< 2 Krönikeboken 32 >

1 Sedan han hade utfört detta och bevisat sådan trohet, kom Sanherib, konungen i Assyrien, och drog in i Juda och belägrade dess befästa städer och tänkte erövra dem åt sig.
Baada ya mambo haya na matendo haya ya uaminifu, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja na kuingia Yuda. Alipiga kambi kwa ajili ya kuivamia miji yenye ngome, ambayo alikusudia kuiteka kwa ajili yake.
2 Då nu Hiskia såg att Sanherib kom, i avsikt att belägra Jerusalem,
Sedekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja na kwamba amedhamiria kupigana zidi ya Yerusalemu,
3 rådförde han sig med sina förnämsta män och sina hjältar om att täppa för vattnet i de källor som lågo utom staden; och de hjälpte honom härmed.
aliwashirikisha viongozi wake na watu wake wenye nguvu kuyazuia maji ya chemichemi yaliyokuwa nje ya mji; waalimsaidia kufanya hivyo.
4 Mycket folk församlades och täppte till alla källorna och dämde för bäcken som flöt mitt igenom trakten, ty de sade: "När de assyriska konungarna komma, böra de icke finna vatten i sådan myckenhet."
Kwa hiyo watu wengi wakakusanyika na kuyazuia maji ya chemichemi zote na mikondo yote amabayo ilikuwa inatiririka katikati ya nchi. wakasema, “Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?”
5 Och han tog mod till sig och byggde upp muren överallt där den var nedbruten, och byggde tornen högre, och förde upp en annan mur därutanför, och befäste Millo i Davids stad, och lät göra skjutvapen i myckenhet, så ock sköldar.
Hezekia akijipa ujasiri na kuujeenga ukuta wote uliokuwa umeangushwa chini. Akaijenga minara mirefu, na pia ukuta mwingine nje. Pia akaiimarisha Milo katika mji wa Dudi, na akafanya kiasi kikubwa cha silaha na ngao. (Maanshi ya kale yanasema hivi: “Badala ya, “akajenga minara amirefu”, baadhi ya matoleo ya zamani na kisasa yanasema, “akajenga minara mirefu juu yake”, Hii ni juu ya ukuta).
6 Och han tillsatte krigshövitsmän över folket och församlade dem till sig på den öppna platsen vid stadsporten, och talade uppmuntrande till dem och sade:
Akaweka maamri jeshi juu wa watu. Akawakusanya pamoja kwake katika sehemu pana kwenye lango la mji na akasema kwao kwa ujasiri. Akasema,
7 "Varen frimodiga och oförfärade, frukten icke och varen icke förskräckta för konungen i Assyrien och för hela den hop han har med sig; ty med oss är en som är större än den som är med honom.
“Muwe imara na wenye ujasiri mzuri. Msiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na jeshi lote ambalo liko naye, kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko
8 Med honom är en arm av kött, men med oss är HERREN, vår Gud, och han skall hjälpa oss och föra våra krig. Och folket tryggade sig vid Hiskias, Juda konungs, ord.
walio naye mfalme wa Ashuru. walionaye ni jeshi la mwili tu, lakini aliye nasi ni Yahwe, Mungu wetu, kwa ajili ya kutusaidia, na kupiagana vita vyetu.” Kisha watu wakajifariji wenyewe kwa maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.
9 Därefter sände Sanherib, konungen i Assyrien -- som nu med hela sin härsmakt låg framför Lakis -- sina tjänare till Jerusalem, till Hiskia, Juda konung, och till alla dem av Juda, som voro i Jerusalem, och lät säga:
Baada ya hayo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, aliwatuma watumishi wake kwenda Yetusalemu (sasa alikuwa mbe ya Lakishi, na jeshi lake lote lilikuwa pamoja naye), kwa Hezekia, mfaalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda walikuwa Yerusalemu. Akasema,
10 "Så säger Sanherib, konungen i Assyrien: Varpå förtrösten I, eftersom I stannen kvar i det belägrade Jerusalem?
“Hivi ndivyo Senakeribu, mfalme wa Ashuru, anasema: Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu?
11 Se, Hiskia uppeggar eder, så att I kommen att dö genom hunger och törst; han säger: 'HERREN, vår Gud, skall rädda oss ur den assyriske konungens hand.'
Je, Hezekia hawapotoshi ninyi, ili kwamba awatoe kufa kwa njaa na kiu, anapowaambia, “Yahwe Mungu wetu atatuokoa na mkono wa mfalme wa Ashuru?
