< Metiu 7 >

1 “Kvvbia jwngkadaka mabvka, Pwknvyarnv ka nonua jwngkadaka madubv.
Usihukumu, nawe usije ukahukumiwa.
2 Nonu nyi kvvbia oguaingbv jwngkadaka dudw, vbvdvdvbv Pwknvyarnv ka nonua jwngkadakare, okv nonu nyi kvvbia oguaingbv kiika dudw vbvching Pwknvyarnv ka nonua kiikare.
Kwa hukumu unayohukumu, nawe utahukumiwa. Na kwa kipimo unachopima na wewe pia utapimiwa hicho hicho.
3 Ogulvgavbolo nonu atugv nyik nywkrw chartvyanv nga kaama yabv, nonuno achiboru gv nyik nywkrw charching yanv yanga kaadunv?
Na kwa nini unatazama kipande cha mti kilichoko kwenye jicho la ndugu yako, lakini hutambuwi kipande cha gogo ambalo limo katika jicho lako?
4 Nonu oguaingbv nonugv nyik lo nyikrw chartvyanv go doomu gvrila, achiboru gv nyikgv nyikrw charching nvnga naalin laju vla minyu dubv?
Unawezaje kusema kwa ndugu yako, ngoja nikutolee kipande kilichomo kwenye jicho lako, wakati kipande cha gogo kimo ndani ya jicho lako?
5 Kaakudubvrinv no! Nonu atubogv nyikgv nyikrwa naalin chotoka, vbvribolo nonugv achiboru vdwgv nyikgv nyikrwa naalin dubv nonu kaapa nyulare.
Mnafiki wewe; kwanza toa gogo lililomo kwenye jicho lako, na ndipo utakapoweza kuona vizuri na kukitoa kipande cha mti kilichomo kwenye jicho la ndugu yako.
6 “Darwknv ogu ogua iki vdwa jimabvka-hv bunu tapkur danv nam chvyare. Tasing laktv nga vrikbv orji mabvka—hv bunu lvpa lvkwnglo chaajap chariapre.
Usiwape mbwa kilicho kitakatifu, na usiwarushie nguruwe lulu mbele yao. Vinginevyo wataviharibu na kuvikanyaga kwa miguu, na tena watakugeukia wewe na kukurarua vipande vipande.
7 “Kolaka, okv nonu koopare; malaka, okv nonu mapare; takdin laka, okv nonu gvbv agi a kokda pvjire.
Omba, nawe utapewa. Tafuta, nawe utapata. Bisha hodi, na wewe utafunguliwa.
8 Ogulvgavbolo mvnwngngv yvv koodunv koopare, okv yvvdw madunv mapare, okv yvvdw takdin dunv ninyigv lvgabv agi a kokda pvji dunv.
Kwa yeyote anayeomba, hupokea. Na kwa yeyote anayetafuta, hupata. Na kwa mtu ambaye anayebisha hodi, atafunguliwa.
9 Yvvgv abu ngvla kuunyilo nga vtwng go koomu gvrila vlwng pwgo jinv ngv?
Au kuna mtu miongoni mwenu ambaye, ikiwa mtoto wake amemwomba kipande cha mkate atampa jiwe?
10 Vmalo ninyia ngui nvgo koomu gvrila nonu tabw sogo jiya dubvre?
Au ikiwa atamwomba samaki, na yeye atampa nyoka?
11 No vdwgo alvmanv gubv rida jvka, no gv umvuu vdwa alvbv jisv nga chindu, vkv aingbv, nonugv nyido Abu ka, ninyia konv nga, alvbv jisv nga, achialvbv chindunv.
Kwa hiyo, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, Je! Ni kiasi gani zaidi Baba aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wanao muomba yeye?
12 “No kvvbi nyi a no gv lvgabv kainvgo riji svgo vla mvngnam aingbv, no kvvbi nyi gv lvgabvka riji laka: so si Moses gv Pvbv gvla okv nyijwk vdwgv tamsar namgv arin jvngv.
Kwa sababu hiyo, unapotaka kufanyiwa kitu chochote na watu wengine, nawe pia itakupasa kuwafanyia hivyo hivyo wao. Kwa kuwa hiyo ni sheria na manabii.
13 “Lamtv takching kolo vnglaka, ogulvgavbolo uyumooku bv vngnv lamtv ngv geetv koyodo okv ho vngku lamtv ngv vngyin dunv, okv ho nyi vdwv achialvbv vngyadu.
Ingieni kwa kupitia geti jembamba. Kwa kuwa geti ni pana na njia ni pana inayoongoza kwenye uharibifu, na kuna watu wengi wanaopitia njia hiyo.
14 Vbvritola turku lo vngnv lamtv ngv takching dunv okv ho gv vngku lamtv ngv vngru vngya dunv, okv hoka nyi vdwv miang go vngmwngdu.
