< Ts'etta ıxhaynbı 49 >
1 Yaaq'ubee dixbı qopt'ul eyhen: – Yizde k'anyaqa savaale, vuşde vuk'lelqa qalesınbı zı yuşan ha'as.
Kisha Yakobo akawaita wana wake, na kusema: “Jikusanyeni pamoja, ili niwaambie yatakayowapata nyakati zijazo.
2 Yaaq'ubun dixbı, sabı zal k'ırı alixhxhe, Vuşde dekkıl İzrailir k'ırı gyaqqe.
Kusanyikeni ninyi wenyewe na msikilize, enyi wana wa Yakobo. Msikilizeni Israeli, baba yenu.
3 Ruven, ğu yizda ts'erriyna dix, ğu yizda guc. Ğu yedike zı mek'varanang'a taq'atıkanang'a ıxha. Ğu gırgıng'ule xərna, qıvaats'ana vor.
Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu, na mwanzo wa uwezo wangu, aliyesalia katika heshima na nguvu.
4 Ğu xhyanık akar sa'as-qa'as əxə deş. Vak'le man ats'axhxhe, ğu yik' hı'ı yizde tyuleeqa k'iç'uva, yizde xhunaşşeeşine sang'ıka g'alirxhuva, vake xərna ixhes deş!
Asiyezuilika kama maji yarukayo, hautakuwa na umaharufu, kwa sababu ulikwenda juu ya kitanda cha baba yako. Hata ukakitia unajisi; ulikipanda kwa kuvizia.
5 Şimoniy Levi çocar vob, Manbışe qəlasın ha'asva g'ılınc xılyaqa alyaata.
Simoni na Lawi ni ndugu. Panga zao ni silaha za vurugu.
6 Manbı qəlakanang'a adamer gyabat'a, Yik'es ıkkanang'ad manbışin həyvanar kara idyaalesın xhinne qaa'a. Manbışe ək'elee aqqıyn karbı zı ha'as deş, Zı manbışika sarçes deş.
Ee nafsi yangu, usiingie barazani pao; usiingie katika mikutano yao, kwani moyo wangu unaheshima kubwa kwa ajili yao. Kwani katika hasira yao waliua watu. Iliwapendeza kuwakata visigino ng'ombe.
7 Fiğan haa'ane manbışde qəlbışisiy Xıl ts'ıts'dya'ane bahaliyvalis bed-düə vuxhena. Zı manbışike g'abıynbı sacigeeqa savaales havaasaras deş, İzrailvolle oot'alasınbı.
Hasira yao na ilaaniwe, kwani ilikuwa kali - na ukali wao, kwani ulikuwa ni katili. Nitawagawa katika Yakobo na kuwatawanya katika Israeli.
8 Yahud, yiğne çocaaşe ğu axtı qa'as, Duşmanaaşina gardan yiğne xıle vuxhes, dekkın dixbıb vas k'yoozaras.
Yuda, ndugu zako watakusifu. Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watainama mbele zako
9 Yizda dix, Yahud, ğu k'on qoodu-soodu qööne mek'vne aslanık akar. Ğu manzil haa'ane şirık akar, horku-qorku ç'iyel g'ılexha, Şavusse şir g'udokana'as əxəyee?
Yuda ni mwana simba. Mwanangu, umetoka katika mawindo yako. Alisimama chini, alijikunyata kama simba, kama simba jike. Je nana atakayejaribu kumwamsha?
10 Paççahiyvalla Yahudne xıleençe mısacab əlyhəəs deş. Gırgıne gahbışil vuk'lek vukkiy mang'unee nasılınbışisse mebınbışilqa ılğeeç'es deş. Nimeeletteyiy gırgın milletbı k'yozarasda vake paççah g'idyarı.
Fimbo haitaondoka katika Yuda, wala fimbo ya utawala kutoka katika miguu yake, hata atakapo kuja Shilo. Mataifa yatamtii.
11 Yahudıqa manimee xətta t'ımılen tayangbı eyxhe, mang'us manbı qidiykkın cuna əməleb çik avt'alas vəəxəna, Çike hı'iyne çaxıree tanalinbıd hoğalas əxənbı.
Kumfunga punda wake kwenye mzabibu, na mwanapunda wake katika mzabibu mzuri, amefua mavazi yake katika divai, na kanzu yake katika damu ya vichala vya mzabibu.
12 Mang'unee uleppışin adın ciga çaxırıle k'ışşeyda, Silibıd niknele cagvarada ixhes.
Macho yake yatakuwa mausi kama mvinyo, na meno yake meupe kama maziwa.
13 Zevulunun cigad deryahne mıglek ixhes, Maa'ad gamıbı ileezaras, Mang'un ciga Sidonnee şaharılqa hixharas.
Zabuloni atakaa katika fukwe ya bahari. Atakuwa bandari kwa ajili ya meli, na mpaka wake utakuwa hata Sidoni.
14 Xurcunbı mıgal alixhxhı manzil haa'ana İssaxar taq'atıkane əməleyk akar.
Isakari ni punda mwenye nguvu, ajilazaye kati ya kondoo.
15 Mang'us vuc manzilis ulyorzulin ciga yugda qadı, maana nyaq'v cus vukkanəxüb g'avcu, mang'vee yı'q' k'yozarı'ı mebbınbışis iş haa'ana.
Anaona mahali pazuri pa kupumzikia na nchi ya kupendeza. Atainamisha bega lake kwa mzigo na kuwa mtumishi wake.
16 Danir İzrailyne nasılbışda sa vob, Mang'vee cune milletıs məhkama haa'as.
Dani atawaamua watu wake kama mojawapo ya makabila ya Israeli.
