto. Ndipo baada ya moto, sauti ya upole ikaja.
13 İlyas bu sesi duyunca, cüppesiyle yüzünü örttü, çıkıp mağaranın girişinde durdu. O sırada bir ses, “Burada ne yapıyorsun, İlyas?” dedi.
Naye Eliya alipoisikia sauti, akafunika uso wake kwa vazi lake, akatoka nje, akasimama kwenye lango la hilo pango. Na sauti ikaja kwake ikisema, “unafanya nini hapa?,
14 İlyas, “RAB'be, Her Şeye Egemen Tanrı'ya büyük bir istekle kulluk ettim” diye karşılık verdi, “Ama İsrail halkı senin antlaşmanı reddetti, sunaklarını yıktı ve peygamberlerini kılıçtan geçirdi. Yalnız ben kaldım. Beni de öldürmeye çalışıyorlar.”
Eliya akajibu, “nimeona wivu sana kwa ajili ya BWANA, Muungu wa majeshi, kwa kuwa watu wa Israeli wameliacha agano lako, wamezihariibu madhabahu zako, na wamewaua manabii kwa upanga. Sasa, ni mimi pekee yangu, nimebaki na wanajaribu kuichukua roho yangu.”
15 RAB, “Geldiğin yoldan geri dön, Şam yakınındaki kırlara git” dedi, “Oraya vardığında, Hazael'i Aram Kralı olarak, Nimşi oğlu Yehu'yu İsrail Kralı olarak, Avel-Meholalı Şafat'ın oğlu Elişa'yı da kendi yerine peygamber olarak meshedeceksin.
Kisha BWANA akamwambia, “Nenda, rudi kwa njia yako kwenye jangwa la Dameski, na utakapofika utamtia mafuta Hazaeli awe Mfalme wa Shamu,
na utamtia mafuta Yehu mwana wa Nimshi kuwa mfalme wa Israeli, na utamtia mafuta Elisha mwana wa Shafeti wa Abeli Mehola kuwa nabii mahali pako.
17 Hazael'in kılıcından kurtulanı Yehu, Yehu'nun kılıcından kurtulanı Elişa öldürecek.
Itakuwa hivi Yehu atamwua kila mmoja atakayejaribu kutoroka upanga wa Hazaeli, na kwamba Elisha atamwua kila atakayejaribu kukwepa upanga wa Yehu.
18 Ancak İsrail'de Baal'ın önünde diz çöküp onu öpmemiş yedi bin kişiyi sağ bırakacağım.”
Lakini nitawaacha watu elfu saba katika Israeli kwa ajili yangu, ambao magoti yao hayajawahi kupigwa kwa Baali, na ambao midomo yao haijambusu.”
19 İlyas oradan ayrılıp gitti, Şafat oğlu Elişa'yı buldu. Elişa, on iki çift öküzle saban sürenlerin ardından on ikinci çifti sürüyordu. İlyas Elişa'nın yanından geçerek kendi cüppesini onun üzerine attı.
Kwa hiyo Eliya akaondoka mahali pale na akamkuta Elisha mwana wa Shafati, akilima na jozi za makisai kumi na mbili mbele yake, na yeye mwenyewe alikuwa akilima na ile jozi ya kumi na mbili. Eliya akaenda mpaka kwa Elisha akamtupia vazi lake juu yake.
20 Elişa öküzleri bırakıp İlyas'ın ardından koştu ve, “İzin ver, annemle babamı öpeyim, sonra seninle geleyim” dedi. İlyas, “Geri dön, ben sana ne yaptım ki?” diye karşılık verdi.
Elisha naye akawaacha wale makisai akamkimbilia Eliya; akamwambia, “Tafadhali naomba nikambusu baba yangu na mama yangu kisha nitakufuata.” Naye Eliya akamwambia, “Rudi, lakini fikiria juu ya kile nilichokufanyia.”
21 Böylece Elişa gidip sürdüğü çiftin öküzlerini kesti. Boyunduruklarıyla ateş yakıp etleri pişirdikten sonra, yesinler diye halka dağıttı. Sonra, İlyas'ın ardından gidip ona hizmet etti.
Kwa hiyo Elisha akarudi toka kwa Eliya na akachukua ile jozi ya makisai, akawaua wale wanyama, na akapika ile nyama kwa kuni za ile nira. Kisha akawapa watu wakala. Kisha akaamka, akamfuata Eliya akamtumikia.