< Luk 20 >

1 Alu gulo Jisu Pwknvyarnvnaam lo nyi vdwa tamsarla okv Gamlv nga japji rilo, nyibu butvnv vdwv okv Pvbv tamsarnv vdwv, nyiga vdwa lvkobv, aatoku
Siku moja, Yesu alipokuwa akifundisha watu Hekaluni na kuhubiri habari njema, viongozi wa makuhani, walimu wa sheria, pamoja na wazee wa watu wakamjia.
2 okv ninyia minto, “Ngonua mintamto, no ogubv svbv rimin dunv? Yvvla nam svbv rimin dubv jinv ngv?”
Wakamuuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
3 Jisu bunua mirwksito, “Ngam nonua gaamgo tvu chomu labv. Ngam mintam labv,
Akawajibu, “Nami nitawauliza swali.
4 Jon gv baptisma jinamv Pwknvyarnv gvlo kvre vmalo nyi gvlo kvre?”
Je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”
5 Bunu vdwv atu v larmi sirap nyato, “Ngonu ogu vla mindubv? Ngonu ‘Pwknvyarnv gvlokv’ vla minbolo, nw minrikuda, ‘V bolo nonu ogugbv Jonnyi mvngjwng mapvnv?’
Wakahojiana wao kwa wao wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’
6 Vbvritola ngonu ‘Nyianyi gvlokv’ vla minbolo, so gv nyi nyipam vdwsi ngonua vlwng orgingre, ogulvgavbolo bunu Jonnyi nyijwk akobv pvbwng alvbv chinya dukunv.”
Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ watu wote watatupiga mawe, kwa sababu wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii.”
7 Vkvlvgabv bunu mirwkto, “Ngonu chima v ogulokv aapvnvdw.”
Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”
8 Okv Jisu bunua mintoku, “Ngo ka nonua minjimare ogubv ngo so vdw sum ridu nvdw.”
Yesu akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”
9 Vbvrikunamv Jisu so minchisinam sum bunua minjito: “Ho hoka nyi ako dooto hv anggor rongo mvto, um rijo naanv nyi vdwlo tinto, vbvrikunamv adubv relinnam lvgabv vnglintoku.
Akaendelea kuwaambia watu mfano huu: “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima fulani, kisha akasafiri kwa muda mrefu.
10 Vdwlo anggor naakumdwv aatokudw, nw nyira go rwktin vdwlo gvlo anggor ninyigv baak paase naarwk simu dubv vla vngmu toku. Vbvritola rwktin vdwv nyira anga dvngtola ogu goka jimabv vngkur motoku.
Wakati wa mavuno ulipofika, akamtuma mtumishi wake kwa hao wapangaji ili wampe sehemu ya mavuno ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima wakampiga, wakamfukuza mikono mitupu.
11 Vkvlvgabv nw nyira gunvnyi vngmuto; vbvritola rwktin vdwv ninyi nyika dvngdvto, hinyinghiru dubv mvto, okv ogugoka jimabv vngkur motoku.
Akamtuma mtumishi mwingine, huyo naye wakampiga, wakamfanyia mambo ya aibu na kumfukuza.
12 Vbvrikunamv nw nyira aom nvnv nga vngmuto; rwktin vdwv ninyia ungnv gvdubv, mvdvto, okv ninyia agumlo dvato.
Bado akamtuma na mwingine wa tatu, huyu pia wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.
13 Vbrikunamv anggor rongo atuv mintoku, ‘Ngo ogugo riku nvpvdw? Ngo ngoogv paknam kuunyilo nga vngmu reku; bunu ninyia jvjvbv mvngdv jiriku!’
“Basi yule mwenye shamba la mizabibu akasema, ‘Nifanye nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa, huenda yeye watamheshimu.’
14 Vbvritola vdwlo rwktin vdwv ninyia kaapa tokudw, bunugv aralo mimisinyato, ‘So si atu gv kuunyilo ngv. ‘Klai ninyia mvki laju, okv ninyigv yikungyira ngv ngonu gvbv rireku!’
“Lakini wale wapangaji walipomwona, wakasemezana wao kwa wao. Wakasema, ‘Huyu ndiye mrithi. Basi na tumuue ili urithi uwe wetu.’
15 Vkvlvgabv bunu ninyia anggor rongo agum dvlinto okv mvki toku. “Vbvrikunamv, rongo atuv rwktin vdwa ogubv rireku?” Jisu tvkato.
Kwa hiyo wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua.” “Sasa basi yule mwenye shamba la mizabibu atawafanyia nini wapangaji hawa?
