< 2 Kungaboken 15 >
1 I Jerobeams, Israels konungs, tjugusjunde regeringsår blev Asarja, Amasjas son, konung i Juda.
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
2 Han var sexton år gammal, när han blev konung, och han regerade femtiotvå år i Jerusalem. Hans moder hette Jekolja, från Jerusalem.
Azaria alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka hamsini na mbili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yekolia, na alikuwa anatokea Yerusalemu.
3 Han gjorde vad rätt var i HERRENS ögon, alldeles såsom hans fader Amasja hade gjort.
Alifanya yaliyo mema machoni pa Yahwe, kama baba yake Amazia alivyofanya.
4 Dock blevo offerhöjderna icke avskaffade, utan folket fortfor att frambära offer och tända offereld på höjderna.
Lakini, mahali pa juu hapakuwa pameondolewa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani katika mahala pa juu.
5 Men HERREN hemsökte konungen, så att han blev spetälsk för hela sitt liv; och han bodde sedan i ett särskilt hus. Jotam, konungens son, förestod då hans hus och dömde folket i landet.
Yhawe akampiga mfalme hivyo basi akawa na ukoma mpaka siku ya kifo chake na alikaa kwenye nyumba ya pekee. Yothamu, mtoto wa mfalme, alikuwa juu ya watu na kuwaongoza watu wa nchi.
6 Vad nu mer är att säga om Asarja och om allt vad han gjorde, det finnes upptecknat i Juda konungars krönika.
Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Azaria, yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
7 Och Asarja gick till vila hos sina fäder, och man begrov honom hos hans fäder i Davids stad. Och hans son Jotam blev konung efter honom.
Hivyo Azaria alilala pamoja na babu zake katika mji wa Daudi. Yothamu, mtoto wake, akawa mfalme katika mahala pake.
8 I Asarjas, Juda konungs, trettioåttonde regeringsår blev Sakarja, Jerobeams son, konung över Israel i Samaria och regerade i sex månader.
Katika mwaka wa thelathini na nane mwaka wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akatawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita.
9 Han gjorde vad ont var i HERRENS ögon, såsom hans fäder hade gjort; han avstod icke från de Jerobeams, Nebats sons, synder genom vilka denne hade kommit Israel att synda.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama baba zake waliyoyafanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alisababisha Israeli kuasi
10 Och Sallum, Jabes' son, anstiftade en sammansvärjning mot honom och slog honom till döds i folkets åsyn, och blev så konung i hans ställe
Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya njama dhidi ya Zekaria, akamshambulia katika Ibleamu, na kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahala pake.
11 Vad nu mer är att säga om Sakarja, det finnes upptecknat i Israels konungars krönika.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Zekaria, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
12 Så, uppfylldes det ord som HERREN, hade talat till Jehu, när han sade: "Dina söner till fjärde led skola sitta på Israels tron." Det skedde så.
Hili ndilo lililokuwa neno la Yahwe ambalo aliongea na Yehu, kusema, “Kizazi chako kitakaa katika kiti cha Israeli mpaka kizazi cha nne.” Hiyo ikatokea.
13 Sallum, Jabes' son, blev konung i Ussias, Juda konungs, trettionionde regeringsår, och han regerade en månads tid i Samaria.
Shalumu mwana wa Yabeshi akaanza kutawala katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda, na kutawala kwa mwezi mmoja tu katika Samaria.
14 Men då drog Menahem, Gadis son, upp från Tirsa och kom till Samaria och slog Sallum, Jabes' son, till döds i Samaria, och blev så konung i hans ställe
Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza kwenda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi hapo, katika Samria. Akamuua na kuwa mfalme katika mahali pake.
15 Vad nu mer är att säga om Sallum och om den sammansvärjning han anstiftade, det finnes upptecknat i Israels konungars krönika.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Shalumu na njama aliyoifanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafle wa Israeli.
16 Vid den tiden förhärjade Menahem Tifsa med allt vad därinne var, så ock hela dess område, från Tirsa; ty staden hade icke öppnat portarna, därför härjade han den, och alla dess havande kvinnor lät han upprista.
Ndipo Menahemu akamshambulia Tifsa na wote waliokuwa pale, na mipaka yote kuzunguka Tizra, kwasababu hawakufungua kwenye mji. Hivyo akaushambulia, na akawapasua wanawake wajawazito wote katika hicho kijiji.
17 I Asarjas, Juda konungs, trettionionde regeringsår blev Menahem, Gadis son, konung över Israel och regerade i tio år, i Samaria.
Katika mwaka wa thelathini na tisa wa Ahazia mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akaanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi katika Samaria.
18 Han gjorde vad ont var i HERRENS ögon; han avstod icke, så länge han levde, från de Jerobeams Nebats sons, synder genom vilka denne hade kommit Israel att synda.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Katika maisha yake yote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alifanya Israeli kufanya dhambi.
19 Och Pul, konungen i Assyrien, föll in i landet; då gav Menahem åt Pul tusen talenter silver, för att han skulle understödja honom och befästa konungadömet i hans hand.
Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaja kinyume cha nchi, na Menahemu akampatia Pulu talanta elfu moja za fedha, hivyo msaada wa Pulu ungeweza kuwa na yeye kuimarisha utawala wa Israeli katika nchi yake.
