< Matta 4 >

1 Qiyğa I'sa iblisın siliys ı'xecenva Allahne Rı'hı'n mana sahreeqa ıkekka.
Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.
2 I'sa sahreenang'a, Mang'vee yoq'ts'al yiğnayiy yoq'ts'al xəmna kar udyotxhan ıxhayke, Mana it'umra mıs qexhe.
Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.
3 Manke siliys ı'xı'yxəna Mang'usqa qarı eyhen: – Ğu Allahna Dixxhee, mane g'ayebışik'le eyhe gınelqa sak'lecen.
Mjaribu akamjia na kumwambia, “Ikiwa wewe ndiye Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”
4 I'see mang'us inəxdun alidghıniy qele: – «İnsanee saccu gıneykacab deş, Allahne ghalençe qığəəne cuvabıkab çikana ı'mı'r haa'ava» otk'un.
Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’”
5 Qiyğa iblisın Mana muq'addasne İyerusalimne şahareeqa arı, Allahne Xaane nekke axtıne cigeeqa giyxhxhı,
Ndipo ibilisi akamchukua Yesu mpaka mji mtakatifu na kumweka juu ya mnara mrefu wa Hekalu,
6 eyhen: – Ğu Allahna Dixxhee, Ğucar-Ğu inçe avqa ehe. Nya'a, otk'un dişde: Allahee «Yiğnemee malaaikaşilqa əmr haa'as, Ğu xılibışil qıkkecen, Yiğın g'elybı g'ayebışile k'ena qimiyxharcenva».
akamwambia, “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini. Kwa kuwa imeandikwa: “‘Atakuagizia malaika zake, nao watakuchukua mikononi mwao ili usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.’”
7 I'see mang'uk'le eyhen: – «Yiğna Rəbb Allah siliys ı'xmiyxəvad» otk'un vod.
Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
8 Manke iblisın I'sa sa geed axtıne suvalqa alqavhu, Mang'uk'le dyunyeyn gırgın paççaharnan cigabı hits'ayghar hagu eyhen:
Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake,
9 – Ğu kyorzul zas ı'bəədat he'eene, in gırgın Vak'le g'ecen zı Vas heles.
kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”
10 Manke I'see mang'uk'le eyhen: – Şeyt'an, Zake əq'əna qixhe! Nya'a otk'un dişde: «Rəbbis Allahıs k'yozre, saccu Mang'us ı'bəədat he'e».
Yesu akamwambia, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.’”
11 Mançile qiyğa iblisın Mana Culer-alqa g'alyaraççe. Mang'usqa malaaikar g'ullux haa'as adayle.
Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.
12 I'sayk'le Yəhye aqqı aqa arçuva g'ayxhımee, Mana Galileyeeqa siyk'al.
Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya.
13 Mana Nazaretğançe qığeç'u, Zevuluniy Naftaliyne nasılbışde cigabışeeqa, golyune mıglekne Kefernahum eyhene şahareeqa qarı, maa axva.
Akaondoka Nazareti akaenda kuishi Kapernaumu, mji ulioko karibu na bahari, katika mipaka ya nchi ya Zabuloni na Naftali,
14 İnəxüd Yeşaya peyğambaree otk'unin xhinne eyxhe:
ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:
15 «Zevulunneyiy Naftaliyne cigabışee, Deryahısqane yəqqı'l, İordanne damayne şene aq'val, Allah dyats'ane milletbı eyxhene Galileyee,
“Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, kwenye njia ya kuelekea baharini, ngʼambo ya Yordani, Galilaya ya watu wa Mataifa:
16 Miç'axiyvalee eyxhene milletık'le, Xədın işiğ g'ece. Hapt'asde əqı'n avquynbışilqa Nur gyoğa».
watu wale waliokaa gizani wameona nuru kuu; nao wale walioishi katika nchi ya uvuli wa mauti, nuru imewazukia.”
17 Mane gahıle I'sa giyğalna Allahın cuvab hixhar ha'a. Mang'vee eyhe ıxha: – Bınahbışike xıl ts'ıts'ee'e, Allahne yəqqı'lqa savk'le! Xəybışda Paççahiyvalla k'ane quvxha.
Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”
18 Yiğbışde sa yiğıl I'sa Galileyayne golyusse ı'lğəəmee, Mang'uk'le q'öyre çoc g'ooce: Pyoturva eyhena Şimoniy mang'una çoc Andrey. Manbı baluğ ar aqqaqqanbı vuxha. Manbışe xhineeqa tor ayhe ıxha.
Yesu alipokuwa anatembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea ndugu yake. Walikuwa wakizitupa nyavu zao baharini kwa kuwa wao walikuwa wavuvi.
19 I'see manbışik'le eyhen: – Zaqab qihna qudoora, Zı şoke Xəybışeene Paççahiyvaleeqa insanar avqqaqqanbı haa'as.
Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”
20 Çocaaşe mankecad tor g'aleççu, I'sayqab qihna qavayle.
Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
21 I'sa sık'ırra ögiylqa ark'ınmee, Mang'usqa sa mebın çocar, Zavdayna dix Yaaq'ubiy mang'una çoc Yəhye qızaaxa. Manbışe cone dekkıka, Zavdayika, sacigee lotk'ee tor qa'a eyxhe. I'see manbı Cusqa qoot'al.
Alipoendelea mbele kutoka pale, akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakizitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita.
22 Mang'vee qopt'uluykum, manbışe dekkır, lotk'ad g'aletçu, Mang'uqab qihna qavayle.
Nao mara wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.
23 I'sa Galileyavolle iykır maane, manbışde sinagogabışee xət qa'a ıxha. Mang'vee Xəybışde Paççahiyvalina yugna xabar insanaaşilqa hivxhar haa'a vuxha, insanar gırgıne ık'arbışike, ç'irvalybışike yug qaa'a vuxha.
Yesu akapita katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme, na akiponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni mwa watu.
24 Mang'une hək'ee Suuriyeevolled ats'axhxhen. Mançile qiyğa Mang'usqa gırgın it'umun ık'arbınanbı, cinaaşe avquynbı, cole əəmbı, paralic ı'xhı'ynbı abayle vuxha. Mang'veeyib manbı yug qaa'a vuxha.
Kwa hiyo sifa zake zikaenea sehemu zote za Shamu, nao watu wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na maumivu, waliopagawa na pepo wachafu, wenye kifafa na waliopooza, naye akawaponya.
25 Galileyeençe, Dekapolis eyhene cigeençe, İyerusalimeençe, Yahudeyayeençe, İordanne damayne şene aq'vayle Mang'uqab qihna insanaaşin t'arat'cad qöö ıxha.
Makutano makubwa ya watu yakawa yanamjia kutoka Galilaya, Dekapoli, Yerusalemu, Uyahudi na kutoka ngʼambo ya Mto Yordani.

< Matta 4 >