16 “Nw aariku okv ho nyi vdwa mvki reku, okv anggor rongo nga kvvbi rwktin vdwlo laklwk reku.” Vdwlo nyi vdwv sum tvvtokudw bunu minto, “Vbvrirung mare!”
Atakuja na kuwaua hao wapangaji, na kuwapa wapangaji wengine hilo shamba la mizabibu.” Watu waliposikia hayo wakasema, “Mungu apishie mbali jambo hili lisitokee!”
17 Jisu bunua kaagapto okv tvvkato, “Vbvrikunamv so darwknv kitap gv minam si ogu v? ‘Naam mvnv vdwgv toa kunam vlwng pwngv mvnwngnga dinchiyachok nvgobv rire.’
Lakini Yesu akawakazia macho, akasema, “Basi ni nini maana ya yale yaliyoandikwa: “‘Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni’?
18 Nyi mvnwngnga ho vlwng hoka hopv nvnga patungpayung mvre; okv ho vlwng angv nyi akonvgv aolo hoopv bolo, v ninyia amwkbv mvre.”
Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagwa kabisa.”
19 Pvbv tamsarnv vdwv okv nyibu butvnv vdwv, hoka Jisunyi naatung dubv rikwto, ogulvgavbolo ninyigv minchisinam minam angv bunua minyingdu vla bunu chintoku; vbvritola bunu nyi vdwa busu nyato.
Walimu wa sheria na viongozi wa makuhani wakatafuta njia ya kumkamata mara moja, kwa sababu walifahamu kwamba amesema mfano huo kwa ajili yao. Lakini waliwaogopa watu.
20 Vkvlvgabv bunu alvnv dw kaakarto. Bunu nyi mego arwnglo gwngla jisito bunua alvnv nyi go vla kaakudubvrinv nyi vkv, okv bunu ho vdwa Jisu gvlo vngmuto tvu gvrila naatung dubv vla vkvlvga bunu ninyi Roman nyigam lo laklwk ladukubv.
Kwa hiyo wakawa wanamchunguza na kutuma wapelelezi waliojifanya kuwa wenye haki ili wapate kumtega kwa maneno asemayo, ili wamtie katika uwezo na mamlaka ya mtawala.
21 So gv arwng gwngyanv vdwv Jisunyi minto, “Tamsarnv, ngonu chindu no ogugo mindudw okv tamsar dudw v jvjv ngv. Ngonu chindu no nyi gv mvngnam lokv kaamadu, vbvritola nyi gv lvgabv Pwknvyarnv gv mvngnam jvjv nga tamsaryado.
Hivyo wale wapelelezi wakamuuliza, “Mwalimu, tunajua unasema na kufundisha yaliyo kweli wala humpendelei mtu, bali wafundisha njia ya Mungu katika kweli.
22 Ngonua mintam labv, Roman Dvbvyachoknyi ngonugv lampu jinam si ngonugv Pvbv nga rinying dunvri, vmalo rikin madunvri?”
Je, ni halali sisi kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
23 Vbvritola Jisu bunugv gwngnam a kaapa toku okv bunua minto,
Lakini Yesu akatambua hila yao, kwa hiyo akawaambia,
24 “Ngam lokdwng go kaatam labv. So si yvvgv nyukmu vla aminv doodunv?” “Dvbvyachok gv,” bunu mirwksito.
“Nionyesheni dinari. Je, sura hii na maandishi haya yaliyoko juu yake ni vya nani?”
25 Vkvlvgabv Jisu minto, “Alvdo, vbvrikunamv, Dvbvyachok gvnga Dvbvyachoknyi jitoka, okv Pwknvyarnv gvnga Pwknvyarnvnyi jilaka.”
Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.” Akawaambia, “Basi mpeni Kaisari kilicho cha Kaisari, naye Mungu mpeni kilicho cha Mungu.”
26 Vkvlvgabv nyi vdwgv kaagia hoka ogu goka bunu ninyia naatung nyula mato, vkvlvgabv bunu ninyigv mirwk nama lamrwpanya la choibv doonya toku.
Wakashindwa kumkamata kwa yale aliyokuwa amesema hadharani. Nao wakashangazwa mno na majibu yake, wakanyamaza kimya.
27 Vbvrikunamv Sadusis mego, yvvbunudw nyi vdwv sitokula turkur kumadunv vnv vdwv, Jisu gvlo aato okv minto,
Baadhi ya Masadukayo, wale wasemao kwamba hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Yesu na kumuuliza,
28 “Tamsarnv, Moses so Pvbv sum ngonugv lvgabv lvkpv jipvnv: ‘Nyi gonv nywng nga kuu dooma dwbv siyu bolo, ho siyu nvgv boruv hvngmi nga nywng mvrung tvka vkvlvgabv bunyiv kuu doogv rila sinv ho gv kuu bv mindu kubv.’
“Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.
29 Alu golo achiboru kanw go dooto; achi yachok v nyimv naatoku okv kuu dooma dwbv siyuto.
Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto.
30 Vbvrikunamv boruya gonv nyimv nvnga nywngbv doogvto,
Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye akafa bila mtoto,
31 okv boru aom nvnv ngvka. Vbvdvdvbv achiboru kanw mvnwnglo rito—bunu siyuto kuu dootv madvbv.
naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto.
32 Mvnwng gv kochinglo, nyimv nvngv sitoku.
Mwishowe, yule mwanamke naye akafa.
33 Vjak, sinv ngv turkurdw alulo, nyimv nvngv yvvgv nywngbv rirekudw? Mvnwng kanw v ninyia nywng mvpv.”
Sasa basi, siku ya ufufuo huyo mwanamke atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”
34 Jisu bunua mirwkto, “Vjakgv nyiga mvvga ngv nywng nyilubv rimi sidu, (aiōn g165)
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
35 vbvritola nyiga okv mvvga ngv yvvdw sinam lokv turkur kuji bongv okv singnam gunv tolo doojinv v nywng nyilubv rimi sikumare. (aiōn g165)
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
36 Bunu nyidogindung vdw jvbv rire okv sinyu kumare, bunu Pwknvyarnv gv kuu vdwvku, ogulvgavbolo bunu sito koola turrap kunvngv.
Hawa hawawezi kufa tena, kwa maana wao ni kama malaika. Wao ni watoto wa Mungu, kwa sababu ni watoto wa ufufuo.
37 Sinam lokv turkurkunama Moses ka chimbwk toku. Lvklin jinamlo yamdwng yamchumlo vmv gunam gv lvkwng nga nw Atu gvbv minto ‘Abraham gv Pwknvyarnv ngv, Isaak gv Pwknvyarnv ngv, okv Jakob gv Pwknvyarnv ngv.’
Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka, kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka moto bila kuteketea, alipomwita Bwana, ‘Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo.’
38 Nw turnv vdwgv Pwknvyarnv ngv, sinv gvngvma, ninyigv lvgabv mvnwngngv turdunv.”
Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa kuwa kwake wote ni hai.”
39 Pvbv tamsarnv megonv goklinto, “Alvbv mirwknam go, Tamsarnv!”
Baadhi ya walimu wa sheria wakasema, “Mwalimu, umesema sawasawa kabisa!”
40 Bunu ninyia ho lvkwngbv tvu dukubv choopu kuma toku.
Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.
41 Jisu bunua tvvkato, “Kristo Dabid gv husi v vla oguaingbv minpvnv?
Kisha Yesu akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Kristoni Mwana wa Daudi?
42 Dabid nw atuv mirimimpak kitaplo minsuto, ‘Ahtu ngoogv Ahtunyi minto: Ngoogv lakbiklo dootungto
Daudi mwenyewe anasema katika Kitabu cha Zaburi: “‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume,
43 vdwlo ngo noogv nyimak vdwa lvpa lvging nvnv aingbv mvla noogv lvchulo vvpvma dvdvlobv.’
hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”’
44 Dabid ninyia ‘Ahtu’ vla minto; oguaingbv, vbvrikunamv, Kristo Dabid gv husi bv rila rinv?”
Ikiwa Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ basi atakuwaje mwanawe?”
45 Nyi vdwgv ninyia tvvla doorilo, Jisu ninyigv lvbwlaksu vdwa minto,
Wakati watu wote walikuwa wanamsikiliza, Yesu akawaambia wanafunzi wake,
46 “Pvbv tamsarnv vdwa nonu himasuto laka, bunu bunugv jvtvlaklwk a kotola daakar svnga mvngbiu dunv okv pyokpamdorpam lo vngkar gvrila mvngdv kodubv mvngbiu dunv; bunu jius kumkunaam vdwlo dooku a okv dvpam dvkulo alvyachoknv dooku a gakcho dunv;
“Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni. Hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kukaa kwenye nafasi za heshima katika karamu.
47 Bunu hvngmi vdwlo riborilit mingla okv bunugv naam vdwa dvrit papi jila, okv kaakudubv vla asu dubv kumla! bunua achialvbv alvmanam gubv mvritre!”
Wao hula nyumba za wajane, na ili waonekane kuwa wema, wanasali sala ndefu. Watu kama hawa watapata hukumu iliyo kuu sana.”

< Luk 20 >