< Jon 6 >

1 So kochingbv, Jisu Galili Svpar vmalo, Tiberias Svpar vlaka minam a vngbola vngtoku.
Baada ya haya, Yesu alikwenda ngʼambo ya Bahari ya Galilaya, ambayo pia huitwa Bahari ya Tiberia.
2 Nyi nyipam twngtv nvgo ninyia vngming gvto, ogulvgavbolo bunu ninyigv lvvmanv vdwa lamrwpadubv mvpuripu nama kaatoku.
Umati mkubwa wa watu uliendelea kumfuata, kwa sababu waliona ishara nyingi za miujiza alizofanya kwa wagonjwa.
3 Jisu moodw gulo chaatoku okv ninyigv lvbwlaksu vdwa lvkobv dootung toku.
Kisha Yesu akapanda mlimani akaketi huko pamoja na wanafunzi wake.
4 Vngbokunam Pumja ridw v nvchi toku.
Pasaka ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
5 Jisu kaitkarla kaato okv nyipam v nw gvlo aadungdubv kaapato, vkvlvgabv nw Pilipnyi tvvkato, “Ngonu so nyi vdw sum dvgu dubv dvmunam lvgabv ogolo dvnam rvvpa nyuredw?”
Yesu alipotazama na kuuona ule umati mkubwa wa watu ukimjia, akamwambia Filipo, “Tutanunua wapi mikate ili watu hawa wale?”
6 Hv svbv minam si Pilipnyi tvvka rungbv minto; minjvjvbolo hv chincho suto ogugo hv rise ngvdw.
Aliuliza swali hili kumpima, kwa maana alishajua la kufanya.
7 Pilip mirwkto, “Nyichar mvnwngnga achukgo dvmu dajvka, so si lokdwng lvngnyi go dinchirungre dvgudvbv dvnam rvvdubv.”
Filipo akamjibu, “Hata fedha kiasi cha dinari mia mbili, hazitoshi kununua mikate ya kuwapa watu hawa ili kila mtu apate kidogo.”
8 Ninyigv lvbwlaksu akonv, Andriu, Saimon Pitar gv boru bv rinv, angv minto,
Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, ndugu yake Simoni Petro, akamwambia,
9 “Olo vka vmi ako vtwng tangu go okv ngui nvnyi go gvnvgo doopv. Vbvritola hv so nyi mvnwng gv lvgabv chirung mare.”
“Hapa kuna mvulana mmoja mwenye mikate mitano ya shayiri na samaki wawili wadogo. Lakini hivi vitatosha nini kwa umati huu wote?”
10 Jisu bunua minto, “Nyi vdwa dootung dubv mvtoka,” (Hoka achialvgo nvmwng ngv dooto.) Vkvlvgabv nyi mvnwngngv dootung nyatoku; hoka ho nyiga dvdv ngv hejar angu gubv ritoku.
Yesu akasema, “Waketisheni watu chini.” Palikuwa na majani mengi katika eneo lile, nao watu wakaketi. Palikuwa na wanaume wapatao 5,000.
11 Jisu vtwng nga naato, okv Pwknvyarnvnyi umbonyikv vto, okv hoka doonv nyi vdwa ortoku. Nw ngui haka vbvdvdvbv mvto, okv bunu mvnwngngv vdwgo dvla pvkudw dvgubv dubv dvtoku.
Ndipo Yesu akachukua ile mikate, akamshukuru Mungu na kuwagawia wale watu waliokuwa wameketi. Akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Kila mtu akapata kadiri alivyotaka.
12 Vdwlo bunu mvnwngngv dvji dubv dvto kudw, nw ninyigv lvbwlaksu vdwa minto, “Dvlv nga naakumto; akoka ornam orsubv ora momabvju.”
Watu wote walipokwisha kula na kushiba, akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki vya ile mikate, kisipotee chochote.”
13 Vkvlvgabv bunu vtwng tangu nyi vdwgv dvkunam lokv dvtung dvngo dvlv mvnwngnga paapi vring gola anyigo naakum toku.
Hivyo wakavikusanya, wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya ile mikate mitano ya shayiri na samaki wale wawili wadogo vilivyobakishwa na waliokula.
