< Jon 20 >

1 Vjwngalu gv arukamchi bv, kanv ngv doodv dubv, Meri Magdalene nyibung lo vngto okv aagiagv vlwng nga naala naa rodubv kaapa toku.
Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi.
2 Nw Saimon Pitar okv Jisu gv paknam kvvbi lvbwlaksu vdwgvlo riolwk toku, okv bunua minpa jitoku, “Bunu Ahtunyi nyibung loka naaropvku vla, okv ngonu chima ogolo bunu ninyia vvpvpvkudw!”
Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, “Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka.”
3 Vbvrikunamv Pitar la okv kvvbi lvbwlaksu angv nyibung bv vngtoku.
Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
4 Bunyi anyiv rioba sito, vbvritola kvvbi lvbwlaksu angv Pitarnyi riogo yala nyibung lo riochi choyato.
Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
5 Hv gubwngto okv kaanammv vji koopa kvlap nvnv nga kaapato, vbvritola hv arwngbv aamato.
Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.
6 Ninyigv adar lo Saimon Pitar aatoku, okv nw arwngbv jokdajokrayato. Nw kvlap nvnv vji koopa nga ho doodubv kaatoku
Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,
7 okv Jisu gv dumpo nga heebum nvnv vjiv kvlap nvnv vji a lvkobv doomato, vbvritola achikaik tvvla doosuto.
na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake.
8 Vbvrikunamv kvvbi lvbwlaksu nyibunglo aachi choyanv angvka arwngbv aatoku; hv kaatokula okv mvngjwng toku.
Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini.
9 Bunu vjaklodvbv Darwknv kitaplo hv sinam lokv turrap rungreku vnama chima bwngto.
(Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
10 Vbvrikunamv lvbwlaksu vdwv naambv vngkur nyatoku.
Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.
11 Meri nyibung gv agumlo kapla daktoku. Nw vbv kapdung rilo, nw gubwngla okv nyibung arung nga kaabungto
Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,
12 okv nyido gindung anyigo vji yapung tojinv kotola Jisunyi vvpvku hoka doodubv kaatoku, akonv dumpo dooku kyambv okv akonv lvpa dooku kyambv,
akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni.
13 “Nyimv, ogubv kapdunv?” Vla bunu ninyia tvvkato. Nw mirwksito, “Bunu ngoogv Ahtunyi naaropvku, okv ngo chima bunu ninyia ogolo vvpvpvkudw!”
Hao malaika wakamwuliza, “Mama, kwa nini unalia?” Naye akawaambia, “Wamemwondoa Bwana wangu, na wala sijui walikomweka!”
14 Vbvrikunamv nw dakkurdakjur namv Jisunyi hoka dakdubv kaapa toku; vbvritola nw um Jisu kv vla chimato.
Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.
15 “Nyimv, no ogubv kapdunv?” Jisu ninyia tvvkato. “No Yvvnyila kaakar dunv?” Nw um nayam kaaya nvgo vla ninyia mvngto, vkvlvgabv nw ninyia mintoku, “No ninyia naaropvnvbolo, tamsarnv, nga minpalabv no ninyia ogolo vvpv pvnvla, ngo vngla ninyia naaku nvpvla.”
Yesu akamwuliza, “Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?” Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani, akamwambia, “Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.”
16 Jisu ninyia mintoku, “Meri!” Nw dakrwk toku ninyigv takbv okv Hebru gaam bv minto, “Rabboni!” (So minam si “Tamsarnv.”)
Yesu akamwambia, “Maria!” Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, “Raboni” (yaani “Mwalimu”).
17 Jisu ninyia minto, “Ngam mvsit mabvka, ogulvgavbolo ngo vjaklodvbv Abu gvlo chaakorla chaalin madv. Vbvritola vngnyila ngoogv boru vdwa minpa jiteka ngo ngo Abu okv bunugv Abu bv rikunv gvlo okv ngoogv Pwknvyarnv okv bunugv Pwknvyarnvbv rikunv gvlo vngkur jikunv.”
