+ Yaaq'ub 1 >

1 Zı Yaaq'ub Allahnayiy yişda Xərna eyxhene I'sa Masixhna nukar vor. Zı şos, milletbışde yı'q'nee opt'ul-opxulne yits'ıq'vəne İzrailyne nasılıs salam hoole!
Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mbili yaliyotawanyika, salaam.
2 Yizın çocar, şu geedne dağamne karbışika siliys üvxiyxəmee, mançis geeb şadeepxhe.
Hesabuni kuwa ni furaha zaidi, ndugu zangu, mnapopita katika matatizo mbali mbali,
3 Şok'le ats'an vuşun iman siliys ı'xı'yxəmee, şos sabır xət qexhe.
mkijua kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huwapa uvumilivu.
4 Sabır vuşde ad manimee xət qixhes ıkkan, şu gırgıne karee kaamilyba, mu'munba vuxhecenva. Məxüb şu vuşde yik'eene gırgıne yugne karbışilqa hivxharasınbı.
Acheni uvumilivu uikamilishe kazi yake, kwamba muweze kukomaa kikamilifu, bila kupungukiwa katika lolote.
5 Vuşde şavukamecab k'orana ək'el hivdiyxharxhee, mana Allahıke hevqe. Mang'vee mana qivdiykkın, hexxan ittevhu gırgıng'us hoole.
Lakini kama mtu kati yenu anahitaji hekima, aiombe kutoka kwa Mungu, ambaye hutoa kwa ukarimu na pasipo kukemea kwa wote wamwombao, na atawapa hekima.
6 Şavaayiy hooqqa, vooxheye-dyooxheyeva immeyhecen, hasre mançilqa inyam he'ecen. Vooxheye-dyoxheyeva eyhenar, mıtsın ı'ğviykar hav'u dağabaççene deryahne mırtık akar.
Lakini omba kwa imani, bila shaka, kwa kuwa mwenye kutia shaka ni kama mawimbi katika bahari, huchukuliwa na upepo na kutupwa huku na huko.
7 Hasre məxrıne insanne ək'leeqa qımaylecen, mang'us hucoomecad Rəbbee helesınniyxhanva.
Kwa hakika mtu huyu asifikirie kwamba atapokelewa ombi lake kutoka kwa Bwana;
8 Məxrına sa karal it'umra ulyoyzar deş, nenacab yəq avqaqqa deş.
mtu huyu ana nia mbili, si imara katika njia zake zote.
9 İmannane kar deşde insanık'le cuna axtına ciga vaats'a vuxhes vukkan.
Ndugu maskini anapaswa kujivuna katika kusimama kwake juu,
10 Karnang'uk'lemee cuna avqana ciga vaats'a vuxhes vukkan. Mana çolun t'et' xhinne hı'ç'ı'ğənasda.
wakati huo huo ndugu tajiri katika unyenyekevu wake, kwa sababu atatoweka kama ua la kondeni katika shamba analopita.
11 Verığ qığevç'umee, mançine yissyaxaalin ok' qooqqaa'a, ok'alin t'et' k'yatk'ınmee, mançina micagiyvalla avayk'anna. Həməxrır karnana insan cune işbışee k'eçe.
Jua huchomoza na joto la kuunguza kukausha mimea, na maua huanguka na uzuri wake hufa. Vivyo hivyo watu matajiri watachakaa katikati ya kazi zao.
12 Siliys ı'xı'yxəmee, sabır hı'ına insan nimee baxtivariy! K'anyaqqamee öörxı'yng'us Allahee yugna pay, gırgıne gahbışisda ı'mı'r hevles. Allahee mana pay Vuc ıkkananbışde gırgıng'us hevlesva cuvabniy huvu.
Amebarikiwa mtu yule anayevumilia majaribu, kwa kuwa baada ya kushinda jaribu hilo, atapokea taji ya uzima, ambayo imeahidiwa kwa wale wampendao Mungu.
13 Siliys ı'xı'yxəmee, hasre neng'veecad «Allahee zı siliysır ı'xı'yxəva» immeyhecen. Allah Vuc pisde karbışika siliys ı'xəs eyxhe deş, Vuceeyir vuşucar pisde karaka siliys ı'xı'yxənə deş.
Mtu yeyote hapaswi kusema anapojaribiwa, “Jaribu hili linatoka kwa Mungu,” kwa sababu Mungu hajaribiwi na uovu, na Mungu mwenyewe hamjaribu yeyote.
14 Gırgın insanar cos ıkkanne karbışincab siliys üvxı'yxə, mane karbışin manbı hoot'alanbı, çilqa saa'a.
Kila mtu hujaribiwa na tamaa zake mbaya zinazomshawishi na kumvuta mbali.
