< 1 Tarihler 26 >

1 Kapı nöbetçilerinin bölükleri: Korahlılar'dan: Asafoğulları'ndan Kore oğlu Meşelemya.
Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
2 Meşelemya'nın oğulları: İlk oğlu Zekeriya, ikincisi Yediael, üçüncüsü Zevadya, dördüncüsü Yatniel,
Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
3 beşincisi Elam, altıncısı Yehohanan, yedincisi Elyehoenay.
Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
4 Ovet-Edom'un oğulları: İlk oğlu Şemaya, ikincisi Yehozavat, üçüncüsü Yoah, dördüncüsü Sakâr, beşincisi Netanel,
Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
5 altıncısı Ammiel, yedincisi İssakar, sekizincisi Peulletay. Çünkü Tanrı Ovet-Edom'u kutsamıştı.
Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
6 Ovet-Edom'un oğlu Şemaya'nın oğulları vardı. Bunlar yetenekli olduklarından boy başlarıydılar.
Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
7 Şemaya'nın oğulları: Otni, Refael, Ovet, Elzavat. Şemaya'nın akrabaları Elihu ile Şemakya da yiğit adamlardı.
Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
8 Bunların tümü Ovet-Edom soyundandı. Onlar da, oğullarıyla akrabaları da yiğit, görevlerinde becerikli kişilerdi. Ovet-Edom soyundan 62 kişi vardı.
Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
9 Meşelemya'nın 18 becerikli oğlu ve akrabası vardı.
Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
10 Merarioğulları'ndan Hosa'nın oğulları: İlki Şimri'ydi. –Şimri ilk oğul olmadığı halde babası onu önder atamıştı.–
Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
11 İkincisi Hilkiya, üçüncüsü Tevalya, dördüncüsü Zekeriya. Hosa'nın oğullarıyla akrabalarının toplamı 13 kişiydi.
Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
12 RAB'bin Tapınağı'nda Levili kardeşleri gibi görev yapan kapı nöbetçisi bölükler ve başlarındaki adamlar bunlardır.
Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
13 Her kapı için her aile büyük, küçük ayırmadan kura çekti.
Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
14 Kurada Doğu Kapısı Şelemya'ya düştü. Sonra bilge bir danışman olan oğlu Zekeriya için kura çekildi. Ona Kuzey Kapısı düştü.
Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
15 Güney Kapısı Ovet-Edom'a, depo için çekilen kura da oğullarına düştü.
Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
16 Batı Kapısı ile yukarı yol üzerindeki Şalleket Kapısı için çekilen kuralar Şuppim'le Hosa'ya düştü. Her ailenin nöbet zamanları sırayla birbirini izliyordu.
Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
17 Doğu Kapısı'nda günde altı, Kuzey Kapısı'nda dört, Güney Kapısı'nda dört, depolarda da ikişerden dört Levili nöbetçi vardı.
Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
18 Batı Kapısı'na bakan avlu içinse, yolda dört, avluda iki nöbetçi bekliyordu.
Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
19 Korah ve Merari soyundan gelen kapı nöbetçilerinin bölükleri bunlardı.
Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
20 Levili Ahiya Tanrı'nın Tapınağı'nın hazinelerinden ve Tanrı'ya adanmış armağanlardan sorumluydu.
Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
21 Ladanoğulları: Ladan soyundan gelen Gerşonoğulları, Ladan boyunun boy başları Gerşonlu Yehieli ve oğullarıydı.
Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
22 Yehieli'nin oğulları: Zetam'la kardeşi Yoel. Bunlar RAB'bin Tapınağı'nın hazinelerinden sorumluydu.
Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
23 Amram, Yishar, Hevron, Uzziel soylarından şu kişilere görev verildi:
Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
24 Musa oğlu Gerşom'un soyundan Şevuel tapınak hazinelerinin baş sorumlusuydu.
Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
25 Eliezer soyundan gelen kardeşleri: Rehavya Eliezer'in oğluydu, Yeşaya Rehavya'nın oğluydu, Yoram Yeşaya'nın oğluydu, Zikri Yoram'ın oğluydu, Şelomit Zikri'nin oğluydu.
Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
26 Şelomit'le kardeşleri boy başlarının, Kral Davut'un binbaşılarının, yüzbaşılarının ve öbür ordu komutanlarının verdiği armağanların saklandığı hazinelerden sorumluydular.
Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
27 Bunlar savaşta yağmalanan mallardan bir kısmını RAB'bin Tapınağı'nın onarımı için ayırdılar.
Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
28 Bilici Samuel'in, Kiş oğlu Saul'un, Ner oğlu Avner'in, Seruya oğlu Yoav'ın verdiği armağanlarla öbür armağanlardan da Şelomit'le kardeşleri sorumluydu.
Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
29 Yisharlılar'dan: Kenanya ile oğulları İsrail'de memur ve yargıç olarak tapınak dışındaki işlere bakmakla görevlendirildiler.
Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
30 Hevronlular'dan: Haşavya ile kardeşleri –bin yedi yüz yiğit adam– RAB'bin işlerine ve kralın hizmetine bakmak için İsrail'in Şeria Irmağı'nın batı yakasında kalan bölgesine atanmıştı.
Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
31 Aile soy kütüğündeki kayıtlara göre Yeriya Hevronlular'ın boy başıydı. Davut'un krallığının kırkıncı yılında kayıtlar incelendi ve Gilat'taki Yazer'de Hevronlular arasında yiğit savaşçılar bulundu.
Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
32 Yeriya'nın aile başları olan iki bin yedi yüz akrabası vardı. Kral Davut bu yiğit adamları Tanrı'nın ve kralın işlerine bakmaları için Rubenliler'e, Gadlılar'a, Manaşşe oymağının yarısına yönetici olarak atadı.
Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.

< 1 Tarihler 26 >