Yesu akamwambia, “Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”
18 Vkvlvgabv Meri Magdalene vngtoku okv ninyigv lvbwlaksu vdwa minpa jitoku nw Ahtunyi kaapv nvkv vla okv ninyigv bunua minam vdwa hv mintam jitoku.
Hivyo Maria Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo.
19 Vjwngalu gv arium riumdwng bv, okv lvbwlaksu vdwv bunu adarai lo agi a koktum sutola lvkobv dookum nyato, ogulvgavbolo bunu Jius nyi kainv vdwa busu nyato. Vbvrikunamv Jisu aatoku okv bunu gvlo daktoku. Nw minto, “Sarsopoyo ngv nonu gvlo lvkobv doolwk laka.”
Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, “Amani kwenu!”
20 Vbv miro kochingbv, nw ninyigv laak okv hubyam a bunua kaatam toku. Lwbwlaksu vdwv Jisunyi kaatokula achialvbv mvngpu nyatoku.
Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana.
21 Jisu bunua lvkodv mindvto, “Sarsopoyo ngv nonu gvlo lvkobv doolwk laka. Abu gv ngam vngmunam apiabv ngo nonua vngmu dunv,”
Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi.”
22 Vbvrikunamv nw bunu gvlo saklwk toku okv minto, “Darwknv Dow ha naarwk silaka.
Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu.
23 Nonu nyi vdwgv rimur a mvngnga jibolo, bunuaka mvngnga jireku; nonu bunua mvngnga mabolo, bunuaka mvngnga mare.”
Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi.”
24 Lwbwlaksu vring gola anyi lokv akin gonv, Tomas (Bvngpiam sinam vla minam) Jisu gv bunu gvlo aarilo hoka bunua lvkobv doomato.
Thoma mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja.
25 Vkvlvgabv kvvbi lvbwlaksu vdwv, “Ngonu Ahtunyi kaapv kunv!” vla ninyia mintamto. Tomas bunua minto, “Ngo vdwlo ninyigv laak lokv kili taknam ungv nga kaala ngoogv lakching ngv chilwk maredw, ngo mvngjwng mare.”
Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, “Tumemwona Bwana.” Thoma akawaambia, “Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.”
26 Alu lokkanw kochingbv lvbwlaksu vdwv lvkodv agi a koktum tvvla doobam nyato, okv Tomas bunua lvkobv doobam toku. Agi a mvtum toku, vbvritola Jisu aato okv bunua lvkobv dakto okv minto, “Sarsopoyo namv nonua lvkobv doolwk laka.”
Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, “Amani kwenu!”
27 Vbvrikunamv nw Tomasnyi minto, “Ngoogv laakka kaato kuka, okv noogv lakching ngv chilwk tvkuka; vbvrikunamv noogv lak v ilinla okv ngoogv hubyam so mamkato. No gv mvngjwng mabv rinam a kayu tokula hoka mvngjwng tokuka!”
Kisha akamwambia Thoma, “Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!”
28 Tomas ninyi mirwk toku, “Ngoogv Ahtu okv ngoogv Pwknvyarnv!”
Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
29 Jisu ninyia minto, “No ngam kaakunam lvgabv mvngjwng duku ai? Vdwgo mvngpu vku yvvdw ngam kaamabv mvngjwng dunv!”
Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”
30 Ninyigv lvbwlaksu vdwgv kaagia lo Jisu kvvbi lamrwpanam vkv achialvgo kaatamto um so kitap so lvkgap pvma.
Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara nyingine nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki.
31 Vbvritola so lvkgap pvvnam vdw so gv lvkwng ngv nonua Jisunyi Kristo, Pwknvyarnv gv Kuunyilo ngv vla mvngjwng modukubv, okv nonugv vbv ninyi mvngjwng kolokv nonu turbwng nama paadu kubv.
Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake.

< Jon 20 >