< Mark 4 >

1 Lvkodv Jisu Galili Svparsvlv adarlo tamsar rapto. Nw a ho dokarnv nyitwng v achialvbv twngtvto vkvlvgabv nw svpw arwnglo chaala dooto. Svpw v arwng kiambv vnglinto, okv nyitwng v dakto isi sidar biyagilo.
Yesu akaanza kufundisha tena kando ya bahari. Umati wa watu uliokuwa umekusanyika kumzunguka ulikuwa mkubwa, kiasi kwamba ilimbidi Yesu aingie kwenye mashua iliyokuwa baharini na kuketi humo, nao watu wote walikuwa ufuoni mwa bahari.
2 Nw bunua awgo tamsar dvla minchisinam vkv minvla minjito:
Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:
3 “Tvvto! Kvvlo nyi ako dooto nw radv chibv vnglinto.
“Sikilizeni! Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
4 Vdwlo nw amw vdwa rongolo chiak rapto kudw, kvgonv lamtvlo olinpvto, okv pvta vdwv aala okv hum dvtoku.
Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.
5 Kvgonv lvngtak lo holula hopvto, hoka kvdw achakgo dooto. Amw v ainbv boklin toku ogulvgavbolo kvdw v rungrwng mato.
Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba.
6 Agar miami v rungrwngbv harlwkku kaama laila vbvrinamv, vdwlo doonyi v chaalin tokudw agar a kaayok toku; okv ogulvgavbolo miami v rungrwngbv kvdwlo aamato, agar v baapubv sintoku.
Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.
7 Kvgonv tvv apumlo holwkto, v singtoku okv agar a yuptoku, okv bunu oguka dape peelin mato.
Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea, hivyo haikutoa mazao.
8 Kvgonv hooluto kvdw alvyaung kolo, okv agar v baapubv garlinto, singto, okv dape peelin toku: kvgonv dasum chaam go kvgonv chamkv, okv kvgonv lwngbv.”
Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa mazao, moja mara thelathini, nyingine mara sitini, na nyingine mara mia moja.”
9 Okv Jisu minya toku, “Vbvrinamv, nonuno nyarung doodu nvlo, tvvtoka!”
Kisha Yesu akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
10 Vdwlo Jisu akin tokudw ninyigv minam a tvvnv nyi kvgonv bunu lvbwlaksu vring gola anyi gv lvkobv aala ninyia minchisinama minbwk jilabvkv vtoku.
Alipokuwa peke yake, watu waliokuwepo naye pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili wakamuuliza kuhusu mifano yake.
11 Jisu mirwksito, “Pwknvyarnv gv rungrwng rungnv Karv gv lvkwng nga nonua jiroku. Vbvritola kvvbinyi vdwv, ogumvnwng nga minchisinam lokv tvvdunv,
Naye akawaambia, “Ninyi mmepewa kujua siri ya Ufalme wa Mungu. Lakini kwa wale walioko nje, kila kitu husemwa kwao kwa mifano,
12 vkvlvgavbolo, ‘Bunu kaadv-kaadv la kaare, vbvrijvka kaapa mare; okv tvvdv-tvvdv la tvvre, vbvrijvka tvvchin mare. Vkvlvgavbolo bunu chinv guilo bunu Pwknvyarnvnyi dakrwk dukunvpv, okv nw bunua mvngnga jidu kunvpv.’”
ili, “‘daima waone lakini wasitambue, daima wasikie lakini wasielewe; wasije wakageuka, wakatubu na kusamehewa!’”
13 Vbvrinamv Jisu bunuam tvvkato, “Nonu minchisinam sum chimadunvri? Vbvrikubolo nonu oguaingbv kvvbi minchisinam go chindubv?
Kisha Yesu akawauliza, “Hamwelewi maana ya mfano huu? Basi mtaelewaje mifano mingine?
14 Amw paknv Pwknvyarnv gv doin a pakje jito.
Yule mpanzi hupanda neno.
15 Kvgonv nyi v ho lamtvlo amw hosoknam jvbv; bunuv baapubv doin a tvvdasopitda, Uyu ngv aareku okv hung naala vnggvreku.
