< Nyingnam 10 >
1 Kaisaria lo Kornelias vnam nyi ako dooto, Hv Rom sipai rejiment gv kiapten bv rito, um “Italian rejiment” vla minto.
Katika mji wa Kaisaria palikuwa na mtu jina lake Kornelio, ambaye alikuwa jemadari wa kile kilichojulikana kama kikosi cha Kiitalia.
2 Hv dormo nyi ako; hv okv ninyigv vpin mvnwng ngv Pwknvyarnvnyi kumnvjoonv go. Hv Jius nyi heema nvnga ka kaadur nvgo okv Pwknvyarnvnyi kumbwng nvgo.
Yeye alikuwa mcha Mungu pamoja na wote wa nyumbani mwake. Aliwapa watu sadaka nyingi na kumwomba Mungu daima.
3 Alu logo lo arium gv gunta aom rilo hv nyikrwgo kaato, hv pvbwngvrwngbv kaato Pwknvyarnv gv nyidogindung go aala okv ninyia minto, “Kornelias!”
Siku moja alasiri, yapata saa tisa, aliona maono waziwazi, malaika wa Mungu akimjia na kumwambia, “Kornelio!”
4 Hv nyidogindung nga busula kaadi chinchi to okv minto, “Tamsarnv, si oguv?” Nyidogindung ngv mirwkto, “Pwknvyarnv noogv kumnam okv jilakrumlak nama alvbv mvngdu, okv nam mirwk sudubv mvngdu.
Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema, “Kuna nini, Bwana?” Malaika akamwambia, “Sala zako na sadaka zako kwa maskini zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.
5 Okv vjak Joppa lo nyi meego vngmuto nyi daadwvrw rungnv go vkvgv aminv Saimon Pitar kv.
Sasa tuma watu waende Yafa wakamwite mtu mmoja jina lake Simoni aitwaye Petro.
6 Hv apin mvnv Saimon vnam, svmasa agum lo naam doonv gvlo nyen bv rila doodu.”
Yeye anaishi na Simoni mtengenezaji ngozi ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.”
7 Vbvrikunamv nyidogindung ngv vnglintoku, okv Kornelias ninyigv naam gv nyira anyigo okv sipai ako, nyi dormo lo doonv ako, hogv akonv vv ninyigv atubogv lokv kaaria tarianvgo to.
Yule malaika aliyekuwa akizungumza naye alipoondoka, Kornelio akawaita watumishi wake wawili pamoja na askari mmoja mcha Mungu aliyekuwa miongoni mwa wale waliomtumikia.
8 Hv ogugo ripvdw bunua mimpa toku okv bunua Joppa lo vngmu toku.
Akawaambia mambo yote yaliyotukia, kisha akawatuma waende Yafa.
9 Alu logo nvnga, bunu lamtv bv vngdungto okv Joppa gv nvchilo aari nga, donyitabv nga Pitar kumbv naam namwng aulo chaato.
Siku ya pili yake, walipokuwa wameukaribia mji, wakati wa adhuhuri, Petro alipanda juu ya nyumba kuomba.
10 Hv kano toku okv ogugo dvnwng toku; vdwlo dvnam nga mvdung la ripv nga, hv nyikrwgo kaato.
Alipokuwa akiomba akahisi njaa, akatamani kupata chakula. Lakini wakati walikuwa wakiandaa chakula, akalala usingizi mzito sana.
11 Hv nyidomooku gv agiya kokko dubv kaapato okv ogu ako vji jvbor bortvnv aingbv kaanv go atung tungpi nga kvlum tola sichingmooku bv oolu dubv kaapa toku.
Akaona mbingu zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kikishushwa duniani kwa ncha zake nne.
12 Hoka piakarnv svnwngsvmin nvgwng nvngv dooto, okv mootum pvta ngvka.
Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani.
13 Vlvgo ninyia minto, “Pitar, gudungto; mvkitvla okv dvvto!”
Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
14 Vbvrikunamv Pitar mirwksito, “Ahtu, vbv makv! Ngo oguguka darmanv okv darwk manv go dvka mapvnv.”
Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”
15 Ninyia lvkodv vlvgo mindvto, “Pwknvyarnv gv darwk pvnvkv vnama no darwkmanv gubv miyoka.”
Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”
16 So si lvom go rito, okv vbvrikunamv um nyidomooku bv naakur chaatoku.
Jambo hili lilitokea mara tatu na ghafula ile nguo ikarudishwa mbinguni.