Geti ni jembamba, Geti jembamba ni njia inayongooza katika uzima na ni wachache wanaoweza kuiona.
15 “Nonu mvvnvrunv nyijwk vdwa hima sulaka; bunu nonugv kaagialo agum mv svlar jvbv ridu, vbvritola bunugv arwng ngv mootum svcha jvbv ridunv.
Jihadhari na manabii wa uongo, wanaokuja wamevaa ngozi ya kondoo, lakini kweli ni mbweha wakali.
16 Bunugv gwngnam rinam lokv nonu chinreku. Hvngnv vrintv lokv anggor svma dunv, tanyum singnv lokv koksitkokrik svvlin madunv.
Kwa matunda yao mtawatambua. Je watu wanaweza kuvuna matunda kwenye miba, au mtini kwenye mbengu ya mbaruti?
17 Bakboknv singnv ngv alvnv apw asi svvdunv, vbvritola yaagampolonv singnv ngv alvmanv apw asi svvdu.
Kwa jinsi hiyo, kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini mti mbaya huzaa matunda mabaya.
18 Bakboknv singnv ngv alvmanv apw asi svvnyu madunv, okv yaagampolonv singnv ngv alvnv apw asi svvnyu madunv.
Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.
19 Okv singnv apw asi alvnv svvma nvnga patap gvrila vmvlo orlwk dunv.
Kila mti ambao hauzai matunda mazuri utakatwa na kutupwa katika moto.
20 Vkvlvgabv, mvvlarula nyijwk vdwa nonu bunugv gwngnam rinam lokv chinreku.
Hivyo basi, utawatambua kutokana na matunda yao.
21 “Nga Ahtu, Ahtu vla goknv mvnwngngv Pwknvyarnv gv Karv lo aala mare, vbvritola yvvdw ngoogv nyido Abu gv mvngkubv ridu vngdunv, hv mvngchik aanyure.
Si kila mtu aniambiaye mimi, 'Bwana, Bwana,' ataingia katika ufalme wa mbinguni, bali ni yule pekee atendaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Vdwlo jwngkadaka aluv lori kudw, nyi achialvgo nga minreku, ‘Ahtu, Ahtu! No gv amin lokv ngonu Pwknvyarnv gv doin a japgo pvnv, no gv amin lokv ngonu uyuvram vdwa chara pvnv, okv achialvgo lamrwpanam vkv rila kaatam pvnv!
Watu wengi wataniambia siku hiyo, 'Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa jina lako, hatukutoa mapepo kwa jina lako, na kwa jina lako tulifanya matendo mengi makuu?'
23 Vbvrikunamv ngo bunua minreku, ‘Ngo vdwloka nonua chimapvnv. Alvmanv nyi vdwv nonu, ngo gvlokv adu roto!’
Ndipo nitawaambia wazi, 'sikuwatambua ninyi! Ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu!'
24 “Vkvlvgabv, yvvdw ngoogv gamchar vdwa, tvgvrila um ridu vngdunv, hv mvnglak rilaknv nyi go, ninyigv naam a vlwng aolo mvlwknv aingbv ridunv.
Kwa hiyo, kila mmoja asikiaye maneno yangu na kutii atafanana na mtu mwenye hekima aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.
25 Nyido doochar hv sarluto, svko isi hv tvvluto, okv ritv doori hv rila ho naam ha tvging rigingto. Vbvritola ho naam anga mvyakmvchak nyumato, ogulvgavbolo hv vlwng aolo mvlwknam lvgabv.
Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, na upepo ukaja na ukaipiga nyumba hiyo, lakini haikuweza kuanguka chini, kwa kuwa ilikuwa imejengwa juu ya mwamba.
26 “Vbvritola yvvdw ngoogv gamchar vdwa tvgvrila okv um rima vngma dunv, hv pvchanv nyi go ninyigv naam a chukrilo mvlwknv aingbv ridunv.
Lakini kila mtu anayesikia neno langu na asilitii, atafananishwa na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga.
27 Nyido doochar hv sarluto, svko isi hv tvvluto, ritv doori rila ho naam a tvging rigingto, okv naam angv taba toku. Okv ho hv achialvbv mvngru runam gubv ritoku.
Mvua ikaja, mafuriko yakaja, na upepo ukaja na kuipiga nyumba hiyo. Na ikaanguka, na uharibifu wake ukakamilika.”
28 Vdwlo Jisu gv vbv minya robv, nyipam hv ninyigv tamsar sarku nama tvvla lamrwpanya toku.
Ulifika wakati ambao Yesu alipomaliza kuongea maneno haya, makutano walishangazwa na mafundisho yake,
29 Nw Pvbv tamsarnv vdwgv aingbv rima; vmabvya nw kaiyachokbv jwkrw doonv gubvrila tamsar yatoku.
kwa kuwa alifundisha kama mtu mwenye mamlaka, na si kama waandishi wao.

< Metiu 7 >