< 1 Krönikeboken 8 >

1 Och Benjamin födde Bela, sin förstfödde, Asbel, den andre, och Ahara, den tredje,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Noha, den fjärde, och Rafa, den femte.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Bela hade följande söner: Addar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naaman, Ahoa,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sefufan och Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Och dessa voro Ehuds söner, och de voro familjehuvudmän för dem som bodde i Geba, och som blevo bortförda till Manahat,
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 dit Gera jämte Naaman och Ahia förde bort dem: han födde Ussa och Ahihud.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Och Saharaim födde barn i Moabs land, sedan han hade skilt sig från sina hustrur, Husim och Baara;
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 med sin hustru Hodes födde han där Jobab, Sibja, Mesa, Malkam,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeus, Sakeja och Mirma. Dessa voro hans söner, huvudmän för familjer.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Med Husim hade han fött Abitub och Elpaal.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Och Elpaals söner voro Eber, Miseam och Semed. Han var den som byggde Ono och Lod med underlydande orter.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Beria och Sema -- vilka voro familjehuvudmän för Ajalons invånare och förjagade Gats invånare --
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 så ock Ajo, Sasak och Jeremot.
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Och Sebadja, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Mikael, Jispa och Joha voro Berias söner.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Och Sebadja, Mesullam, Hiski, Heber,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Jismerai, Jislia och Jobab voro Elpaals söner.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Och Jakim, Sikri, Sabdi,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Silletai, Eliel,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaja, Beraja och Simrat voro Simeis söner.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Och Jispan, Eber, Eliel,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Abdon, Sikri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananja, Elam, Antotja,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Jifdeja och Peniel voro Sasaks söner.
Ifdeya na Penueli.
26 Och Samserai, Seharja, Atalja,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Jaaresja, Elia och Sikri voro Jerohams söner.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Dessa vore huvudman för familjer, huvudmän efter sin ättföljd; de bodde i Jerusalem.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 I Gibeon bodde Gibeons fader, vilkens hustru hette Maaka.
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 Och hans förstfödde son var Abdon; vidare Sur, Kis, Baal, Nadab,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedor, Ajo och Seker.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 Men Miklot födde Simea. Också dessa bodde jämte sina bröder i Jerusalem, gent emot sina bröder.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Och Ner födde Kis, Kis födde Saul, och Saul födde Jonatan, Malki-Sua, Abinadab och Esbaal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Jonatans son var Merib-Baal, och Merib-Baal födde Mika.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Mikas söner voro Piton, Melek, Taarea och Ahas.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Ahas födde Joadda, Joadda födde Alemet, Asmavet och Simri, och Simri födde Mosa.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Mosa födde Binea. Hans son var Rafa; hans son var Eleasa; hans son var Asel.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Och Asel hade sex söner, och dessa hette Asrikam, Bokeru, Ismael, Searja, Obadja och Hanan. Alla dessa voro Asels söner.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Och hans broder Eseks söner voro Ulam, hans förstfödde, Jeus, den andre, och Elifelet, den tredje.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Och Ulams söner voro tappra stridsmän, som voro skickliga i att spänna båge; och de hade många söner och sonsöner: ett hundra femtio. Alla dessa voro av Benjamins barn
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1 Krönikeboken 8 >