17 Pitar nyikrw kaanama lamrw palaku si ogugubvri vla mvngla doori lo, ho Kornelias gv vngmunam nyi mvnwng ngv Saimon gv naam am chintoku, okv bunu vdwv vjak agi peelv ho daknyato.
Wakati Petro akiwa bado anajiuliza kuhusu maana ya maono haya, wale watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakaipata nyumba ya Simoni mtengenezaji wa ngozi wakawa wamesimama mbele ya lango.
18 Bunu gokto okv tvvka nyato, “So si Saimon Pitar vnam nyen ako dopvre?”
Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.
19 Pitar vjv gubv ninyigv nyikrw kaanama ogugubvri mvngla chindubv rito, Darwknv Dowv minto, “Tvvriato! soka ka nyi aom go nam makar kardu.
Wakati Petro akiwa anafikiria juu ya yale maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Simoni, wako watu watatu wanaokutafuta.
20 Vkvlvgabv gudung toku okv pvkwng bv ito, bunua lvkobv vngdubv mvngram mabvkv ngo bunua kanam la vngmu pvnv.”
Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”
21 Vkvlvgabv Pitar itoku okv nyi vdwa minto, “Nonugv makar nam nyiv ngookv. Nonu ogu mvlwk pvnv?”
Petro akashuka na kuwaambia wale watu waliokuwa wametumwa kutoka kwa Kornelio, “Mimi ndiye mnayenitafuta. Mmekuja kwa sababu gani?”
22 “Kiapten nyigam Kornelias ngonuam kanam pvnv,” bunu mirwksito. “Hv alvnv nyi ako Pwknvyarnv ninyia kumnvjonv go okv Jius nyi mvnwng ngv ninyia kaibv mvngdv nyadunv. Pwknvyarnv gv nyidogindung ako ninyia minto ninyigv naam lo nam goktokv vla, vkvlvgabv noogv minama ninyia tvvmu dubv.”
Wale watu wakamjibu, “Tumetumwa na Kornelio yule jemadari. Yeye ni mtu mwema anayemcha Mungu, na anaheshimiwa na Wayahudi wote. Yeye ameagizwa na malaika mtakatifu akukaribishe nyumbani kwake, ili asikilize maneno utakayomwambia.”
23 Pitar nyi vdwa arwngbv goklwkto okv bunua ho ayu miyayala yupmuto. Logo nvngaku hv gwngrapsingrap tokula okv bunugv lvkobv vngtoku; okv mvngjwngnv meego Joppa lokvka ninyia lvkobv vngming gvvtoku.
Basi Petro akawakaribisha wakafuatana naye ndani, akawapa pa kulala. Kesho yake akaondoka pamoja nao, na baadhi ya ndugu kutoka Yafa wakafuatana naye.
24 Alu logo nvngaku hv Kaisaria lo vngchi toku, okaku ogolo Kornelias ninyia kaaria la, ninyigv agungaram vdwa lvkobv doobam la dooto kudw okv ajin vdwa ninyigv goknam dvdv nga lvkobv doobam toku.
Siku iliyofuata wakawasili Kaisaria. Kornelio alikuwa akiwangoja pamoja na jamaa yake na marafiki zake wa karibu.
25 Pitar arwngbv aatv ringa, Kornelias ninyia kaarwk sito, okv ninyigv lvpalo gupba la okv ninyigv kaagia guplwkto.
Petro alipokuwa akiingia ndani, Kornelio alikuja kumlaki, akaanguka miguuni pake kwa heshima.
26 Vbvritola Pitar ninyia svdungto. Hv minto; “Dakrapto, Ngooka nyi ngvmabv.”
Lakini Petro akamwinua akamwambia, “Simama, mimi ni mwanadamu tu.”
