< Psaltaren 48 >

1 En sång, en psalm av Koras söner.
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
2 Stor är HERREN och högt lovad, i vår Guds stad, på sitt heliga berg.
Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
3 Skönt höjer det sig, hela jordens fröjd, berget Sion längst uppe i norr, den store konungens stad.
Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
4 Gud har i dess palatser gjort sig känd såsom ett värn.
Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
5 Ty se, konungarna församlade sig, tillhopa drogo de fram.
walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
6 De sågo det, då häpnade de; de förskräcktes, de flydde.
Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
7 Bävan grep dem där, ångest lik en barnaföderskas.
Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
8 Så krossar du Tarsis-skepp med östanvinden.
Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
9 Såsom vi hade hört, så fingo vi se det, i HERREN Sebaots stad, i vår Guds stad; Gud håller den vid makt till evig tid. (Sela)
Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
10 Vi tänka, o Gud, på din nåd, när vi stå i ditt tempel.
Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
11 Såsom ditt namn, o Gud, så når ock ditt lov intill jordens ändar; din högra hand är full av rättfärdighet.
Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
12 Sions berg glädje sig, Juda döttrar fröjde sig, för dina domars skull.
Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
13 Gån omkring Sion och vandren runt därom, räknen dess torn;
yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
14 given akt på dess murar, skriden genom dess palatser, så att I kunnen förtälja därom för ett kommande släkte. Ty sådan är Gud, vår Gud, alltid och evinnerligen; intill döden skall han ledsaga oss.
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.

< Psaltaren 48 >