14 Jisu gv svbv lamrwpanam rila kaatam nama kaala hoka nyi vdwv minto, “So si jvjvbv Nyijwk gurung Sichingmooku so aakujinv akonv!”
Baada ya watu kuona muujiza ule Yesu aliofanya, walianza kusema, “Hakika huyu ndiye Nabii ajaye ulimwenguni!”
15 Bunu ninyia naatungla Dvbv bv mvlilala tvdu vla Jisu chintoku; vkvlvgabv nw atubongv moodw vdwbv vngyu toku.
Yesu akijua kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme wao, kwa nguvu, akajitenga nao akaenda milimani peke yake.
16 Vdwlo arium tokudw, Jisu gv lvbwlaksu vdwv svpar lo ilwk toku,
Ilipofika jioni, wanafunzi wake waliteremka kwenda baharini.
17 svpw gulo aalwk toku, okv svpar lo Kaparnaum kiambv vngkorla vngtoku. Arium kanv toku, okv Jisu vjaklodvbv bunu gvlo aatv madvto.
Wakaingia kwenye mashua, wakaanza kuvuka bahari kwenda Kapernaumu. Wakati huu kulikuwa tayari giza na Yesu alikuwa hajajumuika nao.
18 Vbvrikunamv kainv doori go rilwkto okv isi a kiokdubv mvtoku.
Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
19 Lwbwlaksu vdwv svpwa dula lvtw angu vmalo akv gubv dulwk toku vdwlo bunu Jisunyi isi aolo vngdung dubv, svpw nvchilo aadung dubv kaapa toku, okv bunu busu nyatoku.
Wanafunzi walipokuwa wamekwenda mwendo wa karibu maili tatu au nne, walimwona Yesu akitembea juu ya maji akikaribia mashua, nao wakaogopa sana.
20 Jisu bunua minto, “Nonuno busu mabvka, si ngo sumabv!”
Lakini Yesu akawaambia, “Ni mimi. Msiogope.”
21 Vbvrikunamv bunu mvngpula ninyia svpw arwnglo aamu toku okv svpw lo bunugv vnglwkjiku mooku lo baapubv vngchi nyatoku.
Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda.
22 Logo nvnga nyipam v svpar takdv gonvbv doonv vdwv oloka svpw ngv akin gumwng vla mvngdi nyatoku. Bunu Jisunyi ninyigv lvbwlaksu lvkobv vngma, vbvritola bunu ninyia kayupila vngyu ropvku vla chintoku.
Siku iliyofuata, wale watu waliokuwa wamebaki ngʼambo waliona kwamba palikuwepo na mashua moja tu na kwamba Yesu hakuwa ameondoka pamoja na wanafunzi wake, ila walikuwa wameondoka peke yao.
23 Kvvbi svpw vdwv, Tiberias lokv, Jisu gv vtwng nga umbonyikv vro kochingbv nyi vdwa dvmuku mooku nvchi gv isi adarlo aakum nyatoku.
Lakini zikaja mashua nyingine kutoka Tiberia zikafika karibu na mahali pale walipokula mikate baada ya Bwana kumshukuru Mungu.
24 Vdwlo nyipam v Jisu hoka dooma, ninyigv lvbwlaksu vdwvka dooma vla kaato kudw, bunu ho svpw vdw ho aanyatoku okv ninyia kaakarla Kaparnaumbv vngtoku.
Mara wale watu wakatambua kwamba Yesu hakuwepo hapo, wala wanafunzi wake. Wakaingia kwenye mashua hizo, wakaenda Kapernaumu ili kumtafuta Yesu.
25 Vdwlo nyi vdwv Jisunyi svpar gv takdv gunvlo kaapa tokudw, bunu ninyia tvvkato, “Tamsarnv, vdwlo no so aapvnv?”
Walipomkuta Yesu ngʼambo ya bahari wakamuuliza, “Rabi, umefika lini huku?”
26 Jisu mirwksito, “Ngo nonua jvjv nga minpa jidunv: nonuno ngam makardu ogulvgavbolo nonu vtwng nga dvla okv nonugv mvngnam a dvkunam lvgalo, ngoogv lamrwpanam rinam a chinam lokvma.