27 Pitar Korneliasnyi gaam japmi sila hv naam arwng bv aatoku, ninyia hoka nyi achialvgo dopam dubv kaapato.
Petro alipokuwa akizungumza naye akaingia ndani na kukuta watu wengi wamekusanyika.
28 Hv bunua minto, “Nonu atubongv alvbv chinsu pvnvpv ho Jentail vdwa lvkobv kaarwk okv ribam mabvkv vla Jius bunugv ridungsingdung lo mindu. Vbvritola Pwknvyarnv nga kaatamdo ho yvvnyiv darwkmanv jeka okv kasingkanyak jeka ngo alvmakv vla mare.
Akawaambia, “Mnajua kabisa kwamba ni kinyume cha sheria yetu Myahudi kuchangamana na mtu wa Mataifa au kumtembelea. Lakini Mungu amenionyesha kwamba nisimwite mtu yeyote kuwa najisi au asiye safi.
29 Okv vkvlvgabv no vdwlo nyi kanamla ngo gvlo vngmuto, ngo oguguka ma vla mvngnam kamabv aapvnv. Ngo nam tvvkadu, vbvrikunamv, no ngo gvlo ogubv nyi kanam la vngmu pvnv?”
Ndiyo sababu ulipotuma niitwe nilikuja bila kupinga lolote. Basi sasa naomba unieleze kwa nini umeniita?”
30 Kornelias minto, “Soogv dw so vjak alu loum go vngro pvkua ho ngo atugv naam soka arium gv gunta aom baji lo kumdungla doosuto. Dvminmabv nyi go vji yapung tojinv gvvtola ngoogv habolo dakto
Kornelio akajibu, “Siku nne zilizopita, nilikuwa nyumbani nikisali saa kama hii, saa tisa alasiri. Ghafula mtu aliyevaa nguo zilizongʼaa akasimama mbele yangu,
31 okv minto: ‘Kornelias! Pwknvyarnv noogv kumnam am tvvpato okv noogv nyi am jinamrungnama kaapa duku.
akasema, ‘Kornelio, maombi yako yamesikiwa na sadaka zako kwa maskini zimekumbukwa mbele za Mungu.
32 Nyi go Joppa lo vngmuto ho ninyigv lvgabv aminv Saimon Pitar vnamgo. Hv Saimon apin mvnv, svmasa adarlo doonv gv naam lo nyen bv doopv.’
Basi tuma watu waende Yafa wakaulize mtu mmoja Simoni aitwaye Petro, yeye ni mgeni katika nyumba ya Simoni mtengenezaji ngozi, ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.’
33 Okv vkvlvgabv ngo vjakpigobv noogv lvgabv vngmu pvnvkv, okv no so alvrungbv aalwk jipv. Vjv ngonu mvnwng ngv Pwknvyarnv gv dooku si doodu, Ahtu ogugo ritokv vla nam mimpv kudw um minama tvvbv doyala doodunv.”
Nilituma watu kwako mara moja, nawe umefanya vyema kuja. Basi sasa sisi sote tuko hapa mbele za Mungu kuyasikiliza yote ambayo Bwana amekuamuru kutuambia.”
34 Pitar japrap toku: “Vjv ngo mvngdw kunamv so si jvjv ngv Pwknvyarnv nyi mvnwng nga akin gubv mvngla ridunv.
Ndipo Petro akafungua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo,
35 Yvvdw ninyia kumnvjoonv ngv okv alvbv ridu singdunv vv ninyia turwk sunam gubv ridunv, hv ogolokv ogunv nyi haalung gubv rijeka.
Lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye.
36 Nonu chindu hv doina Israel nyi vdwlo jilwk kunama, mvnwng gv Ahtu Jisu Kristo gv Alvnv yunying nga japji kunama.
Ninyi mnajua ule ujumbe uliotumwa kwa Israeli, ukitangaza habari njema za amani kwa Yesu Kristo. Yeye ni Bwana wa wote.
37 Nonu chinyado Israel gv kvvdw mvnwng so kaibv dunamlamnam go rikunama, Galili lo riraptoku Jon gv baptisma gv lvgabv japjiro koching bv.