12 Har icke denne samme Hiskia avskaffat hans offerhöjder och altaren och sagt till Juda och Jerusalem: 'Inför ett enda altare skolen I tillbedja, och på detta skolen I tända offereld'?
Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
13 Veten I icke vad jag och mina fäder hava gjort med andra länders alla folk? Hava väl de gudar som dyrkas av folken i dessa andra länder någonsin förmått rädda sina länder ur min hand?
Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya wote wa inchi zingine? Je, miungu ya watu wa hizo nchi iliweza kwa njia yoyote kuziokoa nchi zao zidi ya nguvu zangu?
14 Ja, vilket bland alla dessa folk som mina fäder hava givit till spillo har väl haft någon gud som har förmått rädda sitt folk ur min hand eftersom I menen att eder Gud förmår rädda eder ur min hand!"
Miongoni mwa miungu yote ya mataifa hayo amabayo babu zangu waliwatekeza, je, kulikuwa na muungu yeyote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? Itakuwaje Mungu wenu aweze kuwakoa ninyi zidi ya nguvu zangu?
15 Nej, låten nu icke Hiskia så bedraga och uppegga eder, och tron honom icke; ty ingen gud hos något folk eller i något rike har förmått rädda sitt folk ur min hand eller ur mina fäders hand. Huru mycket mindre skall då eder Gud kunna rädda eder ur min hand!"
Sasa msimuruhusu Hezekia awadanganye au kuwashawishi katika njia hii. Msimwamini, kwa maana hakuna muungu wa taifa lolote au ufalme amewahi kuwaokoa watu wake nje ya mkono wangu, au nje ya mkono wa babu zangu. Sembuse na Mungu wenu kwa namna gani atawaokoa na mkono wangu?
16 Och hans tjänare talade ännu mer mot HERREN Gud och mot hans tjänare Hiskia.
Watumishi wa Senakeribu hata walinena mabaya zaidi juu ya Yahwe Mungu na juu ya mtumishi wake Hezekia.
17 Han hade ock skrivit ett brev vari han smädade HERREN, Israels Gud, och talade mot honom så: "Lika litet som de gudar som dyrkas av folken i de andra länderna hava kunnat rädda sina folk ur min hand, lika litet skall Hiskias Gud kunna rädda sitt folk ur min hand."
Senakeribu pia akandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
18 Och till Jerusalems folk, dem som stodo på muren, ropade de med hög röst på judiska för att göra dem modlösa och förskräckta, så att man sedan skulle kunna intaga staden.
Wakawalilia kwa lugha ya Wayahudi watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta, ili kuwaogopesha na kuwasumbua, ili kwamba waweze kuuteka mji.
19 Och de talade om Jerusalems Gud på samma sätt som om de främmande folkens gudar, vilka äro verk av människohänder.
Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia, ambao ni kazi ya mikono ya wanadamu tu.
20 Men vid allt detta bådo konung Hiskia och profeten Jesaja, Amos' son, och ropade till himmelen.
Hezekia, mfalme, na Isaya mwana wa Amozi, nabii, wakaomba kwa sababu ya jambo hili na wakalia hadi mbinguni.
21 Då sände HERREN en ängel, som förgjorde alla de tappra stridsmännen och furstarna och hövitsmännen i den assyriske konungens läger, så att han med skam måste draga tillbaka till sitt land. Och när han en gång gick in i sin guds hus, blev han där nedhuggen med svärd av sina egna söner.
Yahwe akatuma malaika, ambaye aliwaua wanaume wa kupigana vita, majemedari, na maakida wa mfalme katika kambi. Kwa hiyo Senakeribu akarudi katika nchi yake akiwa na uso wa aibu. Alipokuwa ameenda katika nyumba ya muungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua huko kwa upanga.
22 Så frälste HERREN Hiskia och Jerusalems invånare ur Sanheribs, den assyriske konungens, hand och ur alla andras hand; och han beskyddade dem på alla sidor.
Katika namna hii, Yahwe akamwokoa Hezekia na wakazi wa Yerusalemu kutoka kwenye mkono wa Senakeribu, mfalme wa Ashuru, na kutoka kwenye mikono ya wengine, na akawapa pumzika juu ya kila upande. (Maandishi ya kale yanasema hivi: badala ya “akawapa pumziko juu ya kila pande”, baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasema, “akawaongoza juu ya kila pande”).
