< Romarbrevet 16 >

1 Jag anbefaller åt eder vår syster Febe, som är församlingstjänarinna i Kenkrea.
Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2 Så mottagen då henne i Herren, såsom det höves de heliga, och bistån henne i allt vari hon kan behöva eder; ty hon har själv varit ett stöd för många och jämväl för mig.
Mpokeeni kwa ajili ya Bwana kama iwapasavyo watu wa Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu pia.
3 Hälsen Priska och Akvila, mina medarbetare i Kristus Jesus.
Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.
4 De hava ju vågat sitt liv för mig; och icke allenast jag tackar dem därför, utan också alla hednaförsamlingar.
Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa yote ya watu wa mataifa mengine.
5 Hälsen ock den församling som kommer tillhopa i deras hus. Hälsen Epenetus, min älskade broder, som är förstlingen av dem som i provinsen Asien hava kommit till Kristus.
Salamu zangu pia kwa kanisa linalokutana nyumbani kwao. Salamu zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini Kristo.
6 Hälsen Maria, som har arbetat så mycket för eder.
Nisalimieni Maria ambaye amefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7 Hälsen Andronikus och Junias, mina landsmän och medfångar, som hava ett så gott anseende bland apostlarna, och som längre än jag hava varit i Kristus.
Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.
8 Hälsen Ampliatus, min älskade broder i Herren.
Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana.
9 Hälsen Urbanus, vår medarbetare i Kristus, och Stakys, min älskade broder.
Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku.
10 Hälsen Apelles, den i Kristus beprövade. Hälsen dem som höra till Aristobulus' hus.
Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa Kristo umethibitishwa. Salamu zangu kwa wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
11 Hälsen Herodion, min landsman. Hälsen dem av Narcissus' hus, som äro i Herren.
Salamu zangu kwa Herodiana, mwananchi mwenzangu; na kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana.
12 Hälsen Tryfena och Tryfosa, som arbeta i Herren. Hälsen Persis, den älskade systern, som har så mycket arbetat i Herren.
Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa ajili ya Bwana.
13 Hälsen Rufus, den i Herren utvalde, och hans moder, som också för mig har varit en moder.
Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
14 Hälsen Asynkritus, Flegon, Hermes, Patrobas, Hermas och de bröder som äro tillsammans med dem.
Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
15 Hälsen Filologus och Julia, Nereus och hans syster och Olympas och alla de heliga som äro tillsammans med dem.
Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa Mungu walio pamoja nao.
16 Hälsen varandra med en helig kyss. Alla Kristi församlingar hälsa eder.
Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa ishara ya upendo. Salamu kwenu kutoka kwa makanisa yote ya Kristo.
17 Men jag förmanar eder, mina bröder, att hava akt på dem som vålla tvedräkt och kunna bliva eder till fall, i strid med den lära som I haven inhämtat; dragen eder ifrån dem.
Ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao,
18 Ty sådana tjäna icke vår Herre Kristus, utan sin egen buk; och genom sina milda ord och sitt fagra tal bedraga de oskyldiga människors hjärtan.
maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
19 Eder lydnad är ju känd av alla. Över eder gläder jag mig därför; men jag skulle önska att I voren visa i fråga om det goda, och menlösa i fråga om det onda.
Kila mtu amesikia juu ya utii wenu na hivyo mmekuwa sababu ya furaha yangu. Nawatakeni muwe na hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya.
20 Och fridens Gud skall snart låta Satan bliva krossad under edra fötter. Vår Herres, Jesu Kristi, nåd vare med eder.
Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
21 Timoteus, min medarbetare, hälsar eder: så göra ock Lucius och Jason och Sosipater, mina landsmän.
Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.
22 Jag, Tertius, som har nedskrivit detta brev, hälsar eder i Herren.
Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana.
23 Gajus, min och hela församlingens värd, hälsar eder. Erastus, stadens kamrerare, och brodern Kvartus hälsar eder.
Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.
25 Men honom som förmår styrka eder, enligt det evangelium jag förkunnar och min predikan om Jesus Kristus, ja, enligt den nu avslöjade hemlighet som förut under evärdliga tider har varit outtalad, (aiōnios g166)
Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita. (aiōnios g166)
26 men som nu har blivit uppenbarad och, enligt den eviga Gudens befallning, blivit, med stöd av profetiska skrifter, kungjord bland alla hedningar, för att bland dem upprätta trons lydnad -- (aiōnios g166)
Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii. (aiōnios g166)
27 honom, den ende vise Guden, tillhör äran, genom Jesus Kristus, i evigheternas evigheter. Amen. (aiōn g165)
Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina. (aiōn g165)

< Romarbrevet 16 >