Mnajua yale yaliyotukia katika Uyahudi wote kuanzia Galilaya baada ya mahubiri ya Yohana Mbatizaji:
38 Nonu Najaret gv Jisunyi chinyado okv Pwknvyarnv ninyia oguaingbv Darwknv Dowv okv jwkrw nga jiku nama. Hv mooku mvnwng lo vngyik kartoku, alvnv rikarto okv Uyuvram gv arwnglo doonv mvnwng aka mvpu karto, ogulvgavbolo Pwknvyarnv ninyia lvkobv dooming gvvto.
Jinsi Mungu alivyomtia Yesu wa Nazareti mafuta katika Roho Mtakatifu na jinsi alivyokwenda huku na huko akitenda mema na kuponya wote waliokuwa wameonewa na nguvu za ibilisi, kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.
39 Hv ogugo Israel gv kvvdw lo okv Jerusalem so ripvkudw ngonu mvnwng ngv ho mvnwng nga tvvriakaaria kunama japyariya yajikunv. Vbvrikunamv bunu ninyia daapo lo kali lokv sidukubv takki toku.
“Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika Uyahudi na Yerusalemu. Wakamuua kwa kumtundika msalabani.
40 Vbvritola Pwknvyarnv ninyia alu loum koching lo sikunvnga turkur motoku okv ninyia kaapa modubv mvtoku,
Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.
41 nyi mvnwng nga kaatam ma, vbvritola Pwknvyarnv gv darlin pvvnam kaarianv mvngchik amwng, hv sipikula turkurro koching bv ninyigv lvkobv ngonu ninyia lvkobv dvbamtvngbam kunam ngv.
Hakuonekana kwa watu wote, lakini kwetu sisi tuliochaguliwa na Mungu kuwa mashahidi, ambao tulikula na kunywa naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
42 Okv hv ngonua yunying ngam nyi vdwlo japkar dubv kanamto okv Pwknvyarnv gv darlin kunam angv turnv okv sikunv vdwgv jwngyadaya yanv gubv.
Naye alituamuru kuhubiri kwa watu wote na kushuhudia kwamba ndiye alitiwa mafuta na Mungu kuwa hakimu wa walio hai na wafu.
43 Nyijwk mvnwng ngv ninyigv lvkwng lo japto, vbv minjito yvvdw ninyia mvngjwng dunv vv ninyigv amin jwkrw lokv vkv rimur am mvngnga jiriku.”
Manabii wote walishuhudia juu yake kwamba kila mtu amwaminiye hupokea msamaha wa dhambi katika Jina lake.”
44 Vdwlo Pitar gv japdung rilo, Darwknv Dowv ilwkjito mvnwng gvlo yvv ninyigv doina tvvla doonv vdwa.
Wakati Petro alikuwa akisema maneno haya, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wakisikiliza ule ujumbe.
45 Joppa lokv Pitarnyi lvkobv aanv Jius nyi mvngjwngnv vdwv Pwknvyarnv gv Jentail vdwaka Darwknv Dowa jilwk nama kaapatola lamrw pakunam.
Wale wa tohara walioamini waliokuja na Petro walishangaa kwa kuona kuwa kipawa cha Roho Mtakatifu kimemwagwa juu ya watu wa Mataifa.
46 Ogulvgavbolo bunu bunua akusubv japdubv okv Pwknvyarnv gv kainama hartv dubv tvvnyato. Pitar japrapto:
Kwa kuwa waliwasikia wakinena kwa lugha mpya na kumwadhimisha Mungu. Ndipo Petro akasema,
47 “So nyi vdwsi Darwknv Dowa paapvku, ngonu gvka paakunam aingbv. Vbvrikunamv, nyigonv, bunua isi lo baptisma nama dubv mintor nyuji kunv?”
“Je, kuna mtu yeyote anayeweza kuzuia watu hawa wasibatizwe kwa maji? Wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi tulivyompokea.”
48 Vkvlvgabv hv bunua Jisu Kristo gv amin bv baptisma naadubv mintoku. Vbvrikunamv bunu ninyia bunugv lvkobv alu lonyiloum go doomin gvdubv kooto.
Kwa hiyo akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Wakamsihi Petro akae nao kwa siku chache.