17 Dani yəqqı'ne mıglekna xoçe xhinne ixhes. Balkanne guvuyk üvxü Çilyna yı'qı'hina g'ı'xə'əne.
Dani atakuwa nyoka kando ya njia, nyoka mwenye sumu aumaye visigino vya farasi katika njia, hivyo aongozaye farasi huanguka nyuma.
18 Rəbb, zı gozet ha'an Ğu mısayiy zı duşmanaaşike g'attixhan ha'as!
Ninaungoja wokovu wako, Yahwe.
19 Mebınbı Qadın cigabı q'əra qa'as ables, Mang'veeyib manbı g'e'ebaşeng'a q'əra qaa'as.
Gadi - wapanda farasi watamshambulia, lakini yeye atawapiga katika visigino vyao.
20 Aşerne cigabışee otxhuniy barakayka ixhes, Mang'vee paççahaaşisıd otxhuniy alles.
Vyakula vya Asheri vitakuwa vingi, naye ataandaa vyakula vya kifalme.
21 Naftali g'avkkune maralık akar, Mang'uke g'abıynbı geeb micagınbı vuxhes.
Naftali ni dubu jike asiyefungwa; atakuwa na watoto wa dubu walio wazuri.
22 Yusufmee, xhyan ı'lqəəne cigaysneene, bıtağbıd cabırıle g'alysikkıyne tayangık akar.
Yusufu ni tawi lizaalo, tawi lizaalo karibu na kijito, ambaye matawi yake yako juu wa ukuta.
23 Duşmanar mang'ulqa qəlıka vukaaşika kyoohar,
Mpiga mishale atamshambulia na kumrushia na kumsumbua.
24 Mang'un xıleppı gucuka vodva mang'vee vuk xıle it'umda aqqaqqa. Mang'us guc hoole vuxha Yaaq'ubee ı'bəədat ha'ane Allahee. Allah İzrailiqa çoban cune syuriyqa ilyakkan xhinne ilyakka. Mana manbışda Suva vobna.
Lakini upinde wake utakuwa imara, na mikono yake itakuwa hodari kwa sababu ya mikono ya Mwenyenguvu wa Yakobo, kwa ajili ya jina la Mchungaji, Mwamba wa Israeli.
25 Yiğne dekkee ı'bəədat ha'ana Allah hasre vas kumagxhecen, Hasre Mang'vee vas xayir-düə hevlecen, Xəəne-ç'iyeyne xhyanbışike ğu g'ıts'mayk'vancen, Vas geeb uşaxaariy çavra-vəq'ə helecen.
Mungu wa baba yako atakusaidia na Mungu Mwenye enzi atakubariki kwa baraka mbinguni juu, baraka za vilindi vilivyo chini, na baraka za maziwa na tumbo.
26 Yiğne dekkına xayir-düə barakatnane çolbışileb geeb vob, Ğu manisa çocaaşile qıvaats'anava, Hasre man gırgın xayir-düəbı yiğınbı ixhecen.
Baraka za baba yako ni kuu kuliko baraka za milima ya zamani au vitu vilivyotamaniwa vya milima ya kale. Na viwe katika kichwa cha Yusufu, hata juu ya taji ya kifalme kichwani pa ndugu zake.
27 Benyamin bahalne ümulyuk akar, Miç'eeb k'on givku opxhan, Exhalid ing'uke-şeng'uke g'ayşuyn bit'al ha'a.
Benjamini ni mbwamwitu mwenye njaa. Wakati wa asubuhi atalarua mawindo, na jioni atagawa mateka.”
28 İna ələpqı'na yits'ıq'öble nasıl İzrailyna vobna. Dekkee dixbışde gırgıng'us, cus sik'ına inəxübna xayir-düə huvu.
Haya ni makabila kumi na mbili ya Israeli. Hiki ndicho baba yao alichowambia alipowabariki. Aliwabariki kila mmoja kwa baraka iliyomstahili.
29 Qiyğa Yaaq'ubee dixbışilqa əmr haa'a: – Zı sık'ınne gahıle qik'asda, zas yizde xizanısqa, zale ögee hapt'iynbışide k'anyaqa əlyhəəs ıkkan. Zı Q'etbışda eyxhene Efronne çoleene mağaree k'eyxhe.
Kisha akawaelekeza na kuwaambia, “Ninakaribia kwenda kwa watu wangu. Mnizike pamoja na babu zangu katika pango lililoko katika shamba la Efroni Mhiti,
30 Mana mağara Kana'anne ölkeene Mamrе eyhene cigays k'anene Maxpelayne çolee vobna. İbrahimee mana mağara nyaq'v haa'asdemee Efronusse çoluka sacigeeniy alivşu.
katika pango lililo katika shamba la Makpela, karibu na Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba Ibrahimu alilolinunua kwa Efron Mhiti kwa ajili ya eneo la kuzikia.
31 Maa'abniy İbrahimiy cuna xhunaşşe Sarra, I'saq'iy cuna xhunaşşe Rivq'a k'evxhu. Zı Leayer maa'ar k'eyxhı.
Pale walimzika Ibrahimu na Sara mkewe; pale wakamzika Isaka na Rebeka mkewe; na pale nikamzika Lea.
32 Man çolud, maana mağarab Q'etbışisseniy alivşu.
Shamba na pango lililomo lilinunuliwa kutoka kwa watu wa Hethi.”
33 Yaaq'ubee dixbışis əmr hav'u g'attirxhınmee, g'elybı tyuleeqa sı'ı qek'ana.
Yakobo alipomaliza maagizo hayo kwa wanawe, akaiweka miguu yake kitandani, akakata roho, akawaendea watu wake