< Psaltaren 120 >

1 En vallfartssång. Jag ropar till HERREN i min nöd, och han svarar mig.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 HERRE, rädda min själ från lögnaktiga läppar, från en falsk tunga.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 Varmed bliver du lönad, både nu och allt framgent, du falska tunga?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Jo, med en våldsverkares skarpa pilar och med glödande ginstkol.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Ve mig, att jag måste dväljas i Meseks land och bo ibland Kedars hyddor!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Länge nog har min själ måst bo ibland dem som hata friden.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Jag själv håller frid, men säger jag blott ett ord, äro de redo till strid.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Psaltaren 120 >