< Psaltaren 68 >

1 För sångmästaren; av David; en psalm, en sång.
Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
2 Gud står upp; hans fiender varda förskingrade, och de som hata honom fly för hans ansikte.
Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
3 Såsom rök fördrives, så fördrivas de av dig; likasom vaxet smälter för eld, så förgås de ogudaktiga för Guds ansikte.
Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
4 Men de rättfärdiga äro glada, de fröjda sig inför Gud och jubla i glädje.
Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
5 Sjungen till Guds ära, lovsägen hans namn. Gören väg för honom som drager fram genom öknarna. Hans namn är HERREN, fröjdens inför honom;
Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
6 de faderlösas fader och änkors försvarare, Gud i sin heliga boning,
Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
7 en Gud som förhjälper de ensamma till ett hem, och som för de fångna ut till lycka; allenast de gensträviga måste bo i en öken.
Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
8 Gud, när du drog ut i spetsen för ditt folk, när du gick fram i ödemarken, (Sela)
nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
9 då bävade jorden, då utgöt himmelen sina flöden inför Guds ansikte; ja, Sinai bävade för Guds ansikte; Israels Guds.
Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
10 Ett nåderikt regn lät du falla, o Gud; ditt arvland, som försmäktade, vederkvickte du.
Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
11 Din skara fick bo däri; genom din godhet beredde du det åt de betryckta, o Gud.
Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
12 Herren låter höra sitt ord, stor är skaran av kvinnor som båda glädje:
Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
13 »Härskarornas konungar fly, de fly, och husmodern därhemma får utskifta byte.
Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
14 Viljen I då ligga stilla inom edra hägnader? Duvans vingar äro höljda i silver, och hennes fjädrar skimra av guld.
Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
15 När den Allsmäktige förströr konungarna i landet, faller snö på Salmon.»
Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
16 Ett Guds berg är Basans berg, ett högtoppigt berg är Basans berg.
Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
17 Men varför sen I så avogt, I höga berg, på det berg som Gud har utkorat till sitt säte, det där ock HERREN skall bo för alltid?
Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
18 Guds vagnar äro tiotusenden, tusen och åter tusen; Herren drog fram med dem, Sinai är nu i helgedomen.
Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
19 Du for upp i höjden, du tog fångar, du undfick gåvor bland människorna, ja, också de gensträviga skola bo hos HERREN Gud.
Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
20 Lovad vare Herren! Dag efter dag bär han oss; Gud är vår frälsning. (Sela)
Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
21 Gud är för oss en Gud som frälsar, och hos HERREN, Herren finnes räddning från döden.
Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
22 Men Gud sönderkrossar sina fienders huvuden, krossar hjässan på den som går där med skuld.
Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
23 Herren säger: »Från Basan skall jag hämta dem, från havets djup skall jag hämta dem upp,
ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
24 så att du kan stampa med din fot i blod och låta dina hundars tunga få sin del av fienderna.»
Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
25 Man ser, o Gud, ditt högtidståg, min Guds, min konungs, tåg inne i helgedomen.
Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
26 Främst gå sångare, harpospelare följa efter, mitt ibland unga kvinnor som slå på pukor.
Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
27 Lova Gud i församlingarna, loven Herren, I av Israels brunn.
Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
28 Där går Benjamin, den yngste, han för dem an; där går skaran av Juda furstar, Sebulons furstar, Naftalis furstar.
Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
29 Din Gud har beskärt dig makt; så håll nu vid makt, o Gud, vad du har gjort för oss.
Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
30 I ditt tempel i Jerusalem bäre konungar fram sina skänker åt dig.
Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
31 Näps odjuret i vassen, tjurarnas hop med deras kalvar, folken, må de ödmjukt hylla dig med sina silverstycken. Ja, han förströr de folk som finna behag i krig.
Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
32 De mäktige skola komma hit från Egypten, Etiopien skall skynda hit till Gud, med gåvor i händerna.
Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
33 I riken på jorden, sjungen till Guds ära; lovsägen Herren, (Sela)
Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
34 honom som far fram på urtidshimlarnas himmel. Ja, där låter han höra sin röst, en mäktig röst.
Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
35 Given Gud makten; över Israel är hans härlighet, och hans makt är i skyarna. Fruktansvärd är du, Gud, i din helgedom; Israels Gud, han giver makt och styrka åt sitt folk. Lovad vare Gud!
Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.

< Psaltaren 68 >