20 Och de penningar som Menahem skulle giva åt konungen i Assyrien tog han ut genom att lägga skatt på alla rika män i Israel, en skatt av femtio siklar silver på var och en. Så vände då konungen i Assyrien tillbaka och stannade icke där i landet.
Menahemu akatoza hii pesa kutoka Israeli kwa kumtaka kila mtu tajiri alipe shekeli hamsini za fedha kwake kumpatia mfalme wa Ashura. Hivyo mfalme wa Ashuru akarudi na hakukaa pale katika ile nchi.
21 Vad nu mer är att säga om Menahem och om allt vad han gjorde, det finnes upptecknat i Israels konungars krönika.
Kama kwa mabo mengine yanayomuhusu Menahemu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli?
22 Och Menahem gick till vila hos sina fäder. Och hans son Pekaja blev konung efter honom.
Hivyo Menahemu akalala pamoja na babu zake, na Pekahia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
23 I Asarjas, Juda konungs, femtionde regeringsår blev Pekaja, Menahems son, konung över Israel i Samaria och regerade i två år.
Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka miwili.
24 Han gjorde vad ont var i HERRENS ögon; han avstod icke från de Jerobeams, Nebats sons, synder genom vilka denne hade kommit Israel att synda.
Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kufanya dhambi.
25 Och Peka, Remaljas son, hans livkämpe, anstiftade en sammansvärjning mot honom och dräpte honom i Samaria, i konungshusets palatsbyggnad, han tillika med Argob och Arje; därvid hade han med sig femtio gileaditer. Så dödade han honom och blev konung i hans ställe.
Pekahia alikuwa na afisa aliyekuwa anaitwa Peka mwana wa Remalia, ambaye alifanya njama dhidi yake. Pamoja na watu hamsini wa Gileadi, Peka akamuua Pekahia pamoja na Argobu na Arie katika Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme. Peka akamuua alipomua Pekahia akawa mfalme katika mahala pake.
26 Vad nu mer är att säga om Pekaja och om allt vad han gjorde, det finnes upptecknat i Israels konungars krönika.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Pekahia, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
27 I Asarjas, Juda konungs, femtioandra regeringsår blev Peka, Remaljas son, konung över Israel i Samaria och regerade i tjugu år.
Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Azia mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka Ishirini.
28 Han gjorde vad ont var i HERRENS Ögon; han avstod icke från de Jerobeams; Nebats sons, synder genom vilka denne hade kommit Israel att synda.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi.
29 I Pekas, Israels konungs, tid kom Tiglat-Pileser, konungen i Assyrien, och intog Ijon, Abel-Bet-Maaka, Janoa, Kedes, Hasor, Gilead och Galileen, hela Naftali land, och förde folket bort till Assyrien.
Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru akaja na kuichukua Iyoni, Abel Beth Maaka, Yanoa, Kadeshi, Hazori, Gileadi, na nchi yote ya Naftali. Akawachukua hao watu hadi Ashuru.
30 Och Hosea, Elas son, anstiftade en sammansvärjning mot Peka, Remaljas son, och slog honom till döds och blev så konung i hans ställe, i Jotams, Ussias sons, tjugonde regeringsår.
Hivyo Hoshea mwana wa Ela akafanya njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akaishambulia na kisha kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.
31 Vad nu mer är att säga om Peka och om allt vad han gjorde, det finnes upptecknat i Israels konungars krönika.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Peka, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
32 I Pekas, Remaljas sons, Israels konungs, andra regeringsår blev Jotam, Ussias son, konung i Juda.
Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
33 Han var tjugufem år gammal, när han blev konung, och han regerade sexton år i Jerusalem. Hans moder hette Jerusa, Sadoks dotter.
Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Yerusha; alikuwa binti ya Sadoki.
34 Han gjorde vad rätt var i HERRENS ögon; han gjorde alldeles såsom hans fader Ussia hade gjort.
Yotahmu alifanya yaliyo sahihi usoni pa Yahwe. Alifuata mfano wa yote baba yake Azaria aliyofanya.
35 Dock blevo offerhöjderna icke avskaffade, utan folket fortfor att frambära offer och tända offereld på höjderna. Han byggde Övre porten till HERRENS hus.
Ila, mahali pa juu hapakuchukuliwa. Watu walikuwa wakitio sadaka na kufukiza ubani katika mahali pa juu. Yothamu akajenga lango la juu la nyumba ya Yahwe.
36 Vad nu mer är att säga om Jotam, om vad han gjorde, det finnes upptecknat i Juda konungars krönika.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yothamu, na yote aliyoyafanya, je yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
37 Vid den tiden begynte HERREN att låta Juda hemsökas av Resin, konungen i Aram, och av Peka, Remaljas son.
Katika zamani hizo Yahwe akaanza kumtuma dhidi ya Yuda Rezini mfalme wa Sahmu, na Peka mwana wa Remalia.
38 Och Jotam gick till vila hos sina fäder och blev begraven hos sina fäder i sin fader Davids stad. Och hans son Ahas blev konung efter honom.
Yothamu akalala pamoja na babu zake na akazikwa pamoja na babu zake katika mji wa Daudi, babu yake. Kisha Ahazi, mtoto wake, akwa mfalme katika mhali pake.