< Luk 11 >

1 Alu logolo Jisu mooku golo kumla dooto. Vdwlo nw kumngin tokudw, ninyigv lvbwlaksu akonv ninyia minto, “Ahtu, ngonua kumsar labv, Jon ninyigv lvbwlaksu vdwa kumsarnam jvbv.”
Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza kusali, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, tunakuomba utufundishe kusali kama Yohane mbatizaji alivyowafundisha wanafunzi wake.”
2 Jisu bunua minto, “Vdwlo nonu kumrinyi, sum minto: ‘Abu: Noogv darwknv aminv mvngdvnam gubvka; noogv Karv ngv aalaka.
Yesu akawaambia, “Mnaposali, semeni: Baba! Jina lako litukuzwe; Ufalme wako ufike.
3 Ngonugv dvsetvngse nga alu-alua jilaka.
Utupe daima chakula chetu cha kila siku.
4 Ngonugv rimur vdwa mvngnga jilaka, ngonua rimurnv vdwa ngonu mvngnga jidunv. Okv ngonua alvmanv gwngkarika moyoka.’”
Utusamehe dhambi zetu, maana sisi tunawasamehe wote waliotukosea; wala usitutie katika majaribu.”
5 Okv Jisu ninyigv lvbwlaksu vdwa mintoku, “Svkv aingbv nonu gvlokv akonv ayuyupra nga ajin gv naam lo vngla minre, ‘Ajin, nga vtwng taggom go narlabvkv.
Kisha akawaambia, “Tuseme mmoja wenu anaye rafiki, akaenda kwake usiku wa manane, akamwambia: Rafiki, tafadhali niazime mikate mitatu,
6 Ngoogv ajin ako moing vngnvgo nw vjakpi ngoogv naam lo aalwkpv, okv ngo ninyigv lvgabv dvnam go dooma!’
kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa.
7 Okv svkv aingbv noogv ajin v naam arwng lokv mirwk bolo, ‘Nga no mindwkmingku mabv! vriap agi ngv koktum ropvku, okv ngo la ngoogv kuu vdwv gadw lo doopv kunv. Ngo gudungla nam ogugo jinyuma.’
Naye, akiwa ndani angemjibu: Usinisumbue! Nimekwisha funga mlango. Mimi na watoto wangu tumelala; siwezi kuamka nikupe!
8 Alvdo, vbvrikunamv ogugo rire? Ngo nonua minpadu, nw ngoogv ajin v vla gudungla nam ogugo jima jeka noogv hinying mabv koodv-koodvnam lokv nw gudungla nam ogugo jirung reku.
Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji.
9 Okv vkvlvgabv ngo nonua mindunv: Kolaka okv no paarungre; makar laka no mapare; takdin laka, okv agi nga no lvgabv kokda pvjire.
Kwa hiyo, ombeni, nanyi mtapewa, tafuteni, nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa.
10 Mvnwngngv yvv koodunv hv paadu, okv yvvdw makar dunv mapare, okv yvvdw takdin dunv ninyigv lvgabv agi a kokda pvjire.
Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye hufunguliwa.
11 Nonu gv abu vdwv yvvla kuu nga vtwng go koomu gvrila tabw go jinv?
Mtoto akimwomba baba yake samaki, je, atampa nyoka badala ya samaki?
12 Vmalo no ninyia pvpw go koomu gvrila dwkung go jiredw?
Na kama akimwomba yai, je, atampa ng'e?
13 No alvmanv gubv rijeka, no chindu oguaing bv alvnvgo kuu nga jise ngvdw. Vbvrikunamv ung achialv kaiyanv go, nyidomooku lo doonv Abu Darwknv Dow a jirungre yvvdw ninyia koodunv!”
Ninyi, ingawa ni waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri. Basi, baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi; atawapa Roho Mtakatifu wale wanaomwomba.”
14 Jisu milin momanv uyuvram ako charlin toku; vdwlo uyuvram angv vngro tokudw, nyi angv milin raptoku. Nyipam vdwv lamrwpatoku,
Siku moja Yesu alikuwa anamfukuza pepo aliyemfanya mtu mmoja kuwa bubu. Basi, huyo pepo alipomtoka, yule mtu akaweza kuongea hata umati wa watu ukashangaa.
