< 1 Mga Cronica 8 >
1 Ang limang anak na lalaki ni Benjamin ay sina Bela na kaniyang panganay, sina Asbel, Ahara,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
3 Ang mga anak na lalaki ni Bela ay sina Adar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
5 Gera, Shefupan at Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Ito ang mga kaapu-apuhan ni Ehud na mga pinuno ng mga angkan na naninirahan sa Geba, na napilitang lumipat sa Manahat:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 sina Naaman, Ahias at Gera. Si Gera ang panghuli na nanguna sa kanilang paglipat. Siya ang ama nina Uza at Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Si Saaraim ang naging ama ng mga taong nasa lupain ng Moab, matapos niyang hiwalayan ang kaniyang mga asawang sina Husim at Baara.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Ang mga anak ni Saarim sa asawa niyang si Hodes ay sina Jobab, Sibia, Mesa, Malcam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuz, Sachia at Mirma. Ito ang kaniyang mga anak na lalaki na mga pinuno sa kanilang mga angkan.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Anak niya rin sina Ahitob at Elpaal kay Husim.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Ang mga anak na lalaki ni Elpaal ay sina Eber, Misam at Semed (siya ang nagtayo sa Ono at Lod kasama ang mga nayon sa paligid nito).
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Anak niya rin sina Berias at Sema. Sila ang mga pinuno ng mga angkan na naninirahan sa Ayalon na nagpalayas sa mga naninirahan sa Gat.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Ito ang mga anak na lalaki ni Beria: sina Ahio, Sasac, Jeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Ito ang mga anak na lalaki ni Elpaal: sina Zebadias, Mesulam, Hizki, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Ismerai, Izlia at Jobab.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Ito ang mga anak na lalaki ni Simei: sina Jaquim, Zicri, Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaya, Beraya at Simrat.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Ito ang mga anak na lalaki ni Sasac: sina Ispan, Eber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
24 Hananias, Elam, Anatotias,
Hanania, Elamu, Antotoja,
26 Ito ang mga anak na lalaki ni Jeroham: sina Samserai, Seharia, Atalia,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaaresias, Elias at Zicri.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Sila ang mga pinuno ng mga angkan at mga pinuno na nanirahan sa Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Si Jeiel na ama ni Gibeon ay nanirahan sa Gibeon. Ang pangalan ng kaniyang asawa ay Maaca.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Si Abdon ang panganay niyang anak na sinundan nina Sur, Kish, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahio at Zequer.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Ang iba pang anak ni Jeiel ay si Miclot na ama ni Simea. Nanirahan din sila malapit sa kanilang mga kamag-anak sa Jerusalem.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Si Ner ang ama ni Kish na ama ni Saul. Si Saul ang ama nina Jonatan, Melquisua, Abinadab at Esbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Ang anak ni Jonatan ay si Merib-baal na ama ni Mica.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Ang mga anak ni Mica ay sina Piton, Melec, Tarea at Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Si Ahaz ang ama ni Joada. Si Joada ang ama nina Alemet, Azmavet at Zimri, na ama naman ni Moza. Si Zimri ang ama ni Moza.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Si Moza ang ama ni Binea na ama ni Rafa na ama ni Elasa na ama ni Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 May anim na anak si Azel: sina Azrikam, Bocru, Ismael, Searias, Obadias at Hanan. Silang lahat ay mga anak na lalaki ni Azel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Ang mga anak ni Esec na kaniyang kapatid ay si Ulam na panganay, si Jeus ang pangalawa at si Elifelet ang pangatlo.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Ang mga anak ni Ulam ay magigiting na mandirigma at mahuhusay gumamit ng pana. Nagkaroon sila ng maraming anak at mga apo na binubuo ng 150. Kabilang silang lahat sa kaapu-apuhan ni Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.