< Job 16 >

1 Pagkatapos sumagot si Job at sinabi,
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “Narinig ko ang maraming ganoong mga bagay; kayong lahat ay nakakainis na mga tagapag-aliw.
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 May katapusan ba ang mga walang saysay na mga salita? Ano ang nangyayari sa iyo na ganito ang iyong sagot?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 Maaari din akong magsalita tulad ng ginagawa mo, kung ikaw ay nasa aking kinalalagyan; maaari kong tipunin at pagsama-samahin ang mga salita laban sa iyo at ilingin ang aking ulo sa iyo nang may pangungutya.
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 O, paano ko palalakasin ang loob mo gamit ang aking bibig! Paano ko mapapagaan ang iyong pighati gamit ang aking mga labi!
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 Kung magsasalita ako, ang aking pighati ay hindi mababawasan; kung hindi ako magsasalita, paano ako matutulungan?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 Pero ngayon, O Diyos, pinahirapan mo ako; pinabayaan mo ang buong pamilya ko.
Lakini sasa, Mungu,
8 Ginawa mo akong matuyo, na sa sarili nito ay isang saksi laban sa akin; ang pagpayat ng aking katawan ay tumatayo laban sa akin, at nagpapatotoo ito laban sa aking mukha.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Sa matinding galit ng Diyos nilupig at inusig niya ako; nagngangalit siya sa akin gamit ang kaniyang ngipin; ipinako ng kaaway ang kaniyang paningin sa akin habang sinisira niya ako.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 Napanganga sa akin ang mga tao; sinampal niya ako nang may mapanisi sa pisngi; sila ay nagsama-samang nagtipon laban sa akin.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 Ibinigay ako ng Diyos sa taong hindi maka-diyos, at inihagis ako sa kamay ng masamang tao.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Nasa kaginhawahan ako at sinira niya ako. Tunay nga, hinalbot ako sa leeg at binasag ako ng pira-piraso; inilagay niya rin ako bilang kaniyang puntirya.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 Pinalibutan ako ng kaniyang tagapana; O Diyos tinusok mo ang aking laman-loob at hindi ako kinaawaan; pinalabas niya ang aking bituka sa lupa.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 Dinurog niya ng paulit-ulit ang aking pader; tumakbo siya tulad ng isang mandirigma.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 Tinahi ko ang sako sa aking balat; sinaksak ko sa lupa ang aking sungay.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Mamula-mula ang aking mukha sa pag-iyak; nasa pilik-mata ko ang anino ng kamatayan
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 bagaman walang karahasan sa aking mga kamay, at ang aking panalangin ay dalisay.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 O lupa, huwag mong tabunan ang aking dugo; hayaan ang aking iyak ay walang lugar ng kapahingahan.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 Kahit ngayon, tingnan mo, ang aking saksi ay nasa langit; siyang mananagot sa akin ay nasa kaitaasan.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 Hinahamak ako ng aking mga kaibigan, pero umiiyak ko sa Diyos.
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 Hiniling ko sa saksi ng kalangitang iyon na makipagtalo para sa taong ito kasama ang Diyos tulad ng isang tao na ginagawa sa kaniyang kapwa!
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 Nang lumipas ang ilang taon, pupunta ako sa isang lugar na hindi na ako babalik.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.

< Job 16 >