15 vbvritola megonv nyi vdwv minto, “Si Biljebul pvnv go, uyuvram vdwgv dvbv, v ninyia bunua charanvnv jwkrw a jiriadu.”
Lakini baadhi ya watu hao wakasema, “Anamfukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”
16 Kvvbi vdwv Jisunyi gwngkup dvbv mvngto, vkvlvgabv bunu ninyia lamrwpanam go kaatam labv Pwknvyarnv nam yarlwk pvnvlo vla kooto.
Wengine, wakimjaribu, wakamtaka afanye ishara kuonyesha kama alikuwa na idhini kutoka mbinguni.
17 Vbvritola Jisu bunugv mvngnam a chinto, vkvlvgabv nw bunua minto, “Diringmooku gunv atu v apum-apum gubv yakpin sila hv padar minsu kubolo hv vdwloka doobwng lamare; vpin akonv atu v apinain sila rinying minsunv, hv ngoopinngoin dukunv.
Lakini yeye, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, “Ufalme wowote uliofarakana wenyewe, hauwezi kudumu; kadhalika, jamaa yeyote inayofarakana huangamia.
18 Vkvlvgabv Uyu gv karv ngv apum gubvrila padar minsu kubolo, oguaingbv hv doobwng nyudubv? Nonu mindu nga uyuvram vdwa charadu ogulvgavbolo Biljebul ngam jwkrw jinam lokv vbv rimu doonv vla.
Kama Shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? Mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli?
19 Vbv rungbv ngo bunua charlin dunv bolo, nonua reming gvnv vdwv oguaingbv bunua charlindunv? Nonua reming gvnv vdwv nonua rimur do vla gakdu!
Kama ninafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo, wao ndio watakaowahukumu ninyi.
20 Ma ho mabvdv ngo Pwknvyarnv gv jwkrw lokv bunua charlindunv, okv si kaatamdu Pwknvyarnv gv Karv ngv nonu gvlo aapvku vla.”
Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.
21 “Vdwlo gwlwknv nyi akonv, ninyigv panvnaanv nvnga lvkobv doogu sila, atubogv naam a kaaria sikubolo ninyigv yidu vdwv ngemare.
“Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.
22 Vbvritola vdwlo nyi gunv ninyia gwlwk yanvgo nw gvlo palwk laku ninyia mvya yaku bolo, atu gv mvngging kunam yidu vdwa gvla yikula okv ogugo dvrit pvkudw orpin-oryin sireku.”
Lakini akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia na kumshinda, huyo huziteka silaha zake alizotegemea na kugawanya nyara.
23 “Yvvdw ngogvbv rima dunv jvjvbv hv nga rinying nvngv; yvvdw nga ridur madunv, naakum nvngv ka jvjvbv ayakapakdu.”
Yeyote asiyejiunga nami, ananipinga; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya.
24 “Vdwlo alvmanv dow v nyidum lokv linri kunyi, hv pvtwngko mooku lo dooku makarla vnggo kardu, hv dooku akoka mapa kuma bolo, hv atu v mindu, ‘Ngo ngoogv naam lo aakur reku.’
“Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu fulani, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzikia. Asipopata, hujisemea: Nitarudi kwenye makao yangu nilikotoka.
25 Vkvlvgabv nw aakur dukula naam a doin doopa dubv kaapa duku.
Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa.
26 Vbvrikunamv vnglinlaku okv ninyia alv mayanv uyu dow kanw go aagv dukunv okv bunu aalaku hoka doolwk duku. Vkvlvgabv vdwlo vbv rirekudw, ho nyi gv rinamdaknam hv kvvlo gvnga kaiyabv alvmayabv ridu kunv.”
Basi, huenda na kuwachukua pepo wengine saba waovu zaidi kuliko yeye; wote huenda na kumwingia mtu yule. Hivyo, basi hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya zaidi kuliko pale mwanzo.”
27 Vdwlo Jisu hum minto kudw, nyimv nvgo nyipam lokv goklin la ninyia minto, “Achialv mvngpu v ho nyimv angv nam dwrwboklin la sootv bongv!”
Alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katika lile kundi la watu, akasema kwa sauti kubwa: “Heri tumbo lililokuzaa, na maziwa yaliyokunyonyesha!”
