< Exodo 36 >
1 Kaya si Bezalel at Oholiab ay magtatrabaho, gayundin ang bawat pusong may karunungan na ipinagkalooban ni Yahweh ng kakayahan at pang-unawa na malaman kung paano gumawa ng banal na lugar, na sumusunod sa mga tagubilin na ibinigay sa inyo na gagawin.”
Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
2 Tinawag ni Moises sina Bezalel, Oholiab, at ang lahat ng taong bihasa na sa kaniyang pag-iisip ay pinagkalooban ni Yahweh ng kahusayan, at ang kanilang puso na napukaw ang kalooban na lumapit at gumawa ng gawain.
Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
3 Tinanggap nila mula kay Moises ang lahat ng handog na dinala ng mga Israelita sa paggawa ng banal na lugar. Patuloy ang mga tao sa pagdadala ng mga handog na kusang-loob sa bawat umaga.
Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
4 Kaya ang lahat ng mga taong bihasa na gumagawa sa banal na lugar ay lumapit kay Moises mula sa paggawa ng kanilang mga gawain.
Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
5 Sinabi ni Moises, “Ang mga tao ay nagdadala ng labis sa paggawa ng gawain ayon sa iniutos ni Yahweh na ating gagawin.”
Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
6 Kaya ang tagubilin ni Moises na wala ni isa sa kampo ang magdala ng anumang mga handog para sa paggawa ng banal na lugar. Kaya ang mga tao ay huminto na sa pagdadala ng mga handog.
Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
7 Mayroon na silang labis-labis na mga kagamitan para sa lahat ng gawain.
Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
8 Kaya ang lahat ng manggagawa sa gitna nila ay itinayo ng tabernakulo na may sampung kurtina na gawa sa pinong lino at asul, lila, at matingkad na pulang lana na may disenyong kerubin. Ito ang ginawa ni Bezalel, ang napakahusay na manggagawa.
Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
9 Ang haba ng bawat kurtina ay dalawampu't walong kubit, ang lapad ay apat na kubit. Lahat ng mga kurtina ay magkakatulad ang sukat.
Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
10 Pinagsama ni Bezalel ang limang kurtina sa bawat isa, at ang lima pa ay pinagsama din sa bawat isa.
Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
11 Gumawa siya ng mga silong asul sa sidsid ng bawat piraso ng kurtina, at ganon din sa sidsid ng ikalawang piraso ng kurtina.
Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
12 Gumawa siya ng limampung silo sa naunang kurtina at limampung silo sa sidsid ng ikalawang kurtina. Kaya ang dalawang kurtina ay magkasalungat sa bawat isa.
Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
13 Gumawa siya ng limampung gintong kawit at pinagsama ang mga kurtina kaya ang tabernakulo ay nabuo.
Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
14 Gumawa si Bezalel ng kurtina na gawa sa buhok ng kambing para sa tolda sa ibabaw ng tabernakulo; gumawa siya ng labing isang kurtinang kagaya nito.
Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
15 Ang haba ng bawat kurtina ay tatlumpung kubit, at ang lapad ng bawat kurtina ay apat na kubit. Bawat isa sa labing-isang kurtina ay magkapareho ang sukat.
Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
16 Pinagsama niya ang limang kurtina sa bawat isa at gayundin ang iba pang anim na kurtina sa bawat isa.
Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
17 Gumawa siya ng limampung silo sa sidsid ng dulong kurtina sa naunang piraso, at limampung silo sa bandang sidsid ng dulong kurtina na pinagsama ng ikalawang piraso.
Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
18 Gumawa si Bezalel ng limampung tansong kawit para pagsamahin ang mga tolda para ito ay maging isa.
Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
19 Gumawa siya ng pantakip sa tabernakulo na gawa sa balat ng lalaking tupa na kinulayan ng pula, isa pang pantakip na mainam na balat para sa ibabaw niyon.
Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
20 Gumawa si Bezalel ng patayong tabla na gawa sa kahoy na akasya para sa tabernakulo.
Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
21 Ang haba ng bawat tabla ay sampung kubit, at ang lapad ng mga ito ay isa't kalahating kubit.
Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
22 May dalawang usli sa bawat tabla para pagsamahin ang bawat isa. Ginawa niya ang lahat ng tabla ng tabernakulo sa pamamagitan nito.
Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
23 Sa paraang ito ginawa niya ang mga tabla para sa tabernakulo. Ginawa niya ang dalawampung tabla para sa timog na bahagi.
Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
24 Gumawa si Bezalel ng apatnapung pilak na tuntungan na suotan ng dalawampung tabla. May dalawang patungan sa ilalim ng naunang tabla na maging dalawang tuntungan, at gayundin ang dalawang tuntungan sa ilalim ng bawat iba pang tabla para sa kanilang dalawang tuntungan.
Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
25 Para sa ikalawang gilid ng tabernakulo, sa silangang bahagi, gumawa siya ng dalawampung tabla.
Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
26 At ang kanilang apatnapung pilak na tuntungan. May dalawang tuntungan sa ilalim ng naunang tabla, dalawang tuntungan sa ilalim ng kasunod na tabla, at sa sumunod pa.
na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
27 Para sa bandang likuran ng tabernakulo sa gawing kanluran, gumawa si Bezalel ng anim na tabla.
Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
28 Gumawa siya ng dalawang tabla para sa likurang sulok ng tabernakulo.
Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
29 Ang mga tabla ay nahiwalay sa ilalim, pero pinagsama sa itaas sa iisang argolya. Ganito ginawa ang para sa dalawang sulok na nasa likuran. Mayroong walong tabla, kasama ng kanilang pilak na tuntungan.
Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
30 Mayroong bilang na labing anim na tuntungan lahat, dalawang tuntungan sa ilalim ng naunang tabla, dalawang tuntungan sa ilalim ng kasunod na tabla, at sa kasunod pa.
Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
31 Gumawa si Bezalel ng pahalang na haligi na gawa sa kahoy ng akasya—lima para sa mga tabla sa isang gilid ng tabernakulo,
Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
32 limang pahalang na haligi para sa mga tabla sa kabilang gilid ng tabernakulo, at limang mga pahalang na haligi para sa mga tabla ng likurang gilid ng tabernakulo patungong kanluran.
na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
33 Ginawa niya ang pahalang na haligi sa gitna ng mga tabla, iyon ay, kalahati pataas, para umabot sa dulo hanggang dulo.
Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
34 Tinakpan niya ang mga tabla ng ginto. Ginawa niya ang kanilang mga gintong argolya, para ang mga ito ay magsilbing panghawak ng mga tubo, at kaniyang binalot ng ginto ang mga rehas.
Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
35 Gumawa si Bezalel ng kurtinang asul, lila, at pulang lana, at pinong lino na may mga disenyo ng kerubim, ang gawa ng mahusay na manggagawa.
Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
36 Gumawa siya ng apat na haligi ng kahoy na akasya para sa kurtina, at tinakpan niya ang mga ito ng ginto. Gumawa rin siya ng mga gintong kawit para sa mga haligi, at kaniyang ipinagbubo ng apat na tuntungang pilak.
Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
37 Gumawa siya ng pabitin para sa pasukan ng tolda. Gawa ito sa asul, lila, at pulang lana, na ginagamitan ng pinong lino, na gawa ng isang magbuburda.
Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
38 Gumawa din siya ng limang mga haligi na may mga kawit na may pabitin. Tinakpan niya ang ibabaw at ang mga dulo nito ng ginto. Ang limang tuntungan ng mga ito ay gawa sa tanso.
Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.