23 Och många förde skänker till HERREN i Jerusalem och dyrbara gåvor till Hiskia, Juda konung; och han blev härefter högt aktad av alla folk.
Wengi walikuwa wakileta sadaka kwa Yahwe katika Yarusalemu, na zawadi za thamani kwa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa hiyo aliinuliwa mbele za macho ya mataifa yote toka wakati huo na kuendelea.
24 Vid den tiden blev Hiskia dödssjuk. Då bad han till HERREN, och han svarade honom och gav honom ett undertecken.
Katika siku hizo Hezekia akaugua hadi hatua ya kufa. Akaomba kwa Yahwe, ambaye alisema kwake na kumpa ishara kwamba angeponywa.
25 Dock återgäldade Hiskia icke det goda som hade blivit honom bevisat, utan hans hjärta blev högmodigt; därför kom förtörnelse över honom och över Juda och Jerusalem.
Lakini Hezekia hakumlipa Yahwe kwa ajili ya msaada uliotolewa kwake, kwa maana moyo wake uliinuliwa juu.
26 Men då Hiskia ödmjukade sig, mitt i sitt hjärtas högmod, och Jerusalems invånare med honom, drabbade HERRENS förtörnelse dem icke, så länge Hiskia levde.
Kwa hiyo hasira ikaja juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu. Hata hivyo, baadaye Hezekia alijinyenyekesha mwenyewe kwa jali ya kiburi cha moyo wake, wote Yeye na wakaaji wa Yerusalemu, hivyo hasira ya Yahwe haikuja juu yao wakati wa siku za Hezekia.
27 Och Hiskias rikedom och härlighet var mycket stor; han hade byggt sig skattkamrar för silver och guld och ädla stenar, och för välluktande kryddor, och för sköldar och för allahanda dyrbara håvor av andra slag,
Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
28 så ock förrådshus för vad som kom in av säd, vin och olja, ävensom stall för allt slags boskap; och hjordar hade han skaffat för sina fållor.
Pia alikuwa na nyumba za maghala kwa ajili ya mavuno ya nafaka, divai mpya, na mafuta, na malisho kwa ajili ya aina zote za wanyama.
29 Och han hade byggt sig städer och förvärvat sig stor rikedom på får och fäkreatur; ty Gud hade givit honom mycket stora ägodelar.
Pia alikuwa na makundi katika mazizi. Zaidi ya hayo, alijipatia mwenyewe miji na makundi ya na ng'ombe kwa wingi, kwa maana Mungu alaikuwa amempa afya tele. (Maandishi ya kale yanasema hivi: Badala ya “miji” baadji ya matoleo ya kisasa yanasema “punda”, na baadhi mengine ya kisasa yanaacaha neno nzima)
30 Det var ock Hiskia som täppte till Gihonsvattnets övre källa och ledde vattnet nedåt, väster om Davids stad. Och Hiskia var lyckosam i allt vad han företog sig.
Alikuwa ni Hezekia huyu huyu ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliye ileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
31 Jämväl när från Babels furstar de sändebud kommo, som voro skickade till honom för att fråga efter det under som hade skett i landet, övergav Gud honom allenast för att pröva honom, på det att han skulle förnimma allt vad som var i hans hjärta.
Hata hivyo, katika jambo la mabolozi wa wakuu wa Babeli, waliotumwa kwake kuwauliza waliofahamu, kuhusu ishara za miujiza iliyokuwa imefanywa katika nchi, Mungu alimwachia mwenyewe, ili kumjaribu, na kujua yote yaliyokuwa katika moyo wake.
32 Vad nu mer är att säga om Hiskia och om hans fromma gärningar, det finnes upptecknat i "Profeten Jesajas, Amos' sons, syner", i boken om Judas och Israels konungar.
Kwa mambo mengine kuhusu Hezekia, pamoja na matendo yake ya uaminifu wa agano, unaweza kuona kwamba yameandikwa katika Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi, na katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
33 Och Hiskia gick till vila hos sina fäder, och han begrov honom på den plats där man går upp till Davids hus' gravar; och hela Juda och Jerusalems invånare bevisade honom ära vid hans död. Och hans son Manasse blev konung efter honom.
Hezekia akalala pamaoja na babu zake, na wakamzika katika mlima wa makaburi ya vizazi vya Daudi. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamheshimu katika kifo chake. Manase mwanaye akawa mfalme katika nafasi yake.

< 2 Krönikeboken 32 >