28 Vbvritola Jisu mirwkto, “Vmabvya, achialv mvngpu v yvvdw Pwknvyarnv gv gaam a tvvdunv okv hum ridunv!”
Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”
29 Nyi vdwv Jisunyi nyipam bv dooyum lvlv toku, nw mimbwngla minto, “Silu meriu gv nyi vdw si achialvbv alvmado! bunu lamrwpanam go koodu, vbvritola Jona gv lamrwpanam a jimwngre kvvbi lamrwpanam yagu bunua jimare.
Umati wa watu ulipozidi kuongezeka, Yesu akawaambia, “Kizazi hiki ni kizazi kiovu. Kinataka ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ya Yona.
30 Ho apiabv nyijwk Jona Ninebe nyi vdwgv kaaringtamanam gobv rito, vkvlvgabv Nyia Kuunyilo vka silu meriu gv nyi vdwgv kaaringtama nam gubv rire.
Jinsi Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninewi, ndivyo pia Mwana wa Mtu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki.
31 Jwngkadaka Alu lo Seba gv Dvnv angv dakrapre okv silugv nyi vdwa gungnying milwkre, ogulvgavbolo nw ninyigv mooku lokv lamtv mvnwngnga vngmila vngtoku Solomon gv mvnglakmilak a tvvdubv vla; okv ngo nonua mindu Dvbv Solomon nyika kaiyanv ogugo sika si doopv.
Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. Yeye alisafiri kutoka mbali, akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni; kumbe hapa pana mkuu zaidi kuliko Solomoni.
32 Jwngkadaka Alu lo Ninebe gv nyi vdwv dakrap dvla nonua gungnying milwkre, ogulvgavbolo bunu Jona gv japji nama tvvla bunu bunugv rimur lokv mvngdin toku; okv ngo nonua jvjv bv mindunv Jona nyika kaiyanv go sika si doopv!
Watu wa Ninewi watatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, na watashuhudia kwamba kizazi hiki kina hatia. Hao watu wa Ninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona; na hapa pana mkuu zaidi kuliko Yona!
33 “Yvvka mvdurrupum a baanu gvrila vsila vmalo bati lvkwnglo vvpvnv kaama; vmabvya, nw hum tunggingnvnv lo vvpv yadunv, ogulvgavbolo nyi aanv vdwa kaapa modubv.
“Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa pishi, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga.
34 Noogv nyik vdwv ayak gv lvgabv mvdurrupum jvbv rido. Vdwlo noogv nyik vdwv alvbolo, noogv ayak mvnwnglo loung ngv akomaring do; vbvritola vdwlo noogv nyik vdwv alvmabolo, noogv ayak mvnwngngv kanv arwng lo dooreku.
Jicho lako ni kama taa ya mwili wako; likiwa zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga. Jicho lako likiwa bovu, na mwili wako pia utakuwa katika giza.
35 Vbvrikunamv, mvnggap tvvlaka, no gvlo loung doodunv am kanv madubv.
Uwe mwangalifu basi mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.
36 Noogv ayak mvnwnglo loung yayabv, ogugoka kanvnamgo kamabv ridu bolo, hv mvnwnglo achialvbv loungre, mvdurrupum gonvgv achialvbv ungnam loung ngv, nam ungkanam jvbv rire.”
Basi, kama mwili wako wote una mwanga, bila kuwa na sehemu yoyote yenye giza, mwili huo utang'aa kikamilifu kama vile taa inavyokuangazia kwa mwanga wake.”
37 Vdwlo Jisu mintung nga minya tokudw, Parisis ako ninyia lvkobv dvnam dvbam dubv vla gokto; vkvlvgabv nw vngtoku okv dvdubv vla dootung toku.
Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.
38 Jisu gv dvma dwbv lasok manama Parisis nyi angv kaatokula lamkisak patoku.
Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.
39 Vkvlvgabv Jisu ninyia mintoku, “Vbvrikunamv vjak, nonu Parisis vdwv nonugv koobu okv taali a agum a harkakdu, vbvritola arwnglo nonu dokchanam okv alvmanam v yarbingdu.
Bwana akamwambia, “Ninyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu.
40 Pvchanv! Pwknvyarnv yvv agum gvnga mvnv, arwng gvnga mvmapvnvre?
Wapumbavu ninyi! Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza ndani pia?
41 Vbvritola noogv koobu okv taali arwnglo ogugo doodudw um heemanv vdwa jitoka okv ogu mvnwngngv nonugv lvgabv darwk reku.”