15 Qiyğa man ıkkanan kar yik'ek at'itq'ınxhee, siyk'alan bınahılqa, hav'una bınahıb geeb quvxha insan gek'ana.
Ndipo baada ya tamaa ya dhambi kubeba mimba, dhambi huzaliwa, na baada ya dhambi kukomaa sawasawa, huishia katika mauti.
16 Zas vukkanan çocar, horan humoot'alcen!
Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.
17 Yugna barakat, nekke yugun gırgın karbı xəənçenbı vodunbı. Man gırgın Dekkee huvuyn vodun. Mang'vee verığ, vaz, xənebı itxhın. Mana badal dyooxhene yugvalile sayır uvhuynçile sidiyk'alna vor.
Kila zawadi iliyo nzuri na kila zawadi iliyokamilika hutoka juu, hushuka chini kutoka kwa Baba wa nuru. Kamwe habadiliki kama kivuli kibadilikavyo.
18 Mang'vee şi qopkune cuvabıka ipxhın. Mang'us Cus vukkiykın, şi g'əvxü, Vuce itxhınne karbışin ts'eppiynbı hav'u.
Mungu alichagua kutupa sisi uzima kwa Neno la kweli, ili kwamba tuweze kuwa kama uzao wa kwanza miongoni mwa viumbe vyake.
19 Zas vukkanan yizın çocar, hasre gırgıne insanaaşe k'ırı alixhxhesnang'a k'ırıbı ç'ak'ıda aaqecen, cuvab eyhesnang'amee, ghal k'ılda eeqecen, qəlasın eyhesnang'ab sabırıka vuxhecen.
Mnajua hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mmoja anapaswa kuwa mwepesi wa kusikia, siyo mwepesi wa kuongea wala kukasirika,
20 İnsan qəlıkanang'a, mang'vee Allahıs ıkkanan qotkun karbı ha'a deş.
kwa kuwa hasira ya mwanadamu haiwezi kutenda haki ya Mungu.
21 Mançil-allab pisvaalab, qəlıb g'alepçe. Allahee şok'le eyhençil yugda k'ırı alixhxhe, Mang'une cuvabıqa ooğançe avqa ilymaaka. Mang'un cuvab vuşde ad xət qıxhecen. Mançisse şu g'attivxhan ha'as vəəxə.
Kwa hiyo wekeni mbali uchafu wa dhambi na ubaya wote ulio mahali popote, na kwa unyenyekevu lipokeeni neno lililopandwa ndani yenu, ambalo lina uwezo wa kuokoa roho zenu.
22 Allahee eyhençil saccu k'ırıcad deş alixhxhes ıkkan, mançin eyhenıd ha'as ıkkan. Deşxheene, şucad şos horbı ha'anbı xhinne eyxhe.
Litiini neno, msilisikie tu, mkijidanganya nafsi zenu wenyewe.
23 Uvhuyn g'ayxhı man hidya'ana, naxvareeqa ilyakkane insanık akar:
Kwa kuwa kama yeyote alisikiaye neno bila kulitendea kazi ni sawa na mtu ajiangaliaye uso wake halisi katika kioo.
24 Mana cuqacar ilyakkı, şaqana ark'ınmeeyir, mankecar vuc nəxrına ıxhay yik'el hiyxan.
Hujitathimini uso wake, na huenda zake na baada ya muda mfupi husahau anavyofanana.
25 Şavaayiy Allahna qopkuna, g'attivxhan haa'ana Q'aanun vuk'leeqa k'yabaççe, Q'aanunun hucooyiy eyhe ha'a, g'ayxhiyn yik'el hixan hidya'a, məxrına insan cune işee baxtivar ixhes.
Bali mtu yule anayeiangalia kwa uangalifu sheria kamili, sheria ya uhuru, na kuendelea kuitii, si kwa sababu yeye ni msikilizaji anayesahau, huyu mtu atabarikiwa anapoitenda.
26 Vuşde neng'unemecad ək'eleeqa vucee Allahna yəq' avquva qööxhee, məxrıng'usse mizib saa'as dəəxəxhee, mang'vee cuscad horbı ha'a. Mang'vee avquna Allahna yəq'ı'b nişiscab kara abayle deş.
Ikiwa mtu yeyote atafikiri mwenyewe kuwa ni mtu wa dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, huudanganya moyo wake na dini yake ni bure.
27 Allahne, yişde Dekkıne ögil məttına, bınah deşda, Allahna yəq' avquna ina eyxhe: dekkiy yed dena avxuynbışis, adamer dena avxuynbışis dağamiyvaleeqa gyapk'ımee, manbışda haa'ana, dyunyeyne mı'q'ı'ne işbışilqa ilydekkana.
Dini iliyo safi na isiyoharibiwa mbele za Mungu wetu na Baba ni hii: kuwasaidia yatima na wajane katika mateso yao, na kujilinda wenyewe na ufisadi wa dunia.

+ Yaaq'ub 1 >