Yesu akawajibu, “Amin, amin nawaambia, ninyi hamnitafuti kwa kuwa mliona ishara na miujiza, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
27 Alvmanv gubv rijinv dvnam lvgabv rima bvka, vmabvya turbwngla svngya jinv dvnam lvgabv rilaka. So siinv Nyia Kuunyilo gv nonua dvnam jiji namv, ogulvgavbolo Pwknvyarnv Abu ninyia alvnvgobv tolwk laku mvu pvkunv.” (aiōnios g166)
Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios g166)
28 Vkvlvgabv bunu ninyia tvvkato, “Pwknvyarnv gv mvnglwkbv rinam lvgabv ngonu ogugo rila sego bri?”
Ndipo wakamuuliza, “Tufanye nini ili tupate kuitenda kazi ya Mungu?”
29 Jisu mirwksito, “Pwknvyarnv gv nonua ritokv vla mvngnamv si ninyigv vngmunam anga mvngjwng laka vla.”
Yesu akawajibu, “Kazi ya Mungu ndiyo hii: Mwaminini yeye aliyetumwa naye.”
30 Bunu mirwksito, “Ogu lamrwpanam go no rila kaatam dubv ngonu um kaagvrila nam mvngjwng dubv? No ogugo ridubv?
Hivyo wakamuuliza, “Utafanya ishara gani ya muujiza, ili tuione tukuamini? Utafanya jambo gani?
31 Ngonugv abuapa vdwv chukrimooku lo manna nga dvto Darwknv Kitaplo minam aingbv, ‘Hv nyido mooku tolokv vtwng nga jito dvmu dubv.’”
Baba zetu walikula mana jangwani, kama ilivyoandikwa, ‘Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.’”
32 “Ngo nonua jvjv nga minjidunv,” Jisu minto, “Moses nonua ogugo jipv kudw hv nyidomooku tolokv vtwng ma; so si ngoogv Abu nonua nyidomooku tolokv vtwng loda jenga jinv.
Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, si Mose aliyewapa mikate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.
33 Pwknvyarnv gv vtwng jinammv hv yvvdw nyidomooku tolokv inv okv nyiamookua turnam jidu.”
Kwa maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.”
34 Bunu ninyia kooto, “Tamsarnv, so gv dvnam a ngonua lokia jilabv.”
Wakamwambia, “Bwana, kuanzia sasa tupatie huo mkate siku zote.”
35 Jisu bunua mintoku, “Ngo kunv turnam gv vtwng ngv, yvvdw ngoogvlo aadunv vdwloka kano kumare; yvvdw ngam mvngjwng dunv vdwloka tvngnwng kumare.
Yesu akawaambia, “Mimi ndimi mkate wa uzima. Yeye ajaye kwangu, hataona njaa kamwe na yeye aniaminiye, hataona kiu kamwe.
36 Vjak, ngo nonua mindunv nonuno ngam kaaroku vbvritola mvngjwng mare.
Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.
37 Nyichar mvnwngnga yvvnyi ngo Abu ngam jidu kudw ngogvlo aareku. Ngo vdwloka ngogvlo aanv nga dakkurla vngyu mare,
Wale wote anipao Baba watakuja kwangu na yeyote ajaye kwangu, sitamfukuzia nje kamwe.
38 ogulvgavbolo ngo nyidomooku tolokv inam hv ngo atugv mvngwngbv ridu bvma vbvritola ngam vngmunv ninyigv mvngnambv ridubv.
Kwa kuwa nimeshuka kutoka mbinguni si ili kufanya mapenzi yangu, bali mapenzi yake yeye aliyenituma.
39 Okv so si ngam vngmunv ninyigv mvngnamv ngo ninyigv jinam mvnwng loka akonyika ngoomu marung dubv, vbvritola ngo bunua ataranya alulo bunua turrap modukubv.
Haya ndiyo mapenzi yake yeye aliyenituma, kwamba, nisimpoteze hata mmoja wa wale alionipa, bali niwafufue siku ya mwisho.