Toeni kwa maskini vile vitu vilivyomo ndani, na vingine vyote vitakuwa halali kwenu.
42 “Vdwnvgo hirukaya gubv rire nonu Parisis nonu vdwa! nonu Pwknvyarnvnyi uji-uu linku loka vring lokv akonyi jinam a jidu, pudina uu okv achialv amok jungnv nvmwng uu okv kvvbi mvnwng uu hvkv nvnga, vbvritola nonu alvbv rinam a okv Pwknvyarnvnyi paknam a rimadu. So vdw sam nonu risar-sise ngvrung, dvbv vdwaka topu mabv.
“Lakini ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa Mungu. Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.
43 “Vdwnvgo hirukaya gubv rire nonu Parisis vdwa! nonu Jius kumkunaam vdwlo alvyachoknv doogingnvnv nga mvngbiu nvngv okv piokpam dorpamlo vdwlo alvyochok bv mvngdv konwng nvngv.
“Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa kwa heshima hadharani.
44 Vdwnvgo hirukaya gubv rire nonua! nonuno nyibung bungpam a mvu magvrila nyi vdwgv chimabv vngkarnam jvbv rido.”
Ole wenu, kwa sababu mko kama makaburi yaliyofichika; watu hutembea juu yake bila kufahamu.”
45 Pvbv tamsarnv nyi akonv ninyia minto, “Tamsarnv, vdwlo no svbv minam v ngaaka miyakaya tadunv!”
Mmoja wa walimu wa Sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.”
46 Jisu mirwksito, “Pvbv tamsarnv nonuaka vdwnvgo hirukaya gubv rire! nonu nyi gv nangkulo bagla madubv vge mvlwkdu, ho vge a bagdubv nonu atu v lakching vka ridur dubv chilin manv.
Yesu akamjibu, “Na ninyi walimu wa Sheria, ole wenu; maana mnawatwika watu mizigo isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia.
47 Nonua vdwnvgo hirukaya gubv rire! nonu nyijwk vdwgv lvgabv alvnv nyibung mvpvdo, ho nyijwk vdwa nonugv abuapa vdwgv gwngrw mingku namv.
Ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.
48 Vbvrikunamv nonuka ho aaming gvduku, nonugv abuapa gv rinam am tolwk duku; bunu nyijwk vdwa gwngrw mintoku, okv nonu bunugv nyibung vdwa mvto.
Kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
49 So lvgabv Pwknvyarnv gv mvnglak v minto, ‘Ngo nyijwk vdwa okv gindungpingko vdwa vngmure bunu gvlo; bunu mvkire bunu kvgonam okv kvgunam mvritre.’
Kwa hiyo, Hekima ya Mungu ilisema hivi: Nitawapelekea manabii na mitume, lakini watawaua baadhi yao, na kuwatesa wengine.
50 Vkvlvgabv selu gv nyi vdw sum mvritre ogu lvga nyiamooku a pwklin rilokv rila nyijwk mvnwngnga mvkijinam lvgalo,
Matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu ya damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu;
51 Abelnyi gwngrw gwnam lokv rila Jakarianyi gwngrw gwnam lobv bunua mwkwmwya mwwku gvla darwknv kumku pingkolo mvkitoku. Hum, ngo nonua mindunv, bunu mvnwng gv lvgalo selu gv nyi vdw sum mvritre!”
tangu kumwagwa damu ya Abeli mpaka kifo cha Zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, hakika kizazi hiki kitaadhibiwa kwa matendo haya.
52 “Vdwnvgo hirukaya gubv rire Pvbv tamsarnv nonua! nonu chinampanam gv naam a yikoknvnv chabi a vvpv riadu; nonu atu v hoka arwng aama gvri okv kvvbi vdwaka arwng aamu mado!”
“Ole wenu ninyi walimu wa Sheria, kwa sababu mmeuficha ule ufunguo wa mlango wa elimu; ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie.”
53 Vdwlo Jisu ho mooku a vngyu tokudw, Pvbv tamsarnv vdwv la Parisis vdwv ninyia achialvbv minjimio rapto okv ninyi ogumvnwngnga tvuto,
Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi
54 bunu ninyia kupdubv vla okv rimur go gakdubv vla rikw nyatoku.
ili wapate kumnasa kwa maneno yake.

< Luk 11 >