< Josua 21 >

1 Och huvudmännen för leviternas familjer trädde fram inför prästen Eleasar och Josua, Nuns son, och huvudmännen för familjerna inom Israels barns stammar
Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
2 och talade till dem i Silo i Kanaans land, och sade: "HERREN bjöd genom Mose att man skulle giva oss städer att bo i, med tillhörande utmarker för vår boskap."
Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 Så gåvo då Israels barn, efter HERRES befallning, av sina arvslotter åt leviterna följande städer med tillhörande utmarker.
Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
4 För kehatiternas släkter föll lotten ut så, att bland dessa leviter prästen Arons söner genom lotten fingo ur Juda stam, ur simeoniternas stam och ur Benjamins stam tretton städer.
Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
5 Och Kehats övriga barn fingo genom lotten ur Efraims stams släkter, ur Dans stam och ur ena hälften av Manasse stam tio städer.
Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
6 Gersons barn åter fingo genom lotten ur Isaskars stams släkter, ur Asers stam, ur Naftali stam och ur andra hälften av Manasse stam, i Basan, tretton städer.
Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
7 Meraris barn fingo, efter sina släkter, ur Rubens stam, ur Gads stam och ur Sebulons stam tolv städer.
Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
8 Israels barn gåvo nu åt leviterna dessa städer med tillhörande utmarker, genom lottkastning, såsom HERREN hade bjudit genom Mose.
Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
9 Ur Juda barns stam och ur Simeons barns stam gav man följande här namngivna städer:
Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
10 Bland kehatiternas släkter bland Levi barn fingo Arons söner följande, ty dem träffade lotten först:
Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
11 Man gav dem Arbas, Anoks faders, stad, det är Hebron, i Juda bergsbygd, med dess utmarker runt omkring.
Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
12 Men åkerjorden och byarna som hörde till staden gav man till besittning åt Kaleb, Jefunnes son.
Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
13 Åt prästen Arons söner gav man alltså dråparfristaden Hebron med dess utmarker, vidare Libna med dess utmarker,
Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
14 Jattir med dess utmarker, Estemoa med dess utmarker,
Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
15 Holon med dess utmarker, Debir med dess utmarker,
Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
16 Ain med dess utmarker, Jutta med dess utmarker och Bet-Semes med dess utmarker -- nio städer ur dessa två stammar;
Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
17 och ur Benjamins stam Gibeon med dess utmarker, Geba med dess utmarker,
Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
18 Anatot med dess utmarker och Almon med dess utmarker -- fyra städer.
na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
19 De städer som Arons söner, prästerna, fingo utgjorde alltså tillsammans tretton städer, med tillhörande utmarker.
Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
20 Och Kehats barns släkter av leviterna, nämligen de övriga Kehats barn, fingo ur Efraims stam följande städer, som lotten bestämde åt dem:
Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
21 Man gav dem dråparfristaden Sikem med dess utmarker i Efraims bergsbygd, Geser med dess utmarker,
Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
22 Kibsaim med dess utmarker och Bet-Horon med dess utmarker -- fyra städer;
na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
23 och ur Dans stam Elteke med dess utmarker, Gibbeton med dess utmarker,
Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
24 Ajalon med dess utmarker och Gat-Rimmon med dess utmarker -- fyra städer;
Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 och ur ena hälften av Manasse stam Taanak med dess utmarker och Gat-Rimmon med dess utmarker -- två städer.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
26 De städer som de övriga Kehats barns släkter fingo utgjorde alltså tillsammans tio, med tillhörande utmarker.
Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
27 Bland leviternas släkter fingo vidare Gersons barn ur ena hälften av Manasse stam dråparfristaden Golan i Basan med dess utmarker och Beestera med dess utmarker -- två städer;
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
28 och ur Isaskars stam Kisjon med dess utmarker, Dobrat med dess utmarker,
Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
29 Jarmut med dess utmarker och En-Gannim med dess utmarker -- fyra städer;
Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 och ur Asers stam Miseal med dess utmarker, Abdon med dess utmarker,
Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
31 Helkat med dess utmarker och Rehob med dess utmarker -- fyra städer;
Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 och ur Naftali stam dråparfristaden Kedes i Galileen med dess utmarker, Hammot-Dor med dess utmarker och Kartan med dess utmarker -- tre städer.
Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
33 Gersoniternas städer, efter deras släkter, utgjorde alltså tillsammans tretton städer, med tillhörande utmarker.
Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
34 Och de övriga leviterna, Meraris barns släkter, fingo ur Sebulons stam Jokneam med dess utmarker, Karta med dess utmarker,
Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
35 Dimna med dess utmarker och Nahalal med dess utmarker -- fyra städer.
Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
38 och ur Gads stam dråparfristaden Ramot i Gilead med dess utmarker, Mahanaim med dess utmarker,
Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
39 Hesbon med dess utmarker och Jaeser med dess utmarker -- tillsammans fyra städer.
Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 De städer som dessa de övriga leviternas släkter, Meraris barn, fingo på sin lott, efter sina släkter, utgjorde alltså tillsammans tolv städer.
Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
41 Tillsammans utgjorde levitstäderna inom Israels barns besittningsområde fyrtioåtta städer med tillhörande utmarker.
Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
42 Var och en av dessa städer skulle bestå av själva staden och tillhörande utmarker runt omkring. Så var det med alla dessa städer.
Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
43 Så gav då HERREN åt Israel hela det land som han med ed hade lovat giva åt deras fäder; och de togo det i besittning och bosatte sig där.
Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
44 Och HERREN lät dem hava ro på alla sidor, alldeles såsom han med ed hade lovat deras fäder; och ingen av deras fiender kunde stå dem emot, utan HERREN gav alla deras fiender i deras hand.
Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
45 Intet uteblev av allt det goda som HERREN hade lovat Israels hus; det gick allt i fullbordan.
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.

< Josua 21 >