< 1 Krönikeboken 1 >

1 Adam, Set, Enos,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jered,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Hanok, Metusela, Lemek,
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Noa, Sem, Ham och Jafet.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Jafets söner voro Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mesek och Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Gomers söner voro Askenas, Difat och Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Javans söner voro Elisa och Tarsisa, kittéerna och rodanéerna.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Hams söner voro Kus, Misraim, Put och Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Kus' söner voro Seba, Havila, Sabta, Raema och Sabteka. Raemas söner voro Saba och Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Men Kus födde Nimrod; han var den förste som upprättade ett välde på jorden.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Och Misraim födde ludéerna, anaméerna, lehabéerna, naftuhéerna,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 patroséerna, kasluhéerna, från vilka filistéerna hava utgått, och kaftoréerna.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Och Kanaan födde Sidon, som var hans förstfödde, och Het,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 så ock jebuséerna, amoréerna och girgaséerna,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 hivéerna, arkéerna, sinéerna,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 arvadéerna, semaréerna och hamatéerna.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Sems söner voro Elam, Assur, Arpaksad, Lud och Aram, så ock Us, Hul, Geter och Mesek.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arpaksad födde Sela, och Sela födde Eber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Men åt Eber föddes två söner; den ene hette Peleg, ty i hans tid blev jorden fördelad; och hans broder hette Joktan.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Och Joktan födde Almodad, Selef, Hasarmavet, Jera,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Usal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Saba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Havila och Jobab; alla dessa voro Joktans söner.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Sem, Arpaksad, Sela,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Eber, Peleg, Regu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Tera,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram, det är Abraham
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Abrahams söner voro Isak och Ismael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Detta är deras släkttavla: Nebajot, Ismaels förstfödde, vidare Kedar, Adbeel och Mibsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Misma och Duma, Massa, Hadad och Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafis och Kedma. Dessa voro Ismaels söner.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Och de söner som Ketura, Abrahams bihustru, födde voro Simran, Joksan, Medan, Midjan, Jisbak och Sua. Joksans söner voro Saba och Dedan.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Och Midjans söner voro Efa, Efer, Hanok, Abida och Eldaa. Alla dessa voro Keturas söner.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Och Abraham födde Isak. Isaks söner voro Esau och Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Esaus söner voro Elifas, Reguel, Jeus, Jaelam och Kora.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Elifas' söner voro Teman och Omar, Sefi och Gaetam, Kenas, Timna och Amalek
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Reguels söner voro Nahat, Sera, Samma och Missa.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Men Seirs söner voro Lotan, Sobal, Sibeon, Ana, Dison, Eser och Disan.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Lotans söner voro Hori och Homam; och Lotans syster var Timna.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Sobals söner voro Aljan, Manahat och Ebal, Sefi och Onam. Och Sibeons söner voro Aja och Ana.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Anas söner voro Dison. Och Disons söner voro Hamran, Esban, Jitran och Keran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Esers söner voro Bilhan, Saavan, Jaakan. Disans söner voro Us och Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Och dessa voro de konungar som regerade i Edoms land, innan ännu någon israelitisk konung var konung där: Bela, Beors son, och hans stad hette Dinhaba.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 När Bela dog, blev Jobab, Seras son, från Bosra, konung efter honom.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 När Jobab dog, blev Husam från temanéernas land konung efter honom.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 När Husam dog, blev Hadad, Bedads son, konung efter honom, han som slog midjaniterna på Moabs mark; och hans stad hette Avit.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 När Hadad dog, blev Samla från Masreka konung efter honom.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 När Samla dog, blev Saul, från Rehobot vid floden, konung efter honom.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 När Saul dog, blev Baal-Hanan, Akbors son, konung efter honom
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 När Baal-Hanan dog, blev Hadad konung efter honom; och hans stad hette Pagi, och hans hustru hette Mehetabel, dotter till Matred, var dotter till Me-Sahab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Men när Hadad hade dött, voro dessa Edoms stamfurstar: fursten Timna, fursten Alja, fursten Jetet,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 fursten Oholibama, fursten Ela, fursten Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 fursten Kenas, fursten Teman, fursten Mibsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 fursten Magdiel, fursten Iram. Dessa voro Edoms stamfurstar.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Krönikeboken 1 >