40 Ngo Abu gv mvngnam v Kuunyilo nga kaanv mvnwngngv okv ninyia mvngjwngnv vdwv turbwngnv singnam ha paadubv. Okv ngo bunua ataranya alu lo turmu dukubv.” (aiōnios g166)
Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios g166)
41 Nyi vdwv ninyia bvdung-bvdungbv japnyato, ogulvgavbolo hv minto “Ngo nyidomooku tolokv vtwng inv ngv.”
Wayahudi wakaanza kunungʼunika kwa kuwa alisema, “Mimi ndimi mkate ulioshuka kutoka mbinguni.”
42 Vkvlvgabv bunu minto, “So nyi si Jisu, Josep gv kuunyilo ngv, hv mari? Ngonu ninyigv abu nyila okv anvnyi chindu, vbvrikunamv vjak oguaingbv hv mindunvdw ngo nyidomooku tolokv ipvnv vla?”
Wakasema, “Huyu si Yesu, mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na mama yake tunawajua? Anawezaje basi sasa kusema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?”
43 Jisu mirwksito, “Nonugv pingkolo bvdung-bvdungbv mimabvka.
Hivyo Yesu akawaambia, “Acheni kunungʼunikiana ninyi kwa ninyi.
44 Yvvka ngoogvlo aanyu mare vdwlo ngam vngmunv Abu ninyia ngoogvlo naalwk jima redw; okv ngo ninyia ataranya alulo turrap moreku.
Hakuna mtu awezaye kuja kwangu kama asipovutwa na Baba aliyenituma, nami nitamfufua siku ya mwisho.
45 Nyijwk vdwv lwkgapto, ‘Mvnwngnga Pwknvyarnv tamsarto.’ Yvvdw Abunyi tvvgap dunv okv ninyi gvlo chindunv ngoogvlo aadunv.
Imeandikwa katika Manabii, ‘Wote watafundishwa na Mungu.’ Yeyote amsikilizaye Baba na kujifunza kutoka kwake, huyo huja kwangu.
46 So si vbv minam angvma nyi gunv Abunyi kaapv nvgo vla; hv yvvdw Pwknvyarnv lokv aapvnv hv mvngchik Pwknvyarnvnyi kaanv ngv.
Hakuna mtu yeyote aliyemwona Baba isipokuwa yeye atokaye kwa Mungu, yeye ndiye peke yake aliyemwona Baba.
47 Ngo nonua jvjv nga minjidunv: yvvdw mvngjwng dunv hv turbwngnv singnam a paapv kunv. (aiōnios g166)
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
48 Ngo kunv turnam gv vtwng ngv.
Mimi ni mkate wa uzima.
49 Nonugv abuapa vdwv chukrimooku lo manna nga dvto, vbvritola bunu siroku.
Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
50 Vbvritola nyidomooku tolokv inv vtwng ngv vbvridu um dvnv ngv simare.
Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.
51 Ngo turnv vtwng ngv nyidomooku tolokv ipvnv. Yvvdw so vtwng sum dvbolo, hv turbwngla singre. Ngoogv ninyia vtwng jiji namv ngoogv ayak v um ngo jidu ogulvgavbolo nyiamooku hv singdu kubv.” (aiōn g165)
Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
52 Si bunugv apumlo haachila larrap minsunam gubv rito. Bunu tvvka minsuto, “Oguaingbv so nyi si ninyigv ayakka ngonua dvmudubv vla jila nyuridw?”
Ndipo Wayahudi wakaanza kuhojiana vikali wao kwa wao wakisema, “Mtu huyu awezaje kutupatia mwili wake tuule?”
53 Jisu bunua minto, “Ngo jvjv nga nonua minjidunv: nonu vdwlo nyia Kuunyilo gv ayakka dvma redw okv ninyigv oyi ha tvngma redw nonu atubongv turnama paamare.
Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu.
54 Yvvdw ngoogv ayakka dvridw okv ngoogv oyi ha tvngridw turbwngnv singnam ha paare, okv ataranya alulo ngo ninyia turrap moriku. (aiōnios g166)
Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
55 Ogulvgavbolo ngoogv ayak v dvnam jvjv ngv; ngoogv oyi si tvngnam jvjv ngv.
Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.
56 Yvvdw ngoogv ayak ha dvdunv okv ngoogv oyi ha tvngdunv ngoogvlo doodunv, okv ngo ninyi gvlo doodunv.
Yeyote alaye mwili wangu na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami nitakaa ndani yake.
