< Metiu 3 >
1 Vbvrire hoka Jon Baptist Judia gv chukrimooku lo aala japgo raptoku.
Siku hizo Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika nyika ya Uyahudi, akisema,
2 Nw minto, “Nonu rimur lokv mvngdin tokuka, ogulvgavbolo Nyidomooku Karv ngv nvchi dooku!”
“Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”
3 Jon vkvnv nyi ako nyijwk Aijaya gv minam angv, Aijaya minto, “Chukrimooku v nyi go gokdungdo, ‘Ahtu gv lvgabv lamtv nga mvkimvak jilakv; ninyia vngmu dubv lamtv nga sorchi dubv mvtokv!’”
Huyu ndiye yule aliyenenwa habari zake na nabii Isaya aliposema: “Sauti ya mtu aliaye huko nyikani, ‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.’”
4 Jon gv vjiv kemel amw lokv mvnam go; hv apin hukpia go hukto, okv ninyigv dvnam v takamyarup okv tangungula go.
Basi Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa kwa singa za ngamia, akiwa na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu.
5 Jerusalem lokv Judia mooku mvnwng lokv okv Jordan svko nvchi gv mooku lokv nyi vdwv ninyi gvlo aanyato.
Watu walikuwa wakimwendea kutoka Yerusalemu, Uyahudi yote na nchi zote za kandokando ya Mto Yordani.
6 Bunu bunugv rimur lokv mvngdin nyatoku okv nw bunua Jordan svko lo baptisma jitoku.
Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.
7 Vdwlo Jon Parisis okv Sadusis vdwa ninyi gvlo baptisma jikudubv aadu bv kaato kudw, nw bunua minto, “Tabw vdw nonu—yvvla nonua Pwknvyarnv gv mvritririt jikulo nonu aamare vla minv?
Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8 Nonu rimur lokv lirung pvku vla kaachin dukubv rinam go rito kuka.
Basi zaeni matunda yastahiliyo toba.
9 Okv nonuno Abraham nonugv abu v vla Pwknvyarnv gv mvritririt mvji kolo aamare vla mvngma bvka. Ngo nonua mindunv Pwknvyarnv so vlwng vdw sum naala Abraham gv husi bv mvlare!
Wala msidhani mnaweza kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka kwa mawe haya.
10 Yagwng ngv singnv nga miami laalubv palin dubv dooriado; singnv alvnv apwasi svvmanv dvdv nga palinla okv vmvlo orlwk dunv.
Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti, basi kila mti usiozaa matunda mazuri, hukatwa na kutupwa motoni.
11 Nonu mvngdin pvku vla kaatambv ngo nonua isi lokv baptisma jidunv, vbvritola ngoogv kochinglo aarinv angv nonua Darwknv Dow lokv okv vmv lokv nonua baptisma jireku. Nw nga achialvbv kaiyadunv; okv ngo ninyigv lvkiam haka dvbwng yadubvka riyin yakuma.
“Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini nyuma yangu anakuja yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata kuvichukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
12 Nw ninyigv aamtami kapkak nvnv upua doogv sudu. Nw ninyigv amkarmikar a nesunglo gvvlwk reku, vbvritola amsokmisok a nyimanv vmvlo ramyok reku.”
Pepeto lake liko mkononi mwake, naye atasafisha sakafu yake ya kupuria, na kuikusanya ngano ghalani na kuyateketeza makapi kwa moto usiozimika.”
13 Vbvrire hoka Jisu Galili lokv aalwk la okv Jon gvlo Jordan Svko lo aatoku, nw gvlokv baptisma naadubv vla.
Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Mto Yordani ili Yohana ambatize.
14 Vbvritola Jon ninyigv mvngnama mvngkurmvngrwk modubv gwngkwto, Jon minto, “Ngo ya no gvlo baptisma naaya svnga, no ngoogvlo ayapvi!”
Lakini Yohana akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi ninahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu nikubatize?”
15 Vbvritola Jisu ninyia mirwkto, “Vjakgv lvgabv vbv doomu lajuka. Svbv rila Pwknvyarnv gv mvngnam mvnwngnga rilajuka.” Vkvlvgabv Jon mvnglwk minggv toku.
Lakini Yesu akamjibu, “Kubali hivi sasa, kwa maana ndivyo itupasavyo kwa njia hii kuitimiza haki yote.” Hivyo Yohana akakubali.
16 Jisu baapubv baptisma naanam gula, nw isi lokv agum lo daklin toku. Vbvrikunamv Ninyi gvbv nyidomooku ngv kokok jito, okv Nw Pwknvyarnv gv Dow v taakw jvbv ritola ninyi gvlo jarlwk loodubv kaatoku.
Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara alipotoka ndani ya maji, ghafula mbingu zikafunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua na kutulia juu yake.
17 Vbvrikunamv nyidomooku tolokv gaamgo minto, “Si ngo atubogv paknam Kuunyilo ngv, ngoogv mvngyum namv.”
Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, ambaye ninapendezwa sana naye.”