< 1 Tarihler 27 >
1 İsrail'de görev yapan İsrailli boy başlarının, binbaşılarla yüzbaşıların ve görevlilerin listesi. Bunlar değişen birliklerde yıl boyunca aydan aya her konuda krala hizmet ederlerdi. Her birlik 24 000 kişiden oluşurdu.
Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
2 Birinci ay için birinci birliğin komutanı Zavdiel oğlu Yaşovam'dı. Komutasındaki birlik 24 000 kişiden oluşuyordu.
Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.
3 Birinci ay için görevlendirilen ordunun başkomutanı Yaşovam, Peres soyundandı.
Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
4 İkinci ay için ikinci birliğin komutanı Ahohlu Doday'dı. Miklot bu birliğin baş görevlisiydi. Doday komutasındaki birlik 24 000 kişiden oluşuyordu.
Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
5 Üçüncü ay için üçüncü birliğin komutanı Kâhin Yehoyada oğlu önder Benaya'ydı. Komutasındaki birlik 24 000 kişiden oluşuyordu.
Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.
6 Otuz yiğitlerden biri ve Otuzlar'ın önderi olan Benaya'ydı bu. Oğlu Ammizavat da onun birliğinde görevliydi.
Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.
7 Dördüncü ay için dördüncü birliğin komutanı Yoav'ın kardeşi Asahel'di. Sonradan yerine oğlu Zevadya geçti. Birliğinde 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
8 Beşinci ay için beşinci birliğin komutanı Yizrahlı Şamhut'tu. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
9 Altıncı ay için altıncı birliğin komutanı Tekoalı İkkeş oğlu İra'ydı. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
10 Yedinci ay için yedinci birliğin komutanı Efrayimoğulları'ndan Pelonlu Heles'ti. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
11 Sekizinci ay için sekizinci birliğin komutanı Zerahlılar'dan Huşalı Sibbekay'dı. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
12 Dokuzuncu ay için dokuzuncu birliğin komutanı Benyaminoğulları'ndan Anatotlu Aviezer'di. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
13 Onuncu ay için onuncu birliğin komutanı Zerahlılar'dan Netofalı Mahray'dı. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
14 On birinci ay için on birinci birliğin komutanı Efrayimoğulları'ndan Piratonlu Benaya'ydı. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
15 On ikinci ay için on ikinci birliğin komutanı Otniel soyundan Netofalı Helday'dı. Komutasındaki birlikte 24 000 kişi vardı.
Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
16 İsrail oymaklarının yöneticileri: Ruben oymağı: Zikri oğlu Eliezer. Şimon oymağı: Maaka oğlu Şefatya.
Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri; kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;
17 Levi oymağı: Kemuel oğlu Haşavya. Harunoğulları: Sadok.
kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli; kwa Aroni: Sadoki;
18 Yahuda oymağı: Davut'un kardeşlerinden Elihu. İssakar oymağı: Mikael oğlu Omri.
kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
19 Zevulun oymağı: Ovadya oğlu Yişmaya. Naftali oymağı: Azriel oğlu Yerimot.
kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia; kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;
20 Efrayimoğulları: Azazya oğlu Hoşea. Manaşşe oymağının yarısı: Pedaya oğlu Yoel.
kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia; kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;
21 Gilat'taki Manaşşe oymağının öbür yarısı: Zekeriya oğlu Yiddo. Benyamin oymağı: Avner oğlu Yaasiel.
kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria; kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;
22 Dan oymağı: Yeroham oğlu Azarel. İsrail oymaklarının yöneticileri bunlardı.
kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.
23 Davut yirmi ve daha aşağıdaki yaştakilerin sayımını yapmadı. Çünkü RAB İsrail'i gökteki yıldızlar kadar çoğaltacağına söz vermişti.
Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.
24 Seruya oğlu Yoav da başladığı sayımı bitirmedi. Bu sayımdan ötürü RAB İsrail'e öfkelendi. Bu yüzden sayımın sonucu Kral Davut'un tarihinde yazılmadı.
Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
25 Kralın hazinelerine yönetici olarak Adiel oğlu Azmavet atanmıştı. Açık bölgelerdeki, kentlerdeki, köylerdeki, kalelerdeki depolardan da Uzziya oğlu Yehonatan sorumluydu.
Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
26 Toprağı süren tarım işçilerinden: Keluv oğlu Ezri,
Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.
27 Bağlardan: Ramalı Şimi, Üzümlerden ve şarap mahzenlerinden: Şefamlı Zavdi,
Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu. Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.
28 Şefela bölgesindeki zeytinliklerden ve yabanıl incir ağaçlarından: Gederli Baal-Hanan, Zeytinyağı depolarından: Yoaş,
Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi. Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.
29 Şaron'da otlatılan sığırlardan: Şaronlu Şitray, Vadilerdeki sığırlardan: Adlay oğlu Şafat,
Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.
30 Develerden: İsmaili Ovil, Eşeklerden: Meronotlu Yehdeya,
Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia. Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.
31 Davarlardan: Hacerli Yaziz sorumluydu. Bunların hepsi Kral Davut'un servetinden sorumlu yöneticilerdi.
Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.
32 Davut'un amcası Yehonatan anlayışlı bir yazman ve danışmandı. Hakmoni oğlu Yehiel kralın oğullarına bakardı.
Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.
33 Ahitofel kralın danışmanıydı. Arklı Huşay kralın dostuydu.
Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme. Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.
34 Ahitofel'den sonra yerine Benaya oğlu Yehoyada'yla Aviyatar geçti. Yoav kralın ordu komutanıydı.
Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.