57 Turbwngnv Abu ngam vngmuto, okv ninyigv lokv ngo ka turdunv. Ho apaiabv yvvdw ngoogv ayak ha dvdunv hv ngo gvlokv turbwngla doore.
Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, na kama nami ninavyoishi kwa sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa sababu yangu.
58 Vbvrikunamv, si, nyidomooku tolokv inv vtwng ngv; so si nonugv abuapa vdwgv vtwng dvnam aingma, vbvritola koching so sitoku. Yvvdw so vtwng sung dvredw hv turbwngla svngre.” (aiōn g165)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn g165)
59 Jisu sum Kaparnaum lo Jius kumkunaamlo ninyigv tamsar sarnam jvbv minto.
Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.
60 Ninyigv rigvnam nyi achialvgo sum tvvpa toku okv minto, “So tamsarnam si achialvbv rinyu manamgo. Yvv sum tvvria nyudubv?”
Wengi wa wafuasi wake waliposikia jambo hili wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani awezaye kuyapokea?”
61 Minpanvgo kaamajeka, Jisu chinto bunu soogv lvga nga bvdung-bvdungbv larmisidu nvgo vla vkvlvgabv hv bunua minto, “So si nonua topu monwng dubv mvdu nvgo lare?
Yesu alipojua kwamba wafuasi wake wananungʼunika kuhusu mafundisho yake, akawaambia, “Je, jambo hili limewaudhi?
62 Vbvrikunamv, nonu nyia Kuunyilo nga ninyigv kvvlo doochoku mooku tolo chaakor dukubv kaanam gubv rikubolo?
Ingekuwaje basi kama mngemwona Mwana wa Adamu akipaa kwenda zake huko alipokuwa kwanza?
63 Turnam ogugo jinv si Pwknvyarnv gv Dow ngv; nyi gv jwkrw si vdwloka ogu mvnwng loka rinv nyuma. Ngoogv nonua gamchar minam vdwv turnam naalwk jinv Pwknvyarnv gv Dow ngv.
Roho ndiye atiaye uzima, mwili haufai kitu. Maneno haya niliyowaambia ni Roho tena ni uzima.
64 Vbvritola nonu megonv mvngjwngma.” (Jisu atoklokv chinchoto bunugv lokv yvvdw mvngjwng majinv okv yvvdw ninyia koa kujinv.)
Lakini baadhi yenu hamwamini.” Kwa maana Yesu alifahamu tangu mwanzo wale ambao hawangemwamini miongoni mwao na yule ambaye angemsaliti.
65 Okv hv mindvto, “So siinv anyung ngv ngo nonua mintoku vdwlo Abu ninyia vbv rinyu dubv mvvma dvdvlo yvvka ngoogvlo aanyu mare.”
Akaendelea kusema, “Hii ndiyo sababu niliwaambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.”
66 Vbv minam lvkwngbv, Jisu gv rigvnam achialvgo vngkur nyatoku okv ninyia lvkoka vngming gvkuma.
Tangu wakati huo wafuasi wake wengi wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.
67 Vkvlvgabv ninyigv lvbwlaksu vring gola anyi vdwa tvvkato, “Okv nonu—nonu ka topu duku bri?”
Hivyo Yesu akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”
68 Saimon Pitar ninyia mirwksito, “Ahtu vbvbolo ngonu yvvnyi vngming gvdu kubv? Turbwngnv singnam a jinv gamchar v no gvlo doodu. (aiōnios g166)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
69 Okv ngonu vjak mvngjwngdu okv chindu no darwk mvngchiknv Pwknvyarnv gvlokv aanv.”
Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”
70 Jisu mirwksito, “Ngo nonu vring gola anyia darpvnv, ngo darmare? Vbvritola nonugv lokv akonv uyudvbv go!”
Ndipo Yesu akajibu, “Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Lakini mmoja wenu ni ibilisi.”
71 Hv Judas gv lvkwng nga minto, Saimon Iskeriot gv kuunyilo. Judas, lvbwlaksu vring gola anyi lokv jeka, Jisunyi koa tvduku.
(Hapa alikuwa anasema juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskariote. Ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili, ndiye ambaye baadaye angemsaliti Yesu.)

< Jon 6 >