< Psaltaren 149 >

1 Halleluja! Sjungen till HERRENS ära en ny sång, hans lov i de frommas församling.
Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
2 Israel glädje sig över sin skapare, Sions barn fröjde sig över sin konung.
Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
3 Må de lova hans namn under dans, till puka och harpa må de lovsjunga honom.
Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
4 Ty HERREN har behag till sitt folk, han smyckar de ödmjuka med frälsning.
Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
5 De fromma fröjde sig och give honom ära, de juble på sina läger.
Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
6 Guds lov skall vara i deras mun och ett tveeggat svärd i deras hand,
Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
7 för att utkräva hämnd på hedningarna och hemsöka folken med tuktan,
kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
8 för att binda deras konungar med kedjor och deras ädlingar med järnbojor,
Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
9 för att utföra på dem den dom som är skriven. En härlighet bliver det för alla hans fromma. Halleluja!
Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.

< Psaltaren 149 >