Hawa ndio wale walio kando ya njia ambako neno lilipandwa. Walisikiapo neno, Shetani huja mara na kulinyakua lile neno lililopandwa ndani yao.
16 Kvgonv nyi v amw v lvngtak aolo hopvnam jvbv. Bunuv baapubv doin tvvdasopitda bunu himpula hum tvvrwksito.
Nazo zile mbegu zilizoanguka kwenye udongo wenye miamba, ni wale wanaolisikia neno, na mara hulipokea kwa furaha.
17 Vbvritola bunulo rungrwngbv aalwk manam lvgalo, okv bunu vdwloka hvngdwng mare vkvlvgabv vdwlo adwkaku v vmalo mvdwkmvku v aarikudw doin lvga lokv, bunu vjakgobv kayudariku.
Lakini kwa kuwa hawana mizizi, wao hudumu kwa muda mfupi tu. Kisha dhiki au mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, mara wao huiacha imani.
18 Kvgunv nyi v tvv hvdwnglo amw holwk nam jvbv rido. So vdw sinv yvv doin ham tvvdunv,
Lakini wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile neno;
19 vbvritola mvngrudu so singse lvgabv, nyitv lvgabv pakyado, okv nvgwng a mvngbiula nyitwng arwnglo okv doin a ngemu duku, okv bunu asi svlin kumanv. (aiōn g165)
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae. (aiōn g165)
20 Vbvritola kvgonv nyi v alvnv kvdw lo amw paknam jvbv rito. Bunu doin a tvvgapto, hung tvvrwksito, okv asi svlinto: kvgonv chaam bv, kvgonv chamkvbv, okv kvgonv lwngbv.”
Wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri, hulisikia lile neno, wakalipokea na kuzaa mazao. Wao huzaa mara thelathini, au mara sitini, au mara mia ya mbegu iliyopandwa.”
21 Jisu minbwngto, “Nyi akonv mvdurrupum ako naalwkla okv hum bati kyampwk takmamla vmalo gadw gv kyampwk lo vvpv dvnvri? Hum tunggingnvnv gv aolo nw vvpv madunvri?
Akawaambia, “Je, taa huwashwa na kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara chake?
22 Ogugo vvsi pvdw hum agumlo bvnglinla mvko riku, okv ogugo takmam pvkudw v takmam kumare.
Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni.
23 Vbvrinamv, tvvto nonuno nyarung doodu nvlo!”
Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
24 Nw bunua lvkodv mindvto, “Alvbv tvvgapto ogugo no tvvpvdw! Ogu kiinvnv lokv no nyi ham jwngkadaka dvdw vbv kiinvnv lokv Pwknvyarnv ka nam jwngkadaka—vbvritola humka kaiyanvgo rire.
Naye akawaambia, “Kuweni waangalifu na yale mnayosikia. Kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa ninyi, hata na zaidi.
25 Nyi v yvvdw ogugo doodudw hum kaiyago jire okv nyi v yvv ogugoka domapvdw vkvgvlo achukgo doonam haka naarit reku.”
Kwa maana kila mtu aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.”
26 Jisu minbwngto, “Pwknvyarnv gv karv ngv svbv rido. Nyi akonv ninyigv rongolo amw paklwkkto.
Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani.
27 Nw ayulo yuptoku, alu dukubv v gudung toku, okv vbvririlo amw mvnwngngv boksula okv garrap toku. Vjvka um nw oguaingbv ridu nvdw um chinkuma.
Akiisha kuzipanda, usiku na mchana, akiwa amelala au ameamka, mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua ikuavyo.
28 Kvdw v atubongv singnv a singmusido okv asi a svlin mosudo. Atukchochukbv radvdada ngv, okv danv ngv, okv ataranyabv dape mvnwng a kaapado.
Udongo huifanya iote kuwa mche, halafu suke, kisha nafaka kamili kwenye suke.
29 Vdwlo radv ngv kamkubolo, nyi v parap toku hum ninyigv rioktung lokv, ogulvgavbolo rongo mvdw dw v aatoku.
Lakini nafaka inapokuwa imekomaa, mara mkulima huingia shambani na mundu wa kuvunia, maana mavuno yamekuwa tayari.”
30 “Pwknvyarnv gv Karv ngv svbv rido vla ngonu oguaingbv minsedw?” Jisu tvuto. “Ngonu hum ogugonyi minchisinvla minbwk jidubv?
Akawaambia tena, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?
31 So si svbv ridu. Nyi akonv yingmw go naato, nyiamooku gv amw charching yachoknv, okv um kvdwlo lvvlwk toku.
Ni kama punje ya haradali, ambayo ni mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote zinazopandwa ardhini.
32 Ayungjvma nga v singcha toku okv singnv mvnwngnga kaiyachok nvgobv ritoku. Hv hakbv ngv vbv kairungbv harlin toku ho pvta ngv aala bunugv asup vdwa ho gv doonyum lo suplwk toku.”
Lakini ikishaota, hukua ikawa mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, ikawa na matawi makubwa hata ndege wa angani wanaweza kujenga viota kwenye matawi yake.”
33 Jisu ninyigv doina nyi vdwlo japjito, mintaknvto awgo kvvbi minchisinam sibe minvla; nw mintamto bunua vkamgo bunu tvvchin nyodudw.
Kwa mifano mingine mingi kama hii Yesu alinena nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kulielewa.
34 Nw ogugoka mimato bunua minchisinam mintak mabv, vbvritola vdwlo nw akinpvdw lvbwlaksu vdwa lvkobv, nw ogumvnwng nga bunua minbwk jitoku.
Hakusema nao neno lolote pasipo mfano. Lakini alipokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.
35 Ho alu akin gv arium hoka, Jisu ninyigv lvbwlaksu vdwa minto, “Klai svparsvlv takdv gonv durap linlaju.”
Siku hiyo ilipokaribia jioni, aliwaambia wanafunzi wake, “Tuvukeni twende mpaka ngʼambo.”
36 Vkvlvgabv bunu nyitwng nga vngyu toku; lvbwlaksu vdwv Jisu gv doolwkku svpw lo aalwk mingvto, okv bunu ninyia bunugv lvkobv vnggv toku. Kvvbi svpw vdwvka hoka dooto.
Wakauacha ule umati wa watu, na wakamchukua vile alivyokuwa kwenye mashua. Palikuwa pia na mashua nyingine nyingi pamoja naye.
37 Dvminmabv kairungbv doori v rirapto, okv sikiok v svpw arwnglo kioklwkto, vkvlvgabv isi v hoka yarbing tvvtoku.
Kukawa na dhoruba kali, nayo mawimbi yakaipiga ile mashua hata ikawa karibu kujaa maji.
38 Jisunyi svpw arwng gv koching kiambv dooto, nw domtom golo dumpo ngv dumpv tola yupminto. Lvbwlaksu vdwv ninyia muuto okv minto, “Tamsarnv, no ngonua mvngpa kumare ngonu sida jiku nvlaka?”
Yesu alikuwa katika shetri, akiwa analala juu ya mto. Wanafunzi wake wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali kama tunazama?”
39 Jisu dakrapto okv dooria mintoku, “Choibv dooto!” Okv nw minto sikiok aka, “Doochingbv dooto!” Doori v ringin toku, hoka kairungbv jematai toku.
Akaamka, akaukemea ule upepo, akayaambia yale mawimbi, “Uwe kimya! Tulia!” Ule upepo ukatulia, kukawa shwari kabisa.
40 Vbvrikunamv Jisu ninyigv lvbwlaksu vdwa minto, “Ogubv nonu busu nyadunv? Vjaklodvbv nonu nga mvngjwng malare?”
Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”
41 Vbvritola bunu achialvbv busuto okv akonv akonyi mimisito, “Yvvla so nyi si? Doori vla sikiok hvka ninyia tvvdu!”
Nao wakawa wameogopa sana, wakaulizana, “Ni nani huyu ambaye hata upepo na mawimbi vinamtii?”

< Mark 4 >