< 1 Tarihler 2 >

1 İsrail'in oğulları şunlardır: Ruben, Şimon, Levi, Yahuda, İssakar, Zevulun,
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dan, Yusuf, Benyamin, Naftali, Gad, Aşer.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Yahuda'nın oğulları: Er, Onan, Şela. Bu üç oğulu Yahuda'ya Kenanlı Şua'nın kızı doğurdu. Yahuda'nın ilk oğlu Er, RAB'bin gözünde kötüydü. Bu yüzden RAB onu öldürdü.
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4 Yahuda'nın gelini Tamar ona Peres ve Zerah'ı doğurdu. Yahuda'nın toplam beş oğlu vardı.
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Peres'in oğulları: Hesron, Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 Zerahoğulları: Zimri, Etan, Heman, Kalkol, Darda. Toplam beş kişiydi.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 Karmi'nin oğlu: Yok edilmeye adanmış eşyalar konusunda RAB'be ihanet etmekle İsrail'i yıkıma sürükleyen Akan.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 Etam'ın oğlu: Azarya.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Hesron'un oğulları: Yerahmeel, Ram, Kalev.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 Amminadav Ram'ın oğluydu. Yahudalılar'ın önderi Nahşon Amminadav'ın oğluydu.
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 Salma Nahşon'un oğluydu. Boaz Salma'nın,
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 Ovet Boaz'ın, İşay Ovet'in oğluydu.
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 İşay'ın yedi oğlu oldu: Birincisi Eliav, ikincisi Avinadav, üçüncüsü Şima,
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 dördüncüsü Netanel, beşincisi Radday,
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 altıncısı Osem, yedincisi Davut.
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 Kızkardeşleri Seruya ile Avigayil'di. Seruya'nın üç oğlu vardı: Avişay, Yoav, Asahel.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 İsmaili Yeter'le evlenen Avigayil Amasa'yı doğurdu.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 Hesron oğlu Kalev'in, karısı Azuva'dan ve Yeriot'tan oğulları oldu. Karısından doğan oğullar şunlardır: Yeşer, Şovav, Ardon.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 Azuva ölünce, Kalev kendisine Hur'u doğuran Efrat'la evlendi.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 Uri Hur'un oğluydu, Besalel Uri'nin oğluydu.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Daha sonra Hesron, Gilat'ın babası Makir'in kızıyla yattı. Altmış yaşındayken evlendiği bu kadın ona Seguv'u doğurdu.
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 Yair Seguv'un oğluydu; Gilat ülkesinde yirmi üç kenti vardı.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 Ama Geşur'la Aram Havvot-Yair'i ve Kenat ile çevresindeki köyleri, toplam altmış kenti ele geçirdiler. Buralarda yaşayan bütün halk Gilat'ın babası Makir'in soyundandı.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 Hesron Kalev-Efrata'da öldükten sonra, karısı Aviya Tekoa'nın kurucusu olan Aşhur'u doğurdu.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 Hesron'un ilk oğlu Yerahmeel'in oğulları: İlk oğlu Ram, Buna, Oren, Osem, Ahiya.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Yerahmeel'in Atara adında başka bir karısı vardı; O da Onam'ın annesiydi.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
27 Yerahmeel'in ilk oğlu Ram'ın oğulları: Maas, Yamin, Eker.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 Onam'ın oğulları: Şammay, Yada. Şammay'ın oğulları: Nadav, Avişur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 Avişur'un Avihayil adında bir karısı vardı; ona Ahban'ı ve Molit'i doğurdu.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 Nadav'ın oğulları: Selet, Appayim. Selet çocuksuz öldü.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 Appayim'in oğlu: Yişi. Yişi'nin oğlu: Şeşan. Şeşan'ın oğlu: Ahlay.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 Şammay'ın kardeşi Yada'nın oğulları: Yeter ve Yonatan. Yeter çocuksuz öldü.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 Yonatan'ın oğulları: Pelet, Zaza. Bunlar Yerahmeel'in soyundan geliyordu.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 Şeşan'ın oğlu olmadıysa da kızları vardı. Şeşan'ın Yarha adında Mısırlı bir uşağı vardı.
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 Şeşan kızını uşağı Yarha'yla evlendirdi. Kadın ona Attay'ı doğurdu.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 Natan Attay'ın oğluydu. Zavat Natan'ın,
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
37 Eflal Zavat'ın, Ovet Eflal'ın,
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
38 Yehu Ovet'in, Azarya Yehu'nun,
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
39 Heles Azarya'nın, Elasa Heles'in,
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
40 Sismay Elasa'nın, Şallum Sismay'ın,
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
41 Yekamya Şallum'un, Elişama Yekamya'nın oğluydu.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Yerahmeel'in kardeşi Kalev'in oğulları: İlk oğlu Zif'in kurucusu Meşa ve Hevron'un kurucusu Meraşa.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 Hevron'un oğulları: Korah, Tappuah, Rekem, Şema.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 Raham Şema'nın oğluydu. Yorkoam Raham'ın, Şammay Rekem'in,
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 Maon Şammay'ın oğluydu. Beytsur'un kurucusu Maon'du.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 Kalev'in cariyesi Efa ona Haran'ı, Mosa'yı ve Gazez'i doğurdu. Gazez Haran'ın oğluydu.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 Yahday'ın oğulları: Regem, Yotam, Geşan, Pelet, Efa, Şaaf.
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Kalev'in öbür cariyesi Maaka ona Şever'i ve Tirhana'yı doğurdu.
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 Maaka Madmanna'nın kurucusu Şaaf'ı, Makbena ve Giva'nın kurucusu Şeva'yı da doğurdu. Kalev'in Aksa adında bir de kızı oldu.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Kalev'in soyundan gelenler: Efrat'ın ilk oğlu Hur'un oğulları: Kiryat-Yearim'in kurucusu Şoval,
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 Beytlehem'in kurucusu Salma, Beytgader'in kurucusu Haref.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 Kiryat-Yearim'in kurucusu Şoval, Haroeliler'in ve Menuhot'ta yaşayan halkın yarısının atasıydı.
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 Kiryat-Yearim'in boyları: Yeterliler, Pûtlular, Şumatlılar, Mişralılar. Soralılar'la Eştaollular da bu boyların soyundan geldi.
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Salma'nın soyundan gelenler: Beytlehemliler, Netofalılar, Atrot-Beytyoavlılar, Manahatlılar'ın yarısı ve Sorlular.
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 Yabes'te yaşayan yazmanların boyları: Tiratlılar, Şimatlılar, Sukatlılar. Bunlar Rekav halkının atası Hammat'ın soyundan gelen Kenliler